Zitto kuichambua bajeti ya 2016/17 kesho Millenium Towers

Zitto kuichambua bajeti ya 2016/17 kesho Millenium Towers

Azim Sokoine

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
1,487
Reaction score
2,756
Capture.PNG


habari wakuu,mbunge wa kigoma mjini mh.Zitto Kabwe kesho kuanzia saa 7 mchana
atakwepo millenium towers atakuwa anachambua bajeti ya serekali ya mwaka 2016~2017

source:Zitto facebook page
 
uchambuzi wowote wa bajeti bila kibali cha ndugu naibu spika hauruhusiwi, shauli yake kwa yatakayomkuta!
 
Huu utawala kwa kweli hautabiriki maana hauheshimu sheria na katiba
 
habar wakuu,mbunge wa kigoma mjini mh.Zitto Kabwe kesho kuanzia saa 7 mchana
atakwepo millenium towers atakuwa anachambua bajeti ya serekali ya mwaka 2016~2017

source:zitto fb page

vipi polis,watamruhusu kweli?
 
Sio amechelewa. Jana itv kipima joto walimaliza kila kitu...hasa huyo jamaa anaitwa Kayoza. Nilipenda uchambuzi wake...yuko vizuri kichwani na kibusara...si kuona anakwaruzana na huyo aliyejiita Dr....cccm Tanga..mfia chama.
 
Bajeti ya Magu inamapungufu sasa hivi utaona watakavyo badilisha na kuiba idea za wapinzani na jinsi wasivyo na shukrani watasema ni mawazo yao.
Kuanzia sasa hivi mabadiliko yoyote yatakayo fanyika jua ni kutokana na idea za wapinzani.
 
Policcm bado hawajapata habari za ki-intelijensia kuwa millennium tower kutazuka vurugu
 
Millenium towers angewaachia akina kibamba na wachambuzi wengine
Angerudi jimboni kwake kuichambua bajeti ningemuelewa,vinginevyo ni kutafuta kiki tu
 
Afanye live tuone namna anavyofundisha vihio uchumi,hata kuchangia gharama tutachangia ikibidi,aseme tu.
 
habar wakuu,mbunge wa kigoma mjini mh.Zitto Kabwe kesho kuanzia saa 7 mchana
atakwepo millenium towers atakuwa anachambua bajeti ya serekali ya mwaka 2016~2017

source:zitto fb page
Kuna kitu ambacho Zitto hana budi kubadilika..ajitahidi kufuta record chafu/mbaya zinazo muandama..mfano:-
(1) Record ya Usaliti-CDM hajawahi kuwa wazi kufunguka ili kila mtu ajue ukweli
(2) Record ya kusema mafuta ya ndege yangeisha Tanzania ndani ya siku tano-ikawa tofauti hajatoka tena japo kuomba radhi tu kuwa alikurupuka
(3 ) Kuwaaminisha watu kwny miamala ya simu(Bajeti hii anayotaka kuichambua) kuwa Ktk @ Tsh.1000/= mwananchi atakuwa akikatwa Tsh.280/= KITU AMBACHO NI UONGO WA MCHANA...Na ameleta taharuki kubwa sana miongoni mwa jamii-HADI SASA HAJAOMBA RADHI KWA KUKURUPUKA HUKO....
Ukweli ni kuwa Zitto ni Public Figure anaheshimika lkn anaendelea kujishushia hadhi kwa watu waelewa kwa kumuona kuwa anatafuta publicity kwa nguvu isivyostahili...aangalie sana anapoteza mvuto maana kwa SASA HAAMINIKI
I stand to be corrected. .
 
habar wakuu,mbunge wa kigoma mjini mh.Zitto Kabwe kesho kuanzia saa 7 mchana
atakwepo millenium towers atakuwa anachambua bajeti ya serekali ya mwaka 2016~2017

source:zitto fb page
Atahangaika sana. Atafanya hivyo halafu Jumatatu vyombo vya habari vichwa vikuu ni DR TULIA KUENDELEA KUWAFUNGIA VIOO UKAWA? au CHADEMA KUOMBA PO KWA DR TULIA au WABUNGE KUENDELEA KULILIA MAKATO KIINUA MGONGO
 
Kuna kitu ambacho Zitto hana budi kubadilika..ajitahidi kufuta record chafu/mbaya zinazo muandama..mfano:-
(1) Record ya Usaliti-CDM hajawahi kuwa wazi kufunguka ili kila mtu ajue ukweli
(2) Record ya kusema mafuta ya ndege yangeisha Tanzania ndani ya siku tano-ikawa tofauti hajatoka tena japo kuomba radhi tu kuwa alikurupuka
(3 ) Kuwaaminisha watu kwny miamala ya simu(Bajeti hii anayotaka kuichambua) kuwa Ktk @ Tsh.1000/= mwananchi atakuwa akikatwa Tsh.280/= KITU AMBACHO NI UONGO WA MCHANA...Na ameleta taharuki kubwa sana miongoni mwa jamii-HADI SASA HAJAOMBA RADHI KWA KUKURUPUKA HUKO....
Ukweli ni kuwa Zitto ni Public Figure anaheshimika lkn anaendelea kujishushia hadhi kwa watu waelewa kwa kumuona kuwa anatafuta publicity kwa nguvu isivyostahili...aangalie sana anapoteza mvuto maana kwa SASA HAAMINIKI
I stand to be corrected. .
Mimi nataka habari ya zitto na uchambuzi wa bajeti hizo shutuma zitafutie uzi sheikh!
 
Back
Top Bottom