Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 133
- 546
Kila la kheri Kiongozi wangu wa Chama cha ACT wazalendo, Zitto Kabwe katika hukumu ya kesi inayokukabili itakayotolewa Mei 29, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni katika kesi ya "uchochezi'
(Kesi ya Jinai Na. 327/2018).
Watanzania dua na mshikamano wenu ni muhimu sana. Suphian Juma on Twitter,
Sent using Jamii Forums mobile app
(Kesi ya Jinai Na. 327/2018).
Watanzania dua na mshikamano wenu ni muhimu sana. Suphian Juma on Twitter,
Sent using Jamii Forums mobile app