Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Taarifa kwamba Waziri kabudi bila aibu ametamka mbele ya Bunge kuwa kiasi kilicholipwa na Tanzanite One kwa Serikali haitaweka wazi kwa Public kwa kuogopa kufunguliwa mdai na wadai wetu ni ya kitoto na ya kujidhalilisha.
Nashukuru Tundu Lissu amelisemea vizuri. Mimi niongezee tu kuwa mikataba au makubaliano yamefanywa kati ya Serikali na Kampuni. Kama Serikali imeamua kuficha taarifa ya malipo yaliyofanywa na Kampuni ya Tanzanite kwa Serikali, basi Waziri amejidanganya kwa sababu Kampuni ya Tanzanite kama kampuni zote Duniani zinakuwa governed na sunshine clause na disclosure clause sheria ambazo zinayataka makampuni siyo tu kuyaweka mapato na matumizi yao hadharani, bali pia kupitia taarifa hizo kwa mtu yoyote atakayezihitaji chini ya " right of information."
Kwa hiyo kana ni kweli Tanzanite One wamefika chochote, Public itajua kupitia Tanzanite One. Hakuna siri hapo. Msichana akimwambia mama yake kuwa amepata mimba lakini hataki mtu yoyote ajue, huo ni utoto kwa sababu mumewe atasema na tumbo lake litaonyesha.
Aidha, tamko hilo ni la kujidhalilisha kwa sababu linajenga taswira mbaya kwenye macho ya wengi. Kwamba ufichaji huo una lengo la kutafuna mali za wananchi kimya kimya na bila accountability.
Ukifika hapo ndipo unapoanza kuyakumbuka maneno ya ex PM Jean Chretien wa Canada 1992 aliyesema; " unapoona kiongozi anakuwa na midomo miwili ujue huo wa kushoto ni wake na huo wa kulia ni wa yule aliyempa Cheo.
Na huo wa kulia mara nyingi ndiyo unaochangia kuidhalilidha Serikali na huyo mwenyewe. Kwenye Serikali yangu nataka viongozi wenye mdomo mmoja mmoja tu." Ni kauli ya kitoto na ya kujidhalilisha.
My take:
Sioni tija wala tofauti yoyoye ile iliyoletwa na hii serikali iliyojaa madokta na maprofesa na ni bora tu wangebaki au warudi vyuoni kufundisha.
Soma: Prof. Kabudi: Tanzanite One imefanya malipo ya awali, mazungumzo na Barrick yamefikia pazuri
Nashukuru Tundu Lissu amelisemea vizuri. Mimi niongezee tu kuwa mikataba au makubaliano yamefanywa kati ya Serikali na Kampuni. Kama Serikali imeamua kuficha taarifa ya malipo yaliyofanywa na Kampuni ya Tanzanite kwa Serikali, basi Waziri amejidanganya kwa sababu Kampuni ya Tanzanite kama kampuni zote Duniani zinakuwa governed na sunshine clause na disclosure clause sheria ambazo zinayataka makampuni siyo tu kuyaweka mapato na matumizi yao hadharani, bali pia kupitia taarifa hizo kwa mtu yoyote atakayezihitaji chini ya " right of information."
Kwa hiyo kana ni kweli Tanzanite One wamefika chochote, Public itajua kupitia Tanzanite One. Hakuna siri hapo. Msichana akimwambia mama yake kuwa amepata mimba lakini hataki mtu yoyote ajue, huo ni utoto kwa sababu mumewe atasema na tumbo lake litaonyesha.
Aidha, tamko hilo ni la kujidhalilisha kwa sababu linajenga taswira mbaya kwenye macho ya wengi. Kwamba ufichaji huo una lengo la kutafuna mali za wananchi kimya kimya na bila accountability.
Ukifika hapo ndipo unapoanza kuyakumbuka maneno ya ex PM Jean Chretien wa Canada 1992 aliyesema; " unapoona kiongozi anakuwa na midomo miwili ujue huo wa kushoto ni wake na huo wa kulia ni wa yule aliyempa Cheo.
Na huo wa kulia mara nyingi ndiyo unaochangia kuidhalilidha Serikali na huyo mwenyewe. Kwenye Serikali yangu nataka viongozi wenye mdomo mmoja mmoja tu." Ni kauli ya kitoto na ya kujidhalilisha.
My take:
Sioni tija wala tofauti yoyoye ile iliyoletwa na hii serikali iliyojaa madokta na maprofesa na ni bora tu wangebaki au warudi vyuoni kufundisha.
Soma: Prof. Kabudi: Tanzanite One imefanya malipo ya awali, mazungumzo na Barrick yamefikia pazuri