Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
unaumwa ugonjwa wa chuki,husuda na kisebusebuMbona ya Slaa yanaelezeka!!??
Ona ya Kikwete na amekuwa raisi.....
Anachekacheka hata kisibani, mbele za wageni na kwenye mabo muhimu ya kitaifa!
Anawapa mademu zake uongozi sifa ikiwa ni udemu waketu!! na mempa kipindi cha pili atuongoze!
Anakinyongo mno! kiasi kwamba akini tambua hata mimi ninayeandika hapa anaweza kunisukia mada kesi..!
Ni mnafiki mno, anaweza kukuchekea kumbe muda huohuo anasuka mpango wa kukuua!
Aliingia madarakani kwa rushwa, alihonga waandishi wa habari, na watu wengine wengi ili awe raisi.
Anaenda kufanaya nini magomeni asubuhi!!????