Zitto karibu NCCR

Mbona ya Slaa yanaelezeka!!??

Ona ya Kikwete na amekuwa raisi.....
Anachekacheka hata kisibani, mbele za wageni na kwenye mabo muhimu ya kitaifa!
Anawapa mademu zake uongozi sifa ikiwa ni udemu waketu!! na mempa kipindi cha pili atuongoze!
Anakinyongo mno! kiasi kwamba akini tambua hata mimi ninayeandika hapa anaweza kunisukia mada kesi..!
Ni mnafiki mno, anaweza kukuchekea kumbe muda huohuo anasuka mpango wa kukuua!
Aliingia madarakani kwa rushwa, alihonga waandishi wa habari, na watu wengine wengi ili awe raisi.
Anaenda kufanaya nini magomeni asubuhi!!????
unaumwa ugonjwa wa chuki,husuda na kisebusebu
 
Angalau sasa Jamii Forums kumeanza kuwa na watu wenye kuona mbali hususana katika siasa za Tanzania. Mimi nawashangaa sana Watanzania wanaomuona SLAA kama mungu wao, wakati ana historia chafu sana katika suala zima la siasa na hata katika maisha binafsi. Hatufahamu mpaka leo kwa nini aliacha kuwa mtumishi wa mungu na kujihusisha na masuala ya siasa. Alijiunga na siasa baada ya kushindwa kura za maoni akiwa CCM kule karatu, ana tofauti gani na akia Shibuda, Mpendazoe na wengine wa aina hiyo? mbona wao hawafagiliwi hivyo kama issue ni kuhama CCM? Mpaka leo hakuna ajuae mstakabali wa ndoa yake na Rosmary Kamili baada ya kupata kimwana Josephine. Slaa ni mpaykaji sana na tena wazi wazi anakuwa anonesha kuwa ana wivu wa kutaka kulipiza visasi pale anapokosa kitu fulani. Mimi nadhani CDMA chini na MBOWE na SLAA si chochote zaidi utawala wa mabavu na majigambo majukwaani, Kukashfu na kukebehi juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo jambo ambalo kwa kweli ni chanzo cha maisha duni kwa watanzania na kwa bahati mbaya watanzania hawajalishtukia hilo. Zitto kuendelea kuwepo pale CDM ni kama kujichimbia kaburi.

Kwahiyo unatushauri nini? tuendelee kukaa na hawa majambazi wetu CCM tu?( zimwi likujualo) kwa maana Silaa hafai na mbowe hafai,
 
Wenyewe NCCR tupo kimya mnao tumika mnakaribisha watu. Kazi ya kumkaribisha alianza kuifanya Mh. Kafulila leo yupo wapi? Nccr ilimshinda Mh. Mrema, Marando, Nswanzigwako,Ngawaiya, Lamwai n.k itakuwa ZITTO mwache aje akishindwa kufuata sera na muongozo wa chama akamuulize swahiba wake Kafulila nini kilicho mfanya alie siku ya mkutano wa kumvua uanachama
 
Hakuna sehemu nimeandika kama anakuja NCCR kwa ajili ya kugombea au kuteuliwa kugombea Uraisi, nimefahamika sivyo ,hata hivyo inawezekana akawa mgombea mtarajiwa ,kitu ambacho hakipatikani wala si cha kuweeka tamaa huko CDM hata akifa Slaa ndio maana yake,m'meona.
 
Wacheni kiherehere ! Hapa hapana kazi za kitoto ,hii ni issue ambayo karibu mtaipata na nimejaribu kuwadokolea kidogo tu mnaanza kupapasa,huku mitaani NCCR imeanza kufuka moshi na mikakati ni mikubwa kitaifa.Chadema kaeni chonjo saa mbaya. One day Yes by Aboud Jumbe.
Imepita CUF hakuna la maana ,imeambiwa Chama cha kidini ,imefika CDM imeambiwa na inaonekana Chama Cha walokole ,sasa ni zamu ya NCCR na list ya wapiganaji kuing'oa CCM inazidi kushamiri ,we wacha tu.
NCCR na CUF vilifanya kwa zamu ila kwa CDM hakuna zamu ila mkakati madhubuti wa kuikomboa Tanzania, nani asiyejua NCCR ni chama cha kufukuzana na kung'ang'ania madaraka? nani asiyejua uchu wa uongozi alio nao mwenyekiti wa NCCR?

Zinduka kijana hupelekani na hoja zako hata kidogo, unafanania na mzee wa 1947...
 
Imepita CUF hakuna la maana ,imeambiwa Chama cha kidini ,imefika CDM imeambiwa na inaonekana Chama Cha walokole ,sasa ni zamu ya NCCR.

kabla ya CUF na sasa CDM, NCCR ilishatikisa na ikawa maututi

mgonjwa kunywa uji bado anabaki mgonjwa tuu
 
Nakuhurumia kwani unauvivu wa kufikiri.chama makini,chama kinacholeta matumaini,maendeleo na ukombozi kwa wananchi ni kile kinacho toka hatua moja nyuma na kusonga mbele.tafuta historia ya nccr tangu 1995-2012 na historia ya chadema.zitto tulikomboe taifa achana na ccm b.
 
Wacheni kiherehere ! Hapa hapana kazi za kitoto ,hii ni issue ambayo karibu mtaipata na nimejaribu kuwadokolea kidogo tu mnaanza kupapasa,huku mitaani NCCR imeanza kufuka moshi na mikakati ni mikubwa kitaifa.Chadema kaeni chonjo saa mbaya. One day Yes by Aboud Jumbe.
Imepita CUF hakuna la maana ,imeambiwa Chama cha kidini ,imefika CDM imeambiwa na inaonekana Chama Cha walokole ,sasa ni zamu ya NCCR na list ya wapiganaji kuing'oa CCM inazidi kushamiri ,we wacha tu.


Umshauri aende CCM ambako hata wewe una maslahi.
 
Angalau sasa Jamii Forums kumeanza kuwa na watu wenye kuona mbali hususana katika siasa za Tanzania. Mimi nawashangaa sana Watanzania wanaomuona SLAA kama mungu wao, wakati ana historia chafu sana katika suala zima la siasa na hata katika maisha binafsi. Hatufahamu mpaka leo kwa nini aliacha kuwa mtumishi wa mungu na kujihusisha na masuala ya siasa. Alijiunga na siasa baada ya kushindwa kura za maoni akiwa CCM kule karatu, ana tofauti gani na akia Shibuda, Mpendazoe na wengine wa aina hiyo? mbona wao hawafagiliwi hivyo kama issue ni kuhama CCM? Mpaka leo hakuna ajuae mstakabali wa ndoa yake na Rosmary Kamili baada ya kupata kimwana Josephine. Slaa ni mpaykaji sana na tena wazi wazi anakuwa anonesha kuwa ana wivu wa kutaka kulipiza visasi pale anapokosa kitu fulani. Mimi nadhani CDMA chini na MBOWE na SLAA si chochote zaidi utawala wa mabavu na majigambo majukwaani, Kukashfu na kukebehi juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo jambo ambalo kwa kweli ni chanzo cha maisha duni kwa watanzania na kwa bahati mbaya watanzania hawajalishtukia hilo. Zitto kuendelea kuwepo pale CDM ni kama kujichimbia kaburi.

Kabla ya kuchangia jaribu kuperuse baadhi ya thread hapa jamvini.Kuna mambo mengi ambayo Dr.Slaa aliwahi kuja hapa na kuyatolea maelezo,likiwemo suala la kuacha upadri.Mwaka 2010 aliulizwa maswali hapa na kujibu.
 
Hivi Mwiba?
Kwa fikra nlzozisoma kwenye bandiko lako, labda kama nmekosea naomba unirekebishe, ni kwamba unapangwa mkakati wa kumkaribisha Zitto rasmi kwenye chama chenu ili mtoke kwa mara ya pili?
Hivyo ni sahihi kusoma "Zitto= NCCR kutoka kwa mara ya pili" ??
Ok kama sio mkakati wa kumnasa Zitto pekee, kwanini hujawataja hao wengine?
Hivi lini tutaondoa siasa za majina na kujikita kwenye itikadi za ukombozi halisi??
Kama NCCR mnampango wa kurudi kwa mtindo nadhani ndio mtakuwa matapishi hasa.
 
Watanzania lazima tuelewe, katika kila kikundi kuna malengo ya kundi na malengo binafsi. Jamii starabu na yenye malengo ya mbele huwa inayapa nguvu malengo ya kkundi. CDM wanataka kuchua dola. Sasa kama kuna upungufu kwa dr. Slaa ukimlinganisha na Zitto basi zitto apewe hiyo nafasi lakini kubadili 'figure' wakati wametumia pesa nyingi kumnadi Slaa itakuwa ni uendawazimu.( sina chama).
 
Angalau sasa Jamii Forums kumeanza kuwa na watu wenye kuona mbali hususana katika siasa za Tanzania. Mimi nawashangaa sana Watanzania wanaomuona SLAA kama mungu wao, wakati ana historia chafu sana katika suala zima la siasa na hata katika maisha binafsi. Hatufahamu mpaka leo kwa nini aliacha kuwa mtumishi wa mungu na kujihusisha na masuala ya siasa. Alijiunga na siasa baada ya kushindwa kura za maoni akiwa CCM kule karatu, ana tofauti gani na akia Shibuda, Mpendazoe na wengine wa aina hiyo? mbona wao hawafagiliwi hivyo kama issue ni kuhama CCM? Mpaka leo hakuna ajuae mstakabali wa ndoa yake na Rosmary Kamili baada ya kupata kimwana Josephine. Slaa ni mpaykaji sana na tena wazi wazi anakuwa anonesha kuwa ana wivu wa kutaka kulipiza visasi pale anapokosa kitu fulani. Mimi nadhani CDMA chini na MBOWE na SLAA si chochote zaidi utawala wa mabavu na majigambo majukwaani, Kukashfu na kukebehi juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo jambo ambalo kwa kweli ni chanzo cha maisha duni kwa watanzania na kwa bahati mbaya watanzania hawajalishtukia hilo. Zitto kuendelea kuwepo pale CDM ni kama kujichimbia kaburi.

Mara nyingi ukiwasikiliza vichaa wanapoongea na wenye akili utawasikia, 'mimi nina akili sana kuliko ninyi'
 
:fish2: Mh.Zitto achana na akina Slaa na genge lake ,hao ndio wale wale ving'ang'anizi wasio penda kuachia vijana kuliongoza Taifa hili ,ukibakia hapo utafariki ukijiona.
La muhimu ni kuwa Chama kinakungojea kwa hamu kabisa na safari hii ni zamu ya NCCR kuongoza na kuunyakua uongozi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania kwa kishindo.

Najua wapo watakao beza rasimu hii ya kumkaribisha mheshimiwa Zitto katika mageuzi kwani si jambo la kulitegemea sana kwa upande wao ,waonavyo eti wamemzibiti ,nawambia huko ni kujidanganya.
Kuhusu Mwenyekiti wa NCCR aliepo ,tayari ameshaonyesha dalili za kustaafu au kubakia katika benchi la viongozi wazee wa Chama.

Kwanza chama kilichokuwa juu sana katika upinzani nakushuka hadi karibu na usawa wa bahari ni NCCR. Lakini mrudisheni kwanza Kafulila ndio muzumze kuhusu Zito. Nia yenu mbaya sana, mnataka kuharibu future ya Zitto Kabwe.
 
Watanzania lazima tuelewe, katika kila kikundi kuna malengo ya kundi na malengo binafsi. Jamii starabu na yenye malengo ya mbele huwa inayapa nguvu malengo ya kkundi. CDM wanataka kuchua dola. Sasa kama kuna upungufu kwa dr. Slaa ukimlinganisha na Zitto basi zitto apewe hiyo nafasi lakini kubadili 'figure' wakati wametumia pesa nyingi kumnadi Slaa itakuwa ni uendawazimu.( sina chama).

Sio uendawazimu bali hawajui wanalolitenda.
 
Mnyonge mnyongeni jamani. Nilimsikia zitto akiwasilisha hoja juzi kwakweli sioni wa mfano cdm. Hiki kifaa presidential matrrial
 
Ndugu usione vyaelea, vimeundwa! Andaeni wa kwenu, tukisema ukweli naomba uitajie jina la mbunge wa NCCR leo hii ambaye hakulelewa na chadema? Machali na kelele zake zote lakini ana heshima maalum kwa Chadema. yoote anayosema anataka akijenge chama ni experience na exposure aliyoipata akiwa CDM
Mkuu ukienda huko na wewe utaulizwa kuhusu akina Dr. Slaa, Mtei, Joseph Selasini, Chiku Abwao, Shibuda, nk walilelewa na Vyama gani?
 
Mnyonge mnyongeni jamani. Nilimsikia zitto akiwasilisha hoja juzi kwakweli sioni wa mfano cdm. Hiki kifaa presidential matrrial
Utafukuzwa uanachama wewe. Hili suala haliongelewi ndani ya CDM. Suala la uenyekiti na kugombea Urais ndani ya CDM linaongelewa na Mzee wa Chama. Siyo kila mtu akurupuke kuongelea hayo mambo! Naona CCM nao wameanzisha japo la wazee; wao wako wengi ila kwa CDM ni mzee.

ANGALIZO: Sitaki matusi kwa kuwa ndivyo ilivyo. Usithubutu kutukana toa hoja.
 
:fish2: Mh.Zitto achana na akina Slaa na genge lake ,hao ndio wale wale ving'ang'anizi wasio penda kuachia vijana kuliongoza Taifa hili ,ukibakia hapo utafariki ukijiona.
La muhimu ni kuwa Chama kinakungojea kwa hamu kabisa na safari hii ni zamu ya NCCR kuongoza na kuunyakua uongozi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania kwa kishindo.

Najua wapo watakao beza rasimu hii ya kumkaribisha mheshimiwa Zitto katika mageuzi kwani si jambo la kulitegemea sana kwa upande wao ,waonavyo eti wamemzibiti ,nawambia huko ni kujidanganya.
Kuhusu Mwenyekiti wa NCCR aliepo ,tayari ameshaonyesha dalili za kustaafu au kubakia katika benchi la viongozi wazee wa Chama.

Kwani leo ni April mosi???
 
Akitoa mguu wake Chadema, umaarufu zero, Kama mwanisha mwamieni ajaribu ....


QUOTE=Mwiba;3243161]:fish2: Mh.Zitto achana na akina Slaa na genge lake ,hao ndio wale wale ving'ang'anizi wasio penda kuachia vijana kuliongoza Taifa hili ,ukibakia hapo utafariki ukijiona.
La muhimu ni kuwa Chama kinakungojea kwa hamu kabisa na safari hii ni zamu ya NCCR kuongoza na kuunyakua uongozi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania kwa kishindo.

Najua wapo watakao beza rasimu hii ya kumkaribisha mheshimiwa Zitto katika mageuzi kwani si jambo la kulitegemea sana kwa upande wao ,waonavyo eti wamemzibiti ,nawambia huko ni kujidanganya.
Kuhusu Mwenyekiti wa NCCR aliepo ,tayari ameshaonyesha dalili za kustaafu au kubakia katika benchi la viongozi wazee wa Chama.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom