P Precise Pangolin JF-Expert Member Jan 4, 2012 12,998 6,659 Jul 18, 2012 #22 KASMIR said: Jamani Zito Kabwe mbona siku hizi kapoa sana sio kama mwanzo au ndio kamwachia mnyika au kulikoni Click to expand... Yupo Marekani Mkuu
KASMIR said: Jamani Zito Kabwe mbona siku hizi kapoa sana sio kama mwanzo au ndio kamwachia mnyika au kulikoni Click to expand... Yupo Marekani Mkuu
P Precise Pangolin JF-Expert Member Jan 4, 2012 12,998 6,659 Jul 18, 2012 #23 Chenge said: Huyu hapa anapiga kinywaji Click to expand... Anapiga kilaji na wala siyo gahawa
OSOKONI JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,965 5,336 Jul 18, 2012 #24 Mchaka Mchakani said: Alienda sauzi juzi! Click to expand... yupo kigoma na All kigoma stars!!
OSOKONI JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,965 5,336 Jul 18, 2012 #25 SHEMGUNGA said: [south kikaz] hapa vp rais dr slaa makamu zitto hapo hatuchukui nchi! vp wanachadema hii imekaa sawa!! Click to expand... katiba hairuhusu raia na makamu kutoka upande mmoja wa muungano soma katiba na kuwa makini kabla ya kuposti!
SHEMGUNGA said: [south kikaz] hapa vp rais dr slaa makamu zitto hapo hatuchukui nchi! vp wanachadema hii imekaa sawa!! Click to expand... katiba hairuhusu raia na makamu kutoka upande mmoja wa muungano soma katiba na kuwa makini kabla ya kuposti!
M Mjenda Chilo JF-Expert Member Jul 20, 2011 1,467 513 Jul 18, 2012 #26 Ila zile zero kwenye budget yake kivuli was a big blow, next time kuwa makini. Error kubwa hivyo ipite unnoticed maana yake mnaonyesha mlizima moto. Take more time, na uwape wataalam wengi zaidi waproofread.
Ila zile zero kwenye budget yake kivuli was a big blow, next time kuwa makini. Error kubwa hivyo ipite unnoticed maana yake mnaonyesha mlizima moto. Take more time, na uwape wataalam wengi zaidi waproofread.