Zitto kapotelea wapi?

Huyu hapa anapiga kinywaji

552209_447548948599141_420017192_n.jpg


531448_447548808599155_1748106626_n.jpg
 
[south kikaz] hapa vp rais dr slaa makamu zitto hapo hatuchukui nchi! vp wanachadema hii imekaa sawa!!

katiba hairuhusu raia na makamu kutoka upande mmoja wa muungano soma katiba na kuwa makini kabla ya kuposti!
 
Ila zile zero kwenye budget yake kivuli was a big blow, next time kuwa makini. Error kubwa hivyo ipite unnoticed maana yake mnaonyesha mlizima moto. Take more time, na uwape wataalam wengi zaidi waproofread.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom