Nadhani ungeanza kukosoa hiko kifungu cha sheria kwanza kabla ya kumkosoa Zitto, maana waliokiweka hiko kifungu walijua hali hiyo huweza kutokea kwa mtu yeyote yule.Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe ni kijana ambaye miaka ya 2015 nyuma ulikuwa ni miongoni mwa vijana mahiri na wenye kujenga hoja kweli kweli, binafsi mbali na kutokufuatilia Itikadi zenu za kivyama nilikupenda na kukuheshimu sana.
Hukuwahi kuwa na siasa za kushambulia utu wa mtu, ila ulikuwa na siasa za kushambulia hoja ya mtu, " politics of agenda not inhuman politics".
Nimesoma tweet yako, binafsi nimeumia sana, na niseme tu ningekuwa na uwezo nadhani ulikuwa ni wakati muafaka wa kuvunja katiba na kukushughulikia wewe mtu mmoja ambaye unahatarisha amani ya watanzania milioni 50 na kujenga taharuki kwa kutunga uongo.
Busara inaweza tumika kukuacha uendelee na maisha yako ila nakuhakikishia Kaka yangu na kijana mwenzangu dhambi hii haitokuacha salama kama sio leo basi kesho.
Umenukuu kifungu cha katiba 37 (2) ambacho kwa hakika ni dhihaka kubwa kwa kiongozi wa nchi.
Marekani wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Uingereza wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Urusi wana Demokrasia ila hawathubutu kufanya hivi.
Hapa Tanzania kuna nini watu wanavuka mipaka na kudhalilisha utu tena wa Kiongozi Mkuu wa nchi?
Uhuru gani wa kuongea tunaoutaka? Ni huu wa kudhihaki na kudhalilisha utu wa Viongozi tena Mkuu wa nchi.
Zitto umeteleza tena umeteleza sana, binafsi nimeumia sana ila bado naendelea kutafakari je ni wewe ninayekufahamu uliyepita mpaka nyumbani kwetu kuomba kura kwa akili zako unafanya haya ama wewe ni kitangulizi tu?
Zitto kama umeshindwa kumuheshimu Rais Magufuli kwa dhamana aliyonayo basi muheshimu kwa umri wake.
Naamini sana katika uhuru wa mawazo na demokrasia lakini si katika kuutumia kwa ajili ya kutweza utu, kuzusha, kutunga uongo au kujenga taharuki kwa maslahi binafsi ya kisiasa.
Daud Lukanya
Kigoma Ujiji.
Daudlukanya@gmail.comView attachment 875427
Tulia ndugu siasa ina gharama yake, hata ukiwa na miaka 1000 kama ueleweki vijana wa miaka 30 watakuelewesha tuZitto Zuberi Ruyagwa Kabwe ni kijana ambaye miaka ya 2015 nyuma ulikuwa ni miongoni mwa vijana mahiri na wenye kujenga hoja kweli kweli, binafsi mbali na kutokufuatilia Itikadi zenu za kivyama nilikupenda na kukuheshimu sana.
Hukuwahi kuwa na siasa za kushambulia utu wa mtu, ila ulikuwa na siasa za kushambulia hoja ya mtu, " politics of agenda not inhuman politics".
Nimesoma tweet yako, binafsi nimeumia sana, na niseme tu ningekuwa na uwezo nadhani ulikuwa ni wakati muafaka wa kuvunja katiba na kukushughulikia wewe mtu mmoja ambaye unahatarisha amani ya watanzania milioni 50 na kujenga taharuki kwa kutunga uongo.
Busara inaweza tumika kukuacha uendelee na maisha yako ila nakuhakikishia Kaka yangu na kijana mwenzangu dhambi hii haitokuacha salama kama sio leo basi kesho.
Umenukuu kifungu cha katiba 37 (2) ambacho kwa hakika ni dhihaka kubwa kwa kiongozi wa nchi.
Marekani wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Uingereza wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Urusi wana Demokrasia ila hawathubutu kufanya hivi.
Hapa Tanzania kuna nini watu wanavuka mipaka na kudhalilisha utu tena wa Kiongozi Mkuu wa nchi?
Uhuru gani wa kuongea tunaoutaka? Ni huu wa kudhihaki na kudhalilisha utu wa Viongozi tena Mkuu wa nchi.
Zitto umeteleza tena umeteleza sana, binafsi nimeumia sana ila bado naendelea kutafakari je ni wewe ninayekufahamu uliyepita mpaka nyumbani kwetu kuomba kura kwa akili zako unafanya haya ama wewe ni kitangulizi tu?
Zitto kama umeshindwa kumuheshimu Rais Magufuli kwa dhamana aliyonayo basi muheshimu kwa umri wake.
Naamini sana katika uhuru wa mawazo na demokrasia lakini si katika kuutumia kwa ajili ya kutweza utu, kuzusha, kutunga uongo au kujenga taharuki kwa maslahi binafsi ya kisiasa.
Daud Lukanya
Kigoma Ujiji.
Daudlukanya@gmail.comView attachment 875427
Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe ni kijana ambaye miaka ya 2015 nyuma ulikuwa ni miongoni mwa vijana mahiri na wenye kujenga hoja kweli kweli, binafsi mbali na kutokufuatilia Itikadi zenu za kivyama nilikupenda na kukuheshimu sana.
Hukuwahi kuwa na siasa za kushambulia utu wa mtu, ila ulikuwa na siasa za kushambulia hoja ya mtu, " politics of agenda not inhuman politics".
Nimesoma tweet yako, binafsi nimeumia sana, na niseme tu ningekuwa na uwezo nadhani ulikuwa ni wakati muafaka wa kuvunja katiba na kukushughulikia wewe mtu mmoja ambaye unahatarisha amani ya watanzania milioni 50 na kujenga taharuki kwa kutunga uongo.
Busara inaweza tumika kukuacha uendelee na maisha yako ila nakuhakikishia Kaka yangu na kijana mwenzangu dhambi hii haitokuacha salama kama sio leo basi kesho.
Umenukuu kifungu cha katiba 37 (2) ambacho kwa hakika ni dhihaka kubwa kwa kiongozi wa nchi.
Marekani wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Uingereza wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Urusi wana Demokrasia ila hawathubutu kufanya hivi.
Hapa Tanzania kuna nini watu wanavuka mipaka na kudhalilisha utu tena wa Kiongozi Mkuu wa nchi?
Uhuru gani wa kuongea tunaoutaka? Ni huu wa kudhihaki na kudhalilisha utu wa Viongozi tena Mkuu wa nchi.
Zitto umeteleza tena umeteleza sana, binafsi nimeumia sana ila bado naendelea kutafakari je ni wewe ninayekufahamu uliyepita mpaka nyumbani kwetu kuomba kura kwa akili zako unafanya haya ama wewe ni kitangulizi tu?
Zitto kama umeshindwa kumuheshimu Rais Magufuli kwa dhamana aliyonayo basi muheshimu kwa umri wake.
Naamini sana katika uhuru wa mawazo na demokrasia lakini si katika kuutumia kwa ajili ya kutweza utu, kuzusha, kutunga uongo au kujenga taharuki kwa maslahi binafsi ya kisiasa.
Daud Lukanya
Kigoma Ujiji.
Daudlukanya@gmail.comView attachment 875427
Tones za mheshimiwa huyu katika miezi ya karibuni zinaonyesha dalili za 'frustration' za kisiasa ambazo zimemuta huyu mheshimiwa. Anahisi kuwa hapewi thamani stahiki. Kwani kwa sasa ukiondoa Ubunge[hayumo kwenye kamati nyeti ambazo alikuwemo] hasikilizwi huko kwao . ACT ni chama kidogo sana na siyo hadhi yake [kwa muendelezo wa tabia yake ni vigumu chama hicho kupata wabunge/madiwani wapya. Ushauri wangu ni kwamba inabidi abadilishe farasi kwa aidha kurudi CDM au kwenda CUF.Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe ni kijana ambaye miaka ya 2015 nyuma ulikuwa ni miongoni mwa vijana mahiri na wenye kujenga hoja kweli kweli, binafsi mbali na kutokufuatilia Itikadi zenu za kivyama nilikupenda na kukuheshimu sana.
Hukuwahi kuwa na siasa za kushambulia utu wa mtu, ila ulikuwa na siasa za kushambulia hoja ya mtu, " politics of agenda not inhuman politics".
Nimesoma tweet yako, binafsi nimeumia sana, na niseme tu ningekuwa na uwezo nadhani ulikuwa ni wakati muafaka wa kuvunja katiba na kukushughulikia wewe mtu mmoja ambaye unahatarisha amani ya watanzania milioni 50 na kujenga taharuki kwa kutunga uongo.
Busara inaweza tumika kukuacha uendelee na maisha yako ila nakuhakikishia Kaka yangu na kijana mwenzangu dhambi hii haitokuacha salama kama sio leo basi kesho.
Umenukuu kifungu cha katiba 37 (2) ambacho kwa hakika ni dhihaka kubwa kwa kiongozi wa nchi.
Marekani wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Uingereza wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Urusi wana Demokrasia ila hawathubutu kufanya hivi.
Hapa Tanzania kuna nini watu wanavuka mipaka na kudhalilisha utu tena wa Kiongozi Mkuu wa nchi?
Uhuru gani wa kuongea tunaoutaka? Ni huu wa kudhihaki na kudhalilisha utu wa Viongozi tena Mkuu wa nchi.
Zitto umeteleza tena umeteleza sana, binafsi nimeumia sana ila bado naendelea kutafakari je ni wewe ninayekufahamu uliyepita mpaka nyumbani kwetu kuomba kura kwa akili zako unafanya haya ama wewe ni kitangulizi tu?
Zitto kama umeshindwa kumuheshimu Rais Magufuli kwa dhamana aliyonayo basi muheshimu kwa umri wake.
Naamini sana katika uhuru wa mawazo na demokrasia lakini si katika kuutumia kwa ajili ya kutweza utu, kuzusha, kutunga uongo au kujenga taharuki kwa maslahi binafsi ya kisiasa.
Daud Lukanya
Kigoma Ujiji.
Daudlukanya@gmail.comView attachment 875427
The best I can advise, you'd better go to school. have a nice day and stay blessed!Hata sijakuelewa unachokisema ni kitu gani,mimi nimeomba msaada wa kutafsiriwa tu
Wewe unakuja na maelezo ya muaka ya 70,mara huko mbele kutakuja kuwa town
Mkuu au bado upo usingizini
Sio kila mzee ana busara..
Hata wapumbafu na machizi wanazeeka
Yaani unataka kabisa tukusikilize kuwa vifungu vya katiba alivyovitaja zitto pamoja na vile vya uhuru wa kujieleza na kutoa maoni vililenga kumdhalilisha rais?Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe ni kijana ambaye miaka ya 2015 nyuma ulikuwa ni miongoni mwa vijana mahiri na wenye kujenga hoja kweli kweli, binafsi mbali na kutokufuatilia Itikadi zenu za kivyama nilikupenda na kukuheshimu sana.
Hukuwahi kuwa na siasa za kushambulia utu wa mtu, ila ulikuwa na siasa za kushambulia hoja ya mtu, " politics of agenda not inhuman politics".
Nimesoma tweet yako, binafsi nimeumia sana, na niseme tu ningekuwa na uwezo nadhani ulikuwa ni wakati muafaka wa kuvunja katiba na kukushughulikia wewe mtu mmoja ambaye unahatarisha amani ya watanzania milioni 50 na kujenga taharuki kwa kutunga uongo.
Busara inaweza tumika kukuacha uendelee na maisha yako ila nakuhakikishia Kaka yangu na kijana mwenzangu dhambi hii haitokuacha salama kama sio leo basi kesho.
Umenukuu kifungu cha katiba 37 (2) ambacho kwa hakika ni dhihaka kubwa kwa kiongozi wa nchi.
Marekani wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Uingereza wana Demokrasia ila hawafanyi hivi,
Urusi wana Demokrasia ila hawathubutu kufanya hivi.
Hapa Tanzania kuna nini watu wanavuka mipaka na kudhalilisha utu tena wa Kiongozi Mkuu wa nchi?
Uhuru gani wa kuongea tunaoutaka? Ni huu wa kudhihaki na kudhalilisha utu wa Viongozi tena Mkuu wa nchi.
Zitto umeteleza tena umeteleza sana, binafsi nimeumia sana ila bado naendelea kutafakari je ni wewe ninayekufahamu uliyepita mpaka nyumbani kwetu kuomba kura kwa akili zako unafanya haya ama wewe ni kitangulizi tu?
Zitto kama umeshindwa kumuheshimu Rais Magufuli kwa dhamana aliyonayo basi muheshimu kwa umri wake.
Naamini sana katika uhuru wa mawazo na demokrasia lakini si katika kuutumia kwa ajili ya kutweza utu, kuzusha, kutunga uongo au kujenga taharuki kwa maslahi binafsi ya kisiasa.
Daud Lukanya
Kigoma Ujiji.
Daudlukanya@gmail.comView attachment 875427
Thinking capacity yako na boss wako ndo zinatupa shida humu.wavuvi ni immediate people ambao walikuwa around wakati wa tukio sijui we na boss wako mnajua ku saffocate kunachukua dakika ngapi hadi kusubiri team ya serikali maana meli ili overturn .so sad kwamba hasa boss mkuu kila kitu anaelewaYaani huyu jamaa (na wezake wengi humu) kila ukisoma post zao 90% ni upepo. By the way siyo kwa sababu ni CCM au CHADEMA....that's not my interest......ni basi tuu hawajui kujenga hoja zenye mashiko. Let me tell you something..especially "propagandists" wa Lumumba. Muwe mnaangalia jinsi Urusi na China wanavyofanya propaganda. ofcourse hamtafikia hata 20% yao, Lakini mtajifunza mawili au matatu. Mjiwekee utaratibu wa kusoma vitabu na majarida makini ya propaganda...angalieni Putin kafanya nini Ukraini na Crimea..amewezaje kunyamazisha wapinzani...kawezaje kuwatia kidole US kwenye chaguzi zao..yote bila kelele nyingiza magharibi (in fact wana wa magharibi wanatafutana wao kwa wao).....Jifunzeni. Mtafaidika!
Kwa sasa naweza kusema..bila kupapasa macho.....mnapokea posho za bure. You are an embarrassment to your pay master.
.....light touch!
Ni kweli kabisa....na atakayesafisha ni CCM huyo huyo.80% ya wabunge wazee hasa wa CCM ndio wametufikisha hapa.
Tunajuwa zitto anatumika na wewe kumbe uko nyuma yake? Haya endeleeni kufanya huo ujingaSio kila mzee ana busara..
Hata wapumbafu na machizi wanazeeka
Wewe ndiyo mbumbu boya weweSijaona hoja ya kumlaumu zitto bali ni umbumbu ulio nao
Ni ngumu sana niseme tu haiwezekani kumheshimu mtu anayekudharau!
Watu tunazika yeye anagonga sambusa na wala rushwa!!!! TRAFFIC!!! of all people!!!
.