Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,222
Tunaipongeza awamu hii ya Samia kwa kutufumbulia fumbo gumu.
Ametuonyesha kuwa kumbe utawala usipokukubali nawe ni mstaafu unakunyang'anya hadhi yako na kukukosesha stahili zako zote.
Baada ya Rais aliyoko sasa, utawala ujao itabidi nao ufuate nyayo hizi bila kupepesa macho kwa wastaafu wote viongozi kuanzia Marais waliopita, maspika hata na mawaziri pia.
Kama umefanya makosa ambayo ulikuwa unaambiwa kuwa hii sio sawa na ukaendelea kwa sababu madaraka uliyonayo huna wakukuwajibisha au ulilindwa na uchama kwa mfano issue ya mikataba ya gas, unyama kwa wamasai wa Ngorongoro na Loliondo, wizi na ubadhilifu nk.
Hata kama ulikuwa Rais, tutakuvua hadhi ya Urais mstaafu na kukunyima stahili zote kama hivi alivyo vuliwa Dr Slaa hadhi ya ubalozi.
Sheria lazima iwe msumeno kukata mbele na nyuma.
Ametuonyesha kuwa kumbe utawala usipokukubali nawe ni mstaafu unakunyang'anya hadhi yako na kukukosesha stahili zako zote.
Baada ya Rais aliyoko sasa, utawala ujao itabidi nao ufuate nyayo hizi bila kupepesa macho kwa wastaafu wote viongozi kuanzia Marais waliopita, maspika hata na mawaziri pia.
Kama umefanya makosa ambayo ulikuwa unaambiwa kuwa hii sio sawa na ukaendelea kwa sababu madaraka uliyonayo huna wakukuwajibisha au ulilindwa na uchama kwa mfano issue ya mikataba ya gas, unyama kwa wamasai wa Ngorongoro na Loliondo, wizi na ubadhilifu nk.
Hata kama ulikuwa Rais, tutakuvua hadhi ya Urais mstaafu na kukunyima stahili zote kama hivi alivyo vuliwa Dr Slaa hadhi ya ubalozi.
Sheria lazima iwe msumeno kukata mbele na nyuma.