Zitto, Kafulila washambuliana

Zitto, Kafulila washambuliana

La Rostam Aziz. Je unawajua wakoje na Lowassa



Katika watu wa Hovyo wewe ni No.1
Je? Baada ya kuondoka Lowasa ccm Rushwa na Ufisadi umeisha?
Kama ndiyo.
Je? Chenge, Mwambalaswa, Prof. Muhongo, Prof. Tibaijuka, Ngeleje na Mkapa Kiwira si Mafisadi na Wala Rushwa?
Kama ndiyo.
Je? ilikuwaje wahusishwe na Escrow na Kiwira?
Je? Kwanini Magufuli anahusishwa na Ufisadi wa kuhonga Nyumba?
Je? Bado unaimani na CCM au ni sehemu ya wanufaika?
 
Ni sawa na kumpa mbu kazi ua kutibu malaria.


Katika watu wa Hovyo wewe ni No.1
Je? Baada ya kuondoka Lowasa ccm Rushwa na Ufisadi umeisha?
Kama ndiyo.
Je? Chenge, Mwambalaswa, Prof. Muhongo, Prof. Tibaijuka, Ngeleje na Mkapa Kiwira si Mafisadi na Wala Rushwa?
Kama ndiyo.
Je? ilikuwaje wahusishwe na Escrow na Kiwira?
Je? Kwanini Magufuli anahusishwa na Ufisadi wa kuhonga Nyumba?
Je? Bado unaimani na CCM au ni sehemu ya wanufaika?
 
Katika watu wa Hovyo wewe ni No.1
Je? Baada ya kuondoka Lowasa ccm Rushwa na Ufisadi umeisha?
Kama ndiyo.
Je? Chenge, Mwambalaswa, Prof. Muhongo, Prof. Tibaijuka, Ngeleje na Mkapa Kiwira si Mafisadi na Wala Rushwa?
Kama ndiyo.
Je? ilikuwaje wahusishwe na Escrow na Kiwira?
Je? Kwanini Magufuli anahusishwa na Ufisadi wa kuhonga Nyumba?
Je? Bado unaimani na CCM au ni sehemu ya wanufaika?
Calm down. Unatumia nguvu nyingi mno kujenga hoja yako. Yaani kama nakuona hapo ulivyo excited na unavyohangaika. Utakuja kujipa heart attack bure. Kama ni mabadiliko yatakuja tu hata bila wewe kupata heart attack. Ni siasa. Tarehe 26 Oktoba jua litachomoza na maisha yataendelea!
 
Haitakuwa ya kwanza kutokea dunia ishatokea sana,Paul alikuwa ndiye muua watumishi wa Mungu mwisho akawa mtumishi mzuri,Saul alikuwa mla rushwa na mtoza ushuru ila unajua aliishia wapi,hata baadhi ya marais wa kiafrica walikuwa waasi Leo wanafanya nn!

tatizo la wanaccm mna static mind.hamtaki kujua Kuwa watu siku zote ni dynamic

Acha upuuzi kulinganisha mambo ya Mungu na huyo fisadi wenu...tambua Paul baada ya kukutana na Mungu ALITUBU NA KUPELEKWA JANGWANI MIAKA MITATU NA NUSU..KULE ALIKUWA ANATOLEWA UJINGA WOTE NDO AKARUDI KUONANA NA MITUME
SWALI: NI LINI LOWASA ALITUBU AKAKIRI KUHUSIKA NA RUSHWA UFISADI MKUBWA HAPA NCHINI??? SIKU ZOTE ANAJIHESABIA HAKI KUWA HAKUFANYA WAKATI HATA MITI NA NDEGE WANAJUA NI FISADI TANGU ENZI ZA NYERERE..ISITOSHE NA WW BADALA YA KUMWAMBIA ATUBU UNAMPIGIA CHAPUO KUWA YUKO SAHIHI..Kitu kama hukijui usiongee unajidhalilisha...
 
Haa ha ha labda anamaanisha ndan ya siku hizo 100 ataifanya rushwa kuwa ruksa hivyo haitakuwa kosa tena kwa mujibu wa sheria maana hiyo itakuwa serikali ya wapiga deal watupu, kuanzia Lowassa,Sumaye,Mbowe chini ya marafiki zao Rostam,Karamagi na Chenge.Ni deal kwa kwenda mbele
Kuna mtia nia mmoja ndio aliahidi haya mambo,yeye hatokamata watoaji bali wapokeaji tu
 
Katika watu wa Hovyo wewe ni No.1
Je? Baada ya kuondoka Lowasa ccm Rushwa na Ufisadi umeisha?
Kama ndiyo.
Je? Chenge, Mwambalaswa, Prof. Muhongo, Prof. Tibaijuka, Ngeleje na Mkapa Kiwira si Mafisadi na Wala Rushwa?
Kama ndiyo.
Je? ilikuwaje wahusishwe na Escrow na Kiwira?
Je? Kwanini Magufuli anahusishwa na Ufisadi wa kuhonga Nyumba?
Je? Bado unaimani na CCM au ni sehemu ya wanufaika?

Tatizo lako ni mtaalamu wa kumeza ila ukiambiawa uelezee mfumo ni nini utaanza kujing'ata tu hapa. ivi UKAWA ikiingia madarakani ndo inaenda kuondoa wafanyakazi wote nchini? Maana unang'ang'ana mfumo ila ninauhakika hujui maana ya mfumo. Endelea kumeza na kukalili hadi utajaa kichwa ushindwe kufukiria. Kwa heri
 
Katika watu wa Hovyo wewe ni No.1
Je? Baada ya kuondoka Lowasa ccm Rushwa na Ufisadi umeisha?
Kama ndiyo.
Je? Chenge, Mwambalaswa, Prof. Muhongo, Prof. Tibaijuka, Ngeleje na Mkapa Kiwira si Mafisadi na Wala Rushwa?
Kama ndiyo.
Je? ilikuwaje wahusishwe na Escrow na Kiwira?
Je? Kwanini Magufuli anahusishwa na Ufisadi wa kuhonga Nyumba?
Je? Bado unaimani na CCM au ni sehemu ya wanufaika?

Mkuu, huyu ni sehemu ya mnufaika. Aisifiye mvua kule kwetu wanasema; IMEMNYEAAAAA. Aisifiye ccm; imemkumbukaaaaa. Endeleeni tu kuisifia ccm, lakini, iko siku Watz wataamka tuu. Usingizi hata wa pono humwisha akaenda kula. La sivyo, mbona angeshakufa njaa? Kuamka kwa Mtz ni karibu saana tu. Siku, HAZIGANDIiiii
 
Huyu mzee siyo mzima kichwani mwake yani mla rushwa namba moja awe mdhibiti rushwa kweli ujinga kipaji.
Hujamuelewa..anamaanisha hivi: Kama atashinda, kwasikh 100 ( miezi3) ya uongozi wake ndiyo Rushwa itadhibitiwa. Baada ya hapo ni full kujiachia.
 
Gazeti la MTANZANIA la leo limeandika Zitto, Kafulila washambuliana, watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina.

Kafulila asema " Kijana anapokuwa na chuki za kichawi ni mbaya sana maisha haya, nina uwezo wa kusimama mwenyewe"

Zitto ajibu " Siwezi kukuchukia, Mungu ndiye anayejua atashinda nani, ninachojua hakuna wakala wa manamba atashinda Mkoa wa Kigoma"

Kwa bahati mbaya ama bahati nzuri, nawafahamu sana Kaka zangu hawa kinagaubaga...Hili BINAFSI limenisikitisha, We have very long way to go....sisi ni Vijana, na kisha kuna maisha baada ya siasa. Tukijiendekeza kuishi kwa maelekezo, our future will be doomed.
 
Gazeti la MTANZANIA la leo limeandika Zitto, Kafulila washambuliana, watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina.

Kafulila asema " Kijana anapokuwa na chuki za kichawi ni mbaya sana maisha haya, nina uwezo wa kusimama mwenyewe"

Zitto ajibu " Siwezi kukuchukia, Mungu ndiye anayejua atashinda nani, ninachojua hakuna wakala wa manamba atashinda Mkoa wa Kigoma"

Kwa bahati mbaya ama bahati nzuri, nawafahamu sana Kaka zangu hawa kinagaubaga...Hili BINAFSI limenisikitisha, We have very long way to go....sisi ni Vijana, na kisha kuna maisha baada ya siasa. Tukijiendekeza kuishi kwa maelekezo, our future will be doomed.

Kwa wewe ambae maelekezo ndo kula, kunya na kulala kwako wala usingeandika haya.
 
"Unafiki mtupu, unasema asiyekufuata ACT hawi Mbunge Kigoma

Umaarufu wa Kafulira ulimtishia sana Zitto halafu kitendo cha Kafulira kususa ACT bila shaka kiliongeza chuki kati yao.
Zitto anataka Kigoma nzima imuone yeye ndio yeye tu hakuna mwingine,ndio sababu zakutoa kauli za vitisho kwa wabunge wa Kigoma
 
Kwamba hakuna wakala wa manamba hata mmoja atakayeshinda Kigoma, tusubiri Novemba. One thing can not be disputed though, ukweli kwamba wabunge wote wa nccr ni matokeo ya kazi ya Zitto. Kafulila anaweza asjue hilo, lakini ndio ukweli ambao tumekuwa tukiusema humu siku zote. Inapendeza kwamba Zitto mwenyewe kathibitisha hilo.
 
Acha upuuzi kulinganisha mambo ya Mungu na huyo fisadi wenu...tambua Paul baada ya kukutana na Mungu ALITUBU NA KUPELEKWA JANGWANI MIAKA MITATU NA NUSU..KULE ALIKUWA ANATOLEWA UJINGA WOTE NDO AKARUDI KUONANA NA MITUME
SWALI: NI LINI LOWASA ALITUBU AKAKIRI KUHUSIKA NA RUSHWA UFISADI MKUBWA HAPA NCHINI??? SIKU ZOTE ANAJIHESABIA HAKI KUWA HAKUFANYA WAKATI HATA MITI NA NDEGE WANAJUA NI FISADI TANGU ENZI ZA NYERERE..ISITOSHE NA WW BADALA YA KUMWAMBIA ATUBU UNAMPIGIA CHAPUO KUWA YUKO SAHIHI..Kitu kama hukijui usiongee unajidhalilisha...

jamani mimi labda nikubaliane na wewe, lakini hebu nishawishi na ushahidi basi wa ufisadi wa huyu jamaa anayeitwa Lowasa, maana mimi nasikia tu jamaa fisadi ila sina ushahidi, hebu niwekee hapa mkuu.
 
Inasikitisha sana aisee...

Benazir,

It's true.

Binafsi Nimesikitishwa sana na vita ya maneno kati ya wanasiasa vijana Zitto na Kafulila.It's totally uncalled for.

Vita hii ina madhara beyond Zitto na David.Inaweza kuathiri wanasiasa vijana wanaotafuta kuaminika na kukabidhiwa dhamana na wananchi kipindi hiki cha kampeni.

Vilevile kila mmoja wao anamuhitaji mwenzake sasa na hata baada ya uchaguzi

Beyond Oktoba 25 kuna Maisha

Mimi binafsi siku za nyuma niliwahi kutofautiana na kaka zangu hawa lakini tukajikuta tunafanya kazi pamoja katika vita ya ESCROW

Kigoma inawahitaji nyote,Tanzania inawahitaji nyote

Ni lazima pia itambulike kuwa katika demokrasia ya vyama vingi si dhambi kwa mwansiasa kusimamia mrengo anaouamini kisiasa ili mradi anazo hoja za kushawishi kuungwa mkono

Hakuna haja ya kuitana Manamba na Wachawi.

Wapambe nao wataingilia na kuchochea mifarakano.Wataipamba nuksi kwelikweli.Tena wasiojua mlipotoka kisiasa .Dont give them a chance.

Aluta continua ,Victory Ascerta...

Ben Saanane
 
Back
Top Bottom