FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
Nani wa kumuhoji? Jaji mkuu jana kasema" hakuna chombo cha nje chenye uwezo wa kufanya uchunguzi tukio la Lisu "
Hiyo kauli kwa watu wenye akili zao wameelewa alimaanisha nini
Alinishangaza sana huyu Mzee
Kila mtu alishangaa