Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
"Wamezuia mgombea wetu na kesho(leo Oktoba 15,2025) tunakwenda mahakamni kupata uamuzi, lakini kwa maamuzi yoyote yale bado nyinyi mna maamuzi ya kufanya."
Aidha amesisitiza endapo Mpina asipopitishwa na Mahakama, wananchi wawachague Wabunge wa ACT Wazalendo "tukipata wabunge wengi ndani ya bunge tunaenda kushughulika na CCM ndani ya bunge" amesema Zitto
Aidha amesisitiza endapo Mpina asipopitishwa na Mahakama, wananchi wawachague Wabunge wa ACT Wazalendo "tukipata wabunge wengi ndani ya bunge tunaenda kushughulika na CCM ndani ya bunge" amesema Zitto