Zitto Kabwe: The Bottom 30m

Mipango tunayo mizuri huenda tatizo likawa ni utekelezaji wake,mie naamini muda tractor zilivyokaa pale SUMA JKT ungetumika kukopesha vikundi mbali mbali vya uzalishaji kupitia Saccos zao,Deni lingekuwa limelipika au kupungua kabisa na uzalishaji ungekuwa umeongezeka. Tumejenga kasumba ya kutoaminiana na kisha kulaumiana kuwa ni wavivu na wazembe bila kuwa na sababu za msingi.
Huelewi kuwa wakati wa Kikwete ni wakati wa utendaji? Usione hawa wapinzani wanawahi kukimbilia kuita waandishi wa habari na kubandika haya mambo kwenye mintandao, hayo yote ni mambo yanayotekelezwa kwa sasa hivi. Kuhusu Matrekta, mpaka sasa wameambiwa wakubwa wa mikoa na wilaya wao ndio wakasimamie wahakikishe kama si vikundi hata mtu mmoja mmoja anakopeshwa kwa dhamana ya hilohilo trekta na sehemu yake ya kulimia tu. Naona hujui kinachoendelea. Umeshindwa kuelewa kuwa kwa mara ya kwanza sasa na toka mpango wa Kilimo Kwanza na akiba ya chakula tuna akiba ya chakula ya miezi sita ujayo na inatuna kila mwaka, tunategemea mwaka huu itafikia akiba ya mwaka mzima kwa mahindi. Mwakani tunategemea kuona mchele kwa wingi sana kwa kuwa kuna mabonde ya kulima mpunga amabyo ni kipa umbele kwa sasa. Tatizo la Watanzania ni kuwa umeshapewa bi harusi, haitoshi unataka usaidiwe kuvuliwa na nguo zake, nayo haitoshi, unataka usaidiwe mpaka (ashaakum si matusi) kunyanyuliwa miguu yake, na hiyi mnaona haitoshi, mnataka mpaka msaidiwe kumshughulkia huyo bi harusi. Nyie kaeni na kudakia hoja na mipango ambayo inafanyiwa kazi, mnalalamika kufanyiwa, wenzenu wanatekeleza na wanafanya kweli. Of course, Rome was not built in a day, we are heavily under construction right now, way past the drawing room.
 
As far as The Bottom 30m is concerned, infrastructure system should be improved. The potentials of most of the rural areas in Tanzania can not be utilized without first improving infrastructures.

I have been to most rural areas of Iringa, Njombe and Ruvuma regions, and i was amazed at what Tanzanians have in store but yet, can not be utilized because of poor infrastructure systems. Infrastructure systems have to be dealt with first and foremost before other things can take place.

Apart from that, there has to be Regional strategic plan which will describe the potentials of each and every region of Tanzania(including the rural areas) and how to get the most out of every region, that way we are going to move from the least developed country to the developed country. There are areas where agriculture can not take place because the areas are not fertile, but they have coal, and uranium, thus coal and uranium can be utilized instead of agriculture, and so forth and so on.

Taking a look at Rwanda, which was faced with genocide in 1994, the economic situation was totally distorted, but now they are far ahead of us. They have set strategic plan for each region and implementation is taking place. Let us be serious and do something. It can be done, let's play our parts.
 
Huelewi kuwa wakati wa Kikwete ni wakati wa utendaji? Usione hawa wapinzani wanawahi kukimbilia kuita waandishi wa habari na kubandika haya mambo kwenye mintandao, hayo yote ni mambo yanayotekelezwa kwa sasa hivi. Kuhusu Matrekta, mpaka sasa wameambiwa wakubwa wa mikoa na wilaya wao ndio wakasimamie wahakikishe kama si vikundi hata mtu mmoja mmoja anakopeshwa kwa dhamana ya hilohilo trekta na sehemu yake ya kulimia tu. Naona hujui kinachoendelea. Umeshindwa kuelewa kuwa kwa mara ya kwanza sasa na toka mpango wa Kilimo Kwanza na akiba ya chakula tuna akiba ya chakula ya miezi sita ujayo na inatuna kila mwaka, tunategemea mwaka huu itafikia akiba ya mwaka mzima kwa mahindi. Mwakani tunategemea kuona mchele kwa wingi sana kwa kuwa kuna mabonde ya kulima mpunga amabyo ni kipa umbele kwa sasa. Tatizo la Watanzania ni kuwa umeshapewa bi harusi, haitoshi unataka usaidiwe kuvuliwa na nguo zake, nayo haitoshi, unataka usaidiwe mpaka (ashaakum si matusi) kunyanyuliwa miguu yake, na hiyi mnaona haitoshi, mnataka mpaka msaidiwe kumshughulkia huyo bi harusi. Nyie kaeni na kudakia hoja na mipango ambayo inafanyiwa kazi, mnalalamika kufanyiwa, wenzenu wanatekeleza na wanafanya kweli. Of course, Rome was not built in a day, we are heavily under construction right now, way past the drawing room.

Inaonekana hata habari ya Zitto hukuisoma ukaielewa na kama umeelewa uwezo wa kujenga hoja unao mkubwa ila nje ya mada husika.Tz sio mbinguni naijua na naishi na pia nimeshiriki kuandaa mipango mbali mbali ya kilimo sio mgeni wa hiyo mipango inayokutia wazimu.
Lenga kwenye hoja ikilinganisha na uhalisia wa mambo na wala si vinginevyo.

Andaa uzi wako kwa hili tukupe shule.
 
Back
Top Bottom