Zitto Kabwe: Soko la mahindi limeharibiwa na Serikali

Zitto Kabwe: Soko la mahindi limeharibiwa na Serikali

Tatizo watu wanajifanya hawajui kuwa NFRA ndo ilikua chaka la walanguzi wa mahindi hizo riport na uhalisia wake huwezi jua mapishi yake yalivyo... baadhi tulikua katika usombaji mahindi na usambazaji kivuli chake kirefu zito anakijua..amebaki kubadii gia angani kwa kuzibwa mifareji
 
...NJaa haina baunsa, namchopendea mkulima ni kushika matumbo ya watu. Akiwezeshwa tutashinda njaa, akipuuzwa analeta mabalaa, msimu huu mkulima wa mahindi katufichia aibu ya njaa. Hakuuza kwa bei ya kuridhisha, wale wanaotambua adha ya kulima nje ya keyboard walifurahi sana. Eti ugali bwerere. Tusubiri msimu ujao kama mkulima ataendelea, kutufichia tena. Serikali isipopunguza bei ya mbolea. Ugali utageuka kuwa piza. Heko zitto waache wajadili kauli zako badala ya uhalisia wa maisha
 
Hata malaya hawezi kuhangaika hivi.
.....
tapatalk_1542029574633.jpeg
 
Mnataka kudanganya umma sasa anawsumbua ni lazima mumchukie.
Shida yako mkuu ukisikia Wananchi wa Tz unajiangalia familia yako na ndugu zako
wenzako tunaangalia watu tuliopo tz kwahiyo kuna tofauti kubwa ya kuelewa lipi ni sahihi lipi sio sahihi
shida nikwamba unajua yakuwa yai linahitaji kuku litotolewe umesahau kuwa incubetor sio kuku, Kuna wakati inakubidi utumie tu akili ya unyonge kwa kujifunza wanaolia wanalia nini.
sio kugombeza tu mkuu
tumia busara na akili
unapoondoka wewe kwako asubuhi umepata chai kuna babu yangu anawahi kwenda kulima na chai yake ni migage pori na matunda pori.
Usifikirie Tanzania niwewe tu, Ila jua yakuwa Tanzania Ina watu zaidi ya milio 50, usifikirie wote wapo katika nafsi yako.
siku tembelea tu pale muhimbili ukutane na wanao pata matibabu hawana hata hela ya kula na wala bima hapo ndio utajua nini watu wanaongea
Its too sad sungura aliyepewa ukiranja na simba kuwanyanyasa simbilisi, pasipokujua naye siku atakuwa kitoweo
 
Jamani binafsi nililima mahindi mbozi mkoa wa Songwe ya kupata Gunia 380. Bahati nzuri Nina mashine za kusindika unga. Gunia ilifika mpaka Tshs. 18,000. Wakulima wa mahindi walipanda mahindi wamevuna Kinyesi . Hayauziki
 
Walianza na watumishi wa umma
Bado tuna kazi, wameshaua soko la mahindi, dengu, mbaazi, tumbaku. Sasa wanahamia kwenye korosho.

Halafu wakimaliza huko, wahamie tu na kwenye maharage/kahawa/chai/nyanya chungu/bamia/mchicha/matembele. Tuwe tunakula Ugali kwa chumvi.[emoji18]
 
Ukitaja mahindi nahsi pressure maana sijui nitayapeleka wapi mie
 
s
Alafu anatumia nguvu kubwa kutaka aonekane mzalendo huku akilaumu wasaidizi wake kumbe baadhi ya mambo yeye ndio chanzo.

Majinga hayaelewi na wala hayafuatilii kazi kushangilia tu na kusifu ujingaujinga!
sasa wataelewa tu sasa inakuja Petro show then sugar show na kwa mbaliii naona MP hana siku nyingi pale sikuamini kama.wanaweza kutofautiana vile hadharani analalamika hakuna coordination kati ya wizara wakati yy nfo kinara wa kuyokufanya coordination
 
Miundo mbinu ya usafirishaji ni miongni mwa yanayochangia kupanda au kushuka kwa bei!
Unaingiaje humu na elimu yako ya regional geographical form II au darasa la 3 English medium School? Hoja yako ni nini, kipindi cha Mkapa na Jakaya barabara zilikuwa nzuri na kipindi cha JpM zimekuwa mbaya?
 
Back
Top Bottom