mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
Maneno ya Zitto Kabwe
Nimepewa taarifa na kupata kuona email za kizushi zinazojaribu kunihusisha na mawasiliano feki na Mwigulu Nchemba.
Kwa mtu yeyote mwenye uelewa hata mdogo wa uhariri wa picha kwa kompyuta mfano Photoshop, anaweza kugundua kwa wepesi kuwa email hizi zimehaririwa kwani hata maandishi yaani fonts ni za kupishana.
Nawahakikishia watanzania wote kuwa email hizi ni feki na za kizushi.
Sitakubali kupoteza muda kujadili uongo na uzushi kwani hivi sasa niko katika ujenzi wa chama changu ACT - Wazalendo nchi nzima.
Nawashukuru wote walioonyesha imani kubwa kwangu na kutambua kuwa siwezi kujihusisha na mbinu yoyote chafu. Siku njema
Leo tupo Morogoro, kesho Dodoma
Nimepewa taarifa na kupata kuona email za kizushi zinazojaribu kunihusisha na mawasiliano feki na Mwigulu Nchemba.
Kwa mtu yeyote mwenye uelewa hata mdogo wa uhariri wa picha kwa kompyuta mfano Photoshop, anaweza kugundua kwa wepesi kuwa email hizi zimehaririwa kwani hata maandishi yaani fonts ni za kupishana.
Nawahakikishia watanzania wote kuwa email hizi ni feki na za kizushi.
Sitakubali kupoteza muda kujadili uongo na uzushi kwani hivi sasa niko katika ujenzi wa chama changu ACT - Wazalendo nchi nzima.
Nawashukuru wote walioonyesha imani kubwa kwangu na kutambua kuwa siwezi kujihusisha na mbinu yoyote chafu. Siku njema
Leo tupo Morogoro, kesho Dodoma