Hii ni hujuma kwa Tanzania. Ni kinyume cha sheria ya korosho. Huu ni uhujumu uchumi. Sheria inakataza mbegu ya korosho ya Tanzania kutolewa kwa nchi nyingine yeyote. Rais Magufuli J P anahujumu nchi yetu kuwa mzalishaji mkubwa wa korosho. Ameuza siri za nchi kwa bei chee. Zitto Kabwe.