Zitto Kabwe-Njoo na dhana/andiko la kisomi kuhusu kujenga uchumi wa Tanzania!

Kwani Zito ni chama chenu!?

Zitto si chama chetu ila yeye bila cdm ni sawa na mamba aliye nje ya maji. Hoja hapa si Zitto kuwa cdm, bali ni kuleta hiyo hoja hadharani wakati nyie za kwenu zinajadiliwa ndani ya vikao vya chama. Kama ni jambo la kitaifa leteni hapa hadharani tujadili, kama ni wazo sahihi tutaunga mkono, kama lina mapungufu tutakosoa na kurekebisha, mkiona marekebisho yana tija chukueni, mkiona hayana tija mnaweza kupotezea kama mengine.
 
Hii pia inamhusu lipumba mwana ccm mtiifu mbona unamtetea mbwa yule
Sijamsikia sana lipumba kukosoa sera za kiuchumi za Tabzania hivi karibuni.
Zitto daily yuko twitter na data za uchumi zisizo sahii
 
Sijamsikia sana lipumba kukosoa sera za kiuchumi za Tabzania hivi karibuni.
Zitto daily yuko twitter na data za uchumi zisizo sahii

Hapa unachotaka Zitto achangie ni kwakuwa anakosoa au unahitaji mchango wake? Maana cha muhimu ni mchango na sio ana mtazamo gani kuhusu sera za nchi. Ni bora huyo Zitto anayekosoa kuliko huyo Lipumba asiyekosoa, maana kupitia ukosoaji wa mtu kama Zitto, serekali inakuwa makini kuhakikisha inamziba mdomo.
 
Sijamsikia sana lipumba kukosoa sera za kiuchumi za Tabzania hivi karibuni.
Zitto daily yuko twitter na data za uchumi zisizo sahii
...Akosoe halafu mumkate kwenye payroll, au uhamiaji waanze kuchunguza uraia wake?
 
Huu ni ushauri wangu kwa mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye mara kadhaa anajaribu kujiweka kwenye kundi la wasomi wa uchumi nchini ingawa alichagua kuwa mwanasiasa.

Ushauri wangu unamuelekeza Zitto aje na andiko au dhana ya kiuchumi ya jinsi gani ya kuboresha uchumi wa Tanzania.

Wapo wanafilosofia waliofanya hivyo kama kina Karl Marx,Nyerere na wengine.

Zitto hana budi basi kujipambanua katika muktadha huo ili tuone na kuheshimu mchango wake.
Hili uliloandika ni zito. Wanaotumikisha akili zao watakupa kudos. Lakini nina uhakika Zitto haiwezi ngoma hii kwani Inahitaji akili na uvumilivu na uzalendo.

Zitto mwache awe fisi kuvizia mkono kudondoka!
Anatafuta na kulazimisha makosa kwenye jambo lolote ili apate publicity! Kakosa consistency, haaminiki.

Ni vema tukamwita Mr. Dakia dakia kama Chadema tu!
 
Hili uliloandika ni zito. Wanaotumikisha akili zao watakupa kudos. Lakini nina uhakika Zitto haiwezi ngoma hii kwani Inahitaji akili na uvumilivu na uzalwndo..
Zitto mwache awe fisi kuvizia mkono kudondoka!
Anatafuta na kulazimisha makosa kwenye jambo lolote ili apate publicity! Kakosa consistency, haaminiki.
Ni vema tukamwita Mr. Dakia dakia kama Chadema tu!
Tunampa nafasi kama great thinkers
 
Back
Top Bottom