Zitto Kabwe-Njoo na dhana/andiko la kisomi kuhusu kujenga uchumi wa Tanzania!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,052
28,242
Huu ni ushauri wangu kwa mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye mara kadhaa anajaribu kujiweka kwenye kundi la wasomi wa uchumi nchini ingawa alichagua kuwa mwanasiasa.

Ushauri wangu unamuelekeza Zitto aje na andiko au dhana ya kiuchumi ya jinsi gani ya kuboresha uchumi wa Tanzania.

Wapo wanafilosofia waliofanya hivyo kama kina Karl Marx,Nyerere na wengine.

Zitto hana budi basi kujipambanua katika muktadha huo ili tuone na kuheshimu mchango wake.
 
Kwanini Zitto na wasiwe kina prof. Ossoro na wale wengine wabobezi na wanaofundisha vyuo vikuu? Huwaami maprofs waliojaa bot zaidi ya 17! Mwigulu naye ana dr si aandike? Lipumba kaisaidia Uganda na kuiacha tz ambayo ni nyumbani kwake. Mwambie akuandikieni!
Au unataka kumtest Zitto?
 
..Magufuli naye afanye hivyo.

..Mkapa, JK, Salim Salim, Warioba,..tumewahi kuwasoma ktk jarida la The East African.
 
Kwanini Zitto na wasiwe kina prof. Ossoro na wale wengine wabobezi na wanaofundisha vyuo vikuu? Huwaami maprofs waliojaa bot zaidi ya 17! Mwigulu naye ana dr si aandike? Lipumba kaisaidia Uganda na kuiacha tz ambayo ni nyumbani kwake. Mwambie akuandikieni!
Au unataka kumtest Zitto?
Nataka kumtest ndio!
Nataka aachane na kiki za msimu na aje na hoja au theory murua ya kiuchumi itakayofanya wananchi,serikali na wasomi waitumie kama model!
 
Bahati mbaya hata akiandika hamtamwelewa, badala take mtamjibu kwa kumtisha na sheria za takwimu
 
Huu ni ushauri wangu kwa mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye mara kadhaa anajaribu kujiweka kwenye kundi la wasomi wa uchumi nchini ingawa alichagua kuwa mwanasiasa.

Ushauri wangu unamuelekeza Zitto aje na andiko au dhana ya kiuchumi ya jinsi gani ya kuboresha uchumi wa Tanzania.

Wapo wanafilosofia waliofanya hivyo kama kina Karl Marx,Nyerere na wengine.

Zitto hana budi basi kujipambanua katika muktadha huo ili tuone na kuheshimu mchango wake.
Wewe jinga lao hata akija na andiko zuri kiasi gani kama halijamsifia mtukufu mtalikataa . Mmrjawa na ujinga kujidai wazalendo kumbe waapigaji wakubwa. Ati chama kipya Tanzania mpya ? Mkadanganye chato, unguja na lindi. Tunamtaka anayesema hivi atwambie ccm ya zaman ipo wapi na ilisimamiwa na nani ? Je wangapi walikuwepo sasa hawapo au wapo wapi?
 
Huu ni ushauri wangu kwa mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye mara kadhaa anajaribu kujiweka kwenye kundi la wasomi wa uchumi nchini ingawa alichagua kuwa mwanasiasa.

Ushauri wangu unamuelekeza Zitto aje na andiko au dhana ya kiuchumi ya jinsi gani ya kuboresha uchumi wa Tanzania.

Wapo wanafilosofia waliofanya hivyo kama kina Karl Marx,Nyerere na wengine.

Zitto hana budi basi kujipambanua katika muktadha huo ili tuone na kuheshimu mchango wake.

Mtamsikiliza ishauri wake! Msijemkamwita mchochezi iwapo dhana yake ipotofauti na uelewa wenu.
 
Akiweza hivyo, nahamia Somalia

Nilikuwa napitia huu uzi nikawa najua nitakuona hapa. Ongea na huyo jingalao mwambie mpango kazi huwa haujadiliwi humu jukwaani bali hupelekwa kwenye vikao vya chama. Nakumbuka siku ile nilikuambia utuonyeshe mpango kazi wa viwanda kutoka upande wa ccm, wewe ukatoka mishipa ya shingo kwamba hili suala mnalijadili kwenye chama chenu. Sasa huyo jingalao yeye anataka vipi Zitto alilete huku jukwaani?
 
Nilikuwa napitia huu uzi nikawa najua nitakuona hapa. Ongea na huyo jingalao mwambie mpango kazi huwa haujadiliwi humu jukwaani bali hupelekwa kwenye vikao vya chama. Nakumbuka siku ile nilikuambia utuonyeshe mpango kazi wa viwanda kutoka upande wa ccm, wewe ukatoka mishipa ya shingo kwamba hili suala mnalijadili kwenye chama chenu. Sasa huyo jingalao yeye anataka vipi Zitto alilete huku jukwaani?
Kwani Zito ni chama chenu!?
 
Back
Top Bottom