Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

Nyie ACT si ni sehemu ya serikali jamani au naota mpaka na mna makamo wa Rais! ina maana hata yeye Makamu wenu hajui Rais mwenzake alipo?
Mkuu hili jambo wanalojua ni wachache mno
 
So contradictory!

Zitto unasema Viongozi wa juu wako kimya, wakati huo huo unasem PM ametoa kauli, pia VP ametoa kauli. Sasa hapo issue ni ukimya wa viongozi, au huwaamini?

Pia unataka serikali itoe maelezo. Nani tena atoe maelezo ikiwa Mkuu wa shughuli za serikali ameshatoa kauli?

Usizunguke mbuyu, issue uitakayo ni rais kujitokeza hadharani.
 
Tuchape kazi watanzania....
Mimemiss hii kauli
 
Zzb umeongea point tatizo liko kwa wadanganyika waliozea kunywa chai ya moto kwa mrija. Ni maumivu.
Nimekusoma mkuu, vijana wamekuwa shida sana yaani mtu anaweka uChama hata kwenye mambo ambayo yako wazi kikatiba na Zzk ameweka wazi wapi anapata mandate ya kuhoji hayo,
 
Zito BANA.......... Nani kakwambia kuwa rais ni mgonjwa kiasi cha yeye kushindwa kutekeleza majukumu yake? YUKO FITI. (In PM's Voice) na juzi tumepokea salamu zake kupitia kwa mama yetu.
 
Kama hili ni andiko la ndugu Zitto kweli nae inapaswa ahojiwe na polisi kwa kusambaza habari za zisizo za kweli zinazo leta uzandiki, na vurugu , sintofaham na taharuki kwa jamii.
 
Huyu naye, eti rais anaumwa, uumwe mwenyewe! Mungu aendelee kumlinda rais wetu mpendwa Mh Dr JPM huko alipo! Na ninyi jichanganyeni tu muone atakapowatokea gwafla na kubwabwaja kwenu!
Hivyi vipengele vya katiba wote tunavijua, lakini hawina kazi kwa sasa maana rais wetu yupo salama na buheri wa afya!
 
Zitto bhana! Uambiwe na nani sasa hali ya Rais?

Waziri mkuu kasema yuko fiti
Makamu Rais kasema rais yuko fiti

Unataka uambiwe na nani sasa?

Huu upumbavu kumbe hadi kwa wasomi upo?
Ikiwa amededi je mtasemaje? Semeni kiongozi aliyechaguliwa kwa mitutu na kura feki yuko wapi?
 
Sasa kama waziri mkuu keshatoa hilo tamko ina maana Zitto hajui anayeongoza nchi nani? Ni Dk Magufuli aliyeongea na Waziri Mkuu
Moshi hauna kawaida ya usiri lazima uje juu tu. Time will tell. .


Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
 
Rais anatafutwa na wanaomchukia kuliko wanaompenda.
Hata wanaompenda wanamtafuta pia lakini wanaogopa kumtafuta live kwani Polisiccm watawakamata kwa kisingizio cha kusambaza habari
 
Back
Top Bottom