Zitto Kabwe na siri ya watekaji wa msaidizi wake

Frey Cosseny

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
1,984
1,405
Bunge mtunga sheria anaajiri raia wa kigeni kuwa Msaidizi wake kwenye chama bila kibali, anampa Password yake ya Mitandao ya Kijamii anakuwa moderater wa account ya mitandao ya kijamii anatukana vya kutosha Serikali, halafu wanafanya mpango wanamficha baada ya siku tatu wanajitokeza kuwa katekwa.

Mwanasiasa anawatangazia Umma kuwa Msaidizi wangu raia wa kigeni katekwa na Vyombo vya Dola na Watanzania tunaanza porojo zetu na story zetu za kahawa kwenye social media.

Baada ya siku moja baadae ileile social media account iliyotutangazia kutekwa kwa Mkenya inajitokeza kututangazia mwenye account anaunga mkono Serikali ya Awamu ya tano na kuhusisha wanasiasa vijana mashuhuri ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Jioni yake mwenye account anajitokeza kwenye social media anadai waliyomteka msaidizi wake Mkenya Ndiyo waliyopost na Mkenya huyo anamiliki password ya account yake.

Hatujakaa sawa mwanasiasa anapiga simu kwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa anataka kwenda kutoa siri ya Watekaji make yeye ana taarifa ya Watekaji.

Sasa jiulize kwanini kama Zitto Kabwe ana taarifa ya Watekaji asipeleke kwa Mkuu wa Jeshi Polisi nchini au akafungue kesi mahakama Kuu?

Yaani unaenda kutoa Taarifa ya Watekaji kwa Mkuu wa Taasisi unayoituhumu kuteka siasa za bongo raha sana.
USHAURI KWA FAMILIA YA MKENYA.
Kwanza wampige Zitto Kabwe marufuku kutumia kutoonekana kwa huyu Mkenya kufanya sarakasi ya Kisiasa.

Suala la kumtafuta huyu Bwana Mkenya ifanywe na familia kwa kushirikiana na Ubalozi wa kenya hapa nchini.


Ili la mwanamke kuhusika inaweza isiwe na umuhimu sana lakini inawezekana pia Kwani haya mambo uwa yanatokea.

Kwakuwa Zitto Kabwe ametangazia Umma Jeshi la polisi isimkamate Kwasababu anachofanyaZitto ni kutaka kukamatwa na Vyombo vya Dola ili atoe mashtaka kwa Mabwana zake huko Germany.
 
kama serikali inayajua hayo yote kwanini isimuumbue zitto kwa kuwakamata watekaji?? haiwezi simply kwakua yenyewe ndio watekaji au kama sivyo basi ni serikali DHAIFU, watu wanatekana na kuisingizia serikali alafu yenyewe imezubaa tu? acha porojo.
 
Hizi story zenu za ajabu kweli....

Kama unachokifikiri ni sahihi, kwamba, Zito kamteka huyo bwana na kisha kuanza kufanya unachokisema "kuichafua serikali!!????"......Huyo Zito yuko Somalia kwani? Si yuko nchini na leo alikuwa kajaa tele ofisini kwake akitoa tamko? Mnamwogopa??

By the way, si huyo mkurugenzi wa usalama wa taifa angeshamtaarifu IGP mara moja kumtia nguvuni Zito saa na siku ileile aliyofika ofisini kwake?

Matendo ya kuteka na kutekwa watu yamezidi sana chini ya utawala huu, yet serikali na vyombo vya usalama havifanyi lolote kukomesha matendo haya, shida iko wapi?

Watu ku - insinuate kuwa usalama wa taifa waliovalishwa magwanda ya kijani ya CCM ndiyo wahusika wa upuuzi huu, nani atabisha?

Na hivi mnaposema Zitto kafanya hili "ili kuichafua serikali" mnakuwa na maana gani? Na ni serikali gani iyo inayochafuliwa? Hii hii chini ya Bwana Pombe na CCM ya Magufuli?


Aisee, wewe lazima utakuwa na matatizo upstairs na umeamua kwa makusudi kabisaaaa kututania wanajukwaa, siyo bure!!

Hivi inawezekana vipi serikali inayojiharishia na kujipaka kinyesi yenyewe kwa matendo yake maovu na ya hovyo kama kutenda mambo kinyume cha katiba na sharia, yet ichafuliwe na mtu mwingine tena???


Please,give us a break!!.

Pelekeni upuuzi wenu huu hukohuko kwenye corridor za Lumumba!!
 
Kwenye kundi la wa.pumbavu wengi ukiwa na MAARIFA wewe mwenye MAARIFA ndo unaonekana mp.umbavu.
Zitto Kabwe anaonekana hivyo kwakuwa yuko katikati ya wapu.mbavu wengi kama huyu mleta huu uzi Frey Cosseny.
Jitu kubwa kama tembo lakini Ubongo mdogo kama wa sisimizi halijiulizi hata ni kwa namna gani mtu anaweza kutekwa Dar es Salaam na baadaye kuvushwa nje ya mipaka yetu bila vyombo vya Dola yetu kujua! Kama vyombo hivyo havihusiki basi hilo tu ni tusi kubwa sana kwao.
 
Mimi nasikitika sana haya Matukio ya utekaji yanashika hatamu na hii inafanya vidole vingi kuelekezwa serikalini na kumchafua Rais wetu mpenda ndugu John Pombe Magufuli. Naomba vyombo vya dola vikomeshe vitendo hivi.
 
Bunge mtunga sheria anaajiri raia wa kigeni kuwa Msaidizi wake kwenye chama bila kibali, anampa Password yake ya Mitandao ya Kijamii anakuwa moderater wa account ya mitandao ya kijamii anatukana vya kutosha Serikali, halafu wanafanya mpango wanamficha baada ya siku tatu wanajitokeza kuwa katekwa.

Mwanasiasa anawatangazia Umma kuwa Msaidizi wangu raia wa kigeni katekwa na Vyombo vya Dola na Watanzania tunaanza porojo zetu na story zetu za kahawa kwenye social media.

Baada ya siku moja baadae ileile social media account iliyotutangazia kutekwa kwa Mkenya inajitokeza kututangazia mwenye account anaunga mkono Serikali ya Awamu ya tano na kuhusisha wanasiasa vijana mashuhuri ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Jioni yake mwenye account anajitokeza kwenye social media anadai waliyomteka msaidizi wake Mkenya Ndiyo waliyopost na Mkenya huyo anamiliki password ya account yake.

Hatujakaa sawa mwanasiasa anapiga simu kwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa anataka kwenda kutoa siri ya Watekaji make yeye ana taarifa ya Watekaji.

Sasa jiulize kwanini kama Zitto Kabwe ana taarifa ya Watekaji asipeleke kwa Mkuu wa Jeshi Polisi nchini au akafungue kesi mahakama Kuu?

Yaani unaenda kutoa Taarifa ya Watekaji kwa Mkuu wa Taasisi unayoituhumu kuteka siasa za bongo raha sana.
USHAURI KWA FAMILIA YA MKENYA.
Kwanza wampige Zitto Kabwe marufuku kutumia kutoonekana kwa huyu Mkenya kufanya sarakasi ya Kisiasa.

Suala la kumtafuta huyu Bwana Mkenya ifanywe na familia kwa kushirikiana na Ubalozi wa kenya hapa nchini.


Ili la mwanamke kuhusika inaweza isiwe na umuhimu sana lakini inawezekana pia Kwani haya mambo uwa yanatokea.

Kwakuwa Zitto Kabwe ametangazia Umma Jeshi la polisi isimkamate Kwasababu anachofanyaZitto ni kutaka kukamatwa na Vyombo vya Dola ili atoe mashtaka kwa Mabwana zake huko Germany.
Basi ifike hatua muwe hata wanafiki mukemee vitendo vya utekaji.
 
Dah! Uzi umedoda huu!! Kama zito kaweza kumteka msaidizi wake na kumpeleka Kenya, hapo ni mashakatupu. Kwa uwezo gani alionao. Ina maana mipaka iko wazi hivi? Nakumbuka alizuiliwa Zito akiwa Zanzibar kutosafiri nje, sasa hili kaliwezaje!! TUENDELEE kuombeana jamani Mungu atulinde tupendane jamani. Sijui twasemeana ka FAIDA ya nani kwa kweli
 
Bunge mtunga sheria anaajiri raia wa kigeni kuwa Msaidizi wake kwenye chama bila kibali, anampa Password yake ya Mitandao ya Kijamii anakuwa moderater wa account ya mitandao ya kijamii anatukana vya kutosha Serikali, halafu wanafanya mpango wanamficha baada ya siku tatu wanajitokeza kuwa katekwa.

Mwanasiasa anawatangazia Umma kuwa Msaidizi wangu raia wa kigeni katekwa na Vyombo vya Dola na Watanzania tunaanza porojo zetu na story zetu za kahawa kwenye social media.

Baada ya siku moja baadae ileile social media account iliyotutangazia kutekwa kwa Mkenya inajitokeza kututangazia mwenye account anaunga mkono Serikali ya Awamu ya tano na kuhusisha wanasiasa vijana mashuhuri ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Jioni yake mwenye account anajitokeza kwenye social media anadai waliyomteka msaidizi wake Mkenya Ndiyo waliyopost na Mkenya huyo anamiliki password ya account yake.

Hatujakaa sawa mwanasiasa anapiga simu kwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa anataka kwenda kutoa siri ya Watekaji make yeye ana taarifa ya Watekaji.

Sasa jiulize kwanini kama Zitto Kabwe ana taarifa ya Watekaji asipeleke kwa Mkuu wa Jeshi Polisi nchini au akafungue kesi mahakama Kuu?

Yaani unaenda kutoa Taarifa ya Watekaji kwa Mkuu wa Taasisi unayoituhumu kuteka siasa za bongo raha sana.
USHAURI KWA FAMILIA YA MKENYA.
Kwanza wampige Zitto Kabwe marufuku kutumia kutoonekana kwa huyu Mkenya kufanya sarakasi ya Kisiasa.

Suala la kumtafuta huyu Bwana Mkenya ifanywe na familia kwa kushirikiana na Ubalozi wa kenya hapa nchini.


Ili la mwanamke kuhusika inaweza isiwe na umuhimu sana lakini inawezekana pia Kwani haya mambo uwa yanatokea.

Kwakuwa Zitto Kabwe ametangazia Umma Jeshi la polisi isimkamate Kwasababu anachofanyaZitto ni kutaka kukamatwa na Vyombo vya Dola ili atoe mashtaka kwa Mabwana zake huko Germany.
uko nyuma sana !
 
Bunge mtunga sheria anaajiri raia wa kigeni kuwa Msaidizi wake kwenye chama bila kibali, anampa Password yake ya Mitandao ya Kijamii anakuwa moderater wa account ya mitandao ya kijamii anatukana vya kutosha Serikali, halafu wanafanya mpango wanamficha baada ya siku tatu wanajitokeza kuwa katekwa.

Mwanasiasa anawatangazia Umma kuwa Msaidizi wangu raia wa kigeni katekwa na Vyombo vya Dola na Watanzania tunaanza porojo zetu na story zetu za kahawa kwenye social media.

Baada ya siku moja baadae ileile social media account iliyotutangazia kutekwa kwa Mkenya inajitokeza kututangazia mwenye account anaunga mkono Serikali ya Awamu ya tano na kuhusisha wanasiasa vijana mashuhuri ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Jioni yake mwenye account anajitokeza kwenye social media anadai waliyomteka msaidizi wake Mkenya Ndiyo waliyopost na Mkenya huyo anamiliki password ya account yake.

Hatujakaa sawa mwanasiasa anapiga simu kwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa anataka kwenda kutoa siri ya Watekaji make yeye ana taarifa ya Watekaji.

Sasa jiulize kwanini kama Zitto Kabwe ana taarifa ya Watekaji asipeleke kwa Mkuu wa Jeshi Polisi nchini au akafungue kesi mahakama Kuu?

Yaani unaenda kutoa Taarifa ya Watekaji kwa Mkuu wa Taasisi unayoituhumu kuteka siasa za bongo raha sana.
USHAURI KWA FAMILIA YA MKENYA.
Kwanza wampige Zitto Kabwe marufuku kutumia kutoonekana kwa huyu Mkenya kufanya sarakasi ya Kisiasa.

Suala la kumtafuta huyu Bwana Mkenya ifanywe na familia kwa kushirikiana na Ubalozi wa kenya hapa nchini.


Ili la mwanamke kuhusika inaweza isiwe na umuhimu sana lakini inawezekana pia Kwani haya mambo uwa yanatokea.

Kwakuwa Zitto Kabwe ametangazia Umma Jeshi la polisi isimkamate Kwasababu anachofanyaZitto ni kutaka kukamatwa na Vyombo vya Dola ili atoe mashtaka kwa Mabwana zake huko Germany.

Huo utekaji kwa sasa inaonekana serikali inahusika moja kwa moja pasipo na shaka yoyote yaani kama ushahidi ni ule usio hata na chembe ya shaka. Mtu aliyetekwa coco beach amefikaje mombasa na picha ilioneshwa si amepitishwa na wahusika hapo mpakani. Na kwanini serikali yetu imepatwa na kigugumizi kisicho cha kawaida kulaani watekaja inaogopa nini kulaani hayo matendo hata chama nacho kimekaa kimya kinacirahia watu kutekwa. Shame on you.
 
Watanzania amkeni tukemee hali hii mbaya!
Ni aibu iwapo kesho nchi yetu nzuri ikachafuka kwa kuendelea na hizi ndiyoooooooo!'kwa kila kitu. Wake up!
 
kama serikali inayajua hayo yote kwanini isimuumbue zitto kwa kuwakamata watekaji?? haiwezi simply kwakua yenyewe ndio watekaji au kama sivyo basi ni serikali DHAIFU, watu wanatekana na kuisingizia serikali alafu yenyewe imezubaa tu? acha porojo.
Frey Cosseny chukua hiyo!. Mjadala umefungwa.
 
Bunge mtunga sheria anaajiri raia wa kigeni kuwa Msaidizi wake kwenye chama bila kibali, anampa Password yake ya Mitandao ya Kijamii anakuwa moderater wa account ya mitandao ya kijamii anatukana vya kutosha Serikali, halafu wanafanya mpango wanamficha baada ya siku tatu wanajitokeza kuwa katekwa.

Mwanasiasa anawatangazia Umma kuwa Msaidizi wangu raia wa kigeni katekwa na Vyombo vya Dola na Watanzania tunaanza porojo zetu na story zetu za kahawa kwenye social media.

Baada ya siku moja baadae ileile social media account iliyotutangazia kutekwa kwa Mkenya inajitokeza kututangazia mwenye account anaunga mkono Serikali ya Awamu ya tano na kuhusisha wanasiasa vijana mashuhuri ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Jioni yake mwenye account anajitokeza kwenye social media anadai waliyomteka msaidizi wake Mkenya Ndiyo waliyopost na Mkenya huyo anamiliki password ya account yake.

Hatujakaa sawa mwanasiasa anapiga simu kwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa anataka kwenda kutoa siri ya Watekaji make yeye ana taarifa ya Watekaji.

Sasa jiulize kwanini kama Zitto Kabwe ana taarifa ya Watekaji asipeleke kwa Mkuu wa Jeshi Polisi nchini au akafungue kesi mahakama Kuu?

Yaani unaenda kutoa Taarifa ya Watekaji kwa Mkuu wa Taasisi unayoituhumu kuteka siasa za bongo raha sana.
USHAURI KWA FAMILIA YA MKENYA.
Kwanza wampige Zitto Kabwe marufuku kutumia kutoonekana kwa huyu Mkenya kufanya sarakasi ya Kisiasa.

Suala la kumtafuta huyu Bwana Mkenya ifanywe na familia kwa kushirikiana na Ubalozi wa kenya hapa nchini.


Ili la mwanamke kuhusika inaweza isiwe na umuhimu sana lakini inawezekana pia Kwani haya mambo uwa yanatokea.

Kwakuwa Zitto Kabwe ametangazia Umma Jeshi la polisi isimkamate Kwasababu anachofanyaZitto ni kutaka kukamatwa na Vyombo vya Dola ili atoe mashtaka kwa Mabwana zake huko Germany.


NONSENSE
 
Mimi nasikitika sana haya Matukio ya utekaji yanashika hatamu na hii inafanya vidole vingi kuelekezwa serikalini na kumchafua Rais wetu mpenda ndugu John Pombe Magufuli. Naomba vyombo vya dola vikomeshe vitendo hivi.

Kwamba hiyo hali inamchafua nani? Yeye ni msafi au anasema ni msafi? Vyombo vya dola vikomeshe, yaani ukomeshe unachoagizwa kukifanya!?
 
Back
Top Bottom