Zitto Kabwe kuachia Uongozi wa Chama (ACT Wazalendo) Machi 2024

MBOWE NI MUNGU WA CHADEMA KUTOKA KWENYE MADARAKA MPAKA AFE
Utakua msukule wa Zitto tu wewe, viongozi wa upinzani wapo wengi kama Lipumba na Cheyo mbona umegota kwa Mbowe? Sikiliza we mchawi huu upuuzi wenu hautafanikiwa kama ambavyo jamii mnazotoka bado ni duni na dhalili sana.

Wewe na alokutuma japo mnajinadi.mm3soma sana bado ni washamba wakutupwa na washenzi sana.

Jamii yenu inashangaza hadi karne hii mnakunya porini na kuchambia vikopo vya kutu.
 
Kila kitu anataka asifiwe yeye.

Yaani yeye anajiweka kuliko hata Chama Chake
 
Sio kwa Zito huyu
 
Sijawahi ona upinzani dhidi ya wapinzani ukapata nguvu kwa wenye mawazo mbadala wa kuchukua nchi kwa kuondoa chama tawala ukifanikiwa kujificha usijulikane.
Zitto sii mpinzani bali kikaragosi cha watawala kuzuia upinzani.
Chama sio duka kama wanavyofikiri wengi.
Kati ya waanzilishi wa vyama walioshindwa kwa sababu ya dhamiri ni zitto.
ACT ni inatembelea nyota ya Seif aliyekuwa mpinzani kweli. Ukiondoa tu watu waliotengenezwa na kuandaliwa na marehemu Seif ndani ya ACT hakibaki tena chama ila genge la madalali ya nitoke vipi.
Hilo kila mwenye ufahamu analijua.
 
Hata Mbowe kabla ya kwenda Ghetto Ukonga alinukuliwa na gazeti hilohilo kwamba atang'atuka 2023. Tusubiri tuone na Katiba ya Chadema inasemaje. Kama Mbowe anaweza kukojolea Katiba ya chama chake pendwa anapata wapi uhalali wa kudai Katiba ya nchi? Tatizo la vyama hivi ngeni ni RUZUKU na jukwaa la kujitetea na himaya Yako kimaslahi. Pumzika Zitto. Tusaidie kummaliza Mbowe kisiasa.
 
Kwa hiyo mzee Mbowe atakuwa Mwenyekiti hadi akatae Mwenyewe siyo
 
bladidaken , hatoki mtu hapa! nchi ya kishetai kama hii hatoki mtu. Ikipatikana katiba kama ya Kenya/USA and ther western world in general, basi mbowe anaweza kuondoka. Lakini kwenye udikiteita kama huu, hatoki mtu hapa!
wewe jtu hovyo bladifaken
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…