Naona watu wanajaribu kuleta wa Lazima, yaani Kumgombanisha Zitto na Viongozi wenzake ili kuacha kutuwakilisha Bungeni
Walianza kuwapambanisha Zitto na Mbowe kwenye Uongozi wa Upinzani Bungeni lengo ni Kuonesha kuna Msuguano Mkubwa katika Nafasi hiyo kati ya Zitto na Mbowe, Sasa wanataka ionekane Zitto hakufanya Kampeni wakati Zitto alienda Musoma, Kibaha, kusini na Hata Sumbawanga Mjini.
Hizi ni hila za SHETANI ambazo CHADEMA wanabidi kuwa makini nazo