Zitto Kabwe Kabwaga Manyanga ACT-WAZALENDO?

Zitto Kabwe Kabwaga Manyanga ACT-WAZALENDO?

Cybercrime

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
3,246
Reaction score
1,113
Zitto Kabwe.jpg

Ni kutokana na Taarifa kubunguruka kuwa amefunga ndoa na wanawake wawili ndani ya siku mbili. Taarifa zinasema ni Zitto amechukua hatua hiyo ili kuonesha uwajibikaji katika masuala mazima ya maadili.
 
mbona hii habari ni out of date
hahahah mwaka huu tutayaona mengi mno
 
Sent from my iphone

Siku hizi katibu mkuu wa ACT kawa Kitila Mkumbo?

Halafu kwa mujibu wa dini yake, unaruhusiwa kuoa mke mmoja asubuhi na jioni ukaoa wa pili!

Nadhani huu mkakati una lengo la kutengeneza Storm kwenye mitandao ya kijamii, ili ZZK asitokee kuzungumza kipindi hiki juu ya tactic za ajabu na mabavu yanayoonyeshwa na serikali.

Pia Wamecalculate haya ili ZZK asije akawa mnufaika wa Kufeli kwa operation UKUTA kutokana na kughairi kwa CDM, au kutokana na nguvu kubwa iliyotumika kuizuia

Ni character assasination kumuondelea ZZK credibility pindi akiongea
 
Sasa ndoa na kuongoza act.t vinaingilianaje? Hata kama akiamua kuoa 10 ndo uamuzi wake, hyo alieleta hyo kitu huenda bado mdogo..... Akalale kwanza akiamka atajua alichoandika
 
Sent from my iphone

Siku hizi katibu mkuu wa ACT kawa Kitila Mkumbo?

Halafu kwa mujibu wa dini yake, unaruhusiwa kuoa mke mmoja asubuhi na jioni ukaoa wa pili!

Nadhani huu mkakati una lengo la kutengeneza Storm kwenye mitandao ya kijamii, ili ZZK asitokee kuzungumza kipindi hiki juu ya tactic za ajabu na mabavu yanayoonyeshwa na serikali.

Pia Wamecalculate haya ili ZZK asije akawa mnufaika wa Kufeli kwa operation UKUTA kutokana na kughairi kwa CDM, au kutokana na nguvu kubwa iliyotumika kuizuia

Ni character assasination kumuondelea ZZK credibility pindi akiongea


Mimi naiangalia wa angle tofauti

Ni kujaribu kutengeneza story nyingine ili UKUTA ipunguze kuongelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom