Zito siku zote yupo kwaajili ya maslahi binafsi, siyo ya nchi wala umma.Popote ulipo zitto kabwe na wengine wooote kutoka Act Wazarendo jitokezeni kumjihu Tundu Lissu dhidi ya ugawaji wa bandari zetu kama njugu au Mwani kutoka zanzibari.
Ukimnya wenu ni kabuli lenu.
Wanataka atoke wamuone uso kwa macho.Hii ya JF imekaa kininja zaidi.Uso hauonekani.Mbona anajibu Sana hapa Jf 😂
Atakuja siku hukumu itakapotoka! Mark my words...!Popote ulipo zitto kabwe na wengine wooote kutoka Act Wazarendo jitokezeni kumjibu Tundu Lissu dhidi ya ugawaji wa bandari zetu kama ndugu au Mwani kutoka zanzibari.
Ukimnya wenu ni kabuli lenu.
Una hoja ila maandishi ya hovyo.Zito anamsitiri muislamu mwenzake
Kwanini ACT WAZALENDO IIJIBU CHADEMA NA SIO CCM? IKIFANYA HIVYO ITAKUWA IMEJIPAKA MAVI USONIPopote ulipo zitto kabwe na wengine wooote kutoka Act Wazarendo jitokezeni kumjibu Tundu Lissu dhidi ya ugawaji wa bandari zetu kama ndugu au Mwani kutoka zanzibari.
Ukimnya wenu ni kabuli lenu.