Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Awamu zote itapendeza zaidi. Ona mwangosi alivyopigwa bomu hapa...Awamu ya #jiwe au awamu zote?
Awamu zote itapendeza zaidi. Ona mwangosi alivyopigwa bomu hapa...Awamu ya #jiwe au awamu zote?
Tume ili zipigwe hela. Na delilah ataingia kichwa kichwaKaandika hivi kupitia twitter:
Iundwe Tume ya Majaji itakayoongozwa na Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa kupokea malalamiko ya Watu wote walioumizwa, kuteswa, kubambikiwa kesi, kuporwa Mali zao, kuuwawa, kutekwa, kupotezwa nk. Haki itendeke.
Tuanzie awamu iliyopita halafu tuende nyingineAwamu zote itapendeza zaidi. Ona mwangosi alivyopigwa bomu hapa...View attachment 1810444
Siwashangai, hizi kelele zenu za muda tu maana hamna ajenda, mkianza kulialia tutakuwa tunawaangalia tu. Wengine tulishachoka drama zenu!
Utafukuaje Makaburi ya kaleTusibague awamu maana wote ni walewale
Jinai haina ukomo.Utafukuaje Makaburi ya kale