Zitto Kabwe asimulia alichokutana nacho hospitalini mkewe akijifungua

Sound good lakini kaka Zitto atambue kuwa, pamoja na mke wake kwenda kujifungulia kwenye hospitali ya hadhi ya juu.. Nadhani ni Sali int.

Bado walalahoi wanaowalipa marupurupu yote hawana uwezo wa kumudu gharama za matibabu, achilia mbali ukosefu wa dawa na miundombinu chakavu na finyu , bado ukosefu wa wataalamu wabobezi kama zilivyo hospital nyingine hapa mjini.

Suala la damu ni jambo dogo sana kulinganisha na huo mlima anaokutana nao mtanzana wa kawaida(80%of our popn)

Mkuu Damu sio swala dogo na pale kama isingepatikana angepotea mtoto

Sipingani na hoja zako ila weka akilini hili damu sio swala dogo.

Hospitali zote za Serikali zina taratibu ktk Huduma ya Damu salama kupitia Benki ya Damu.

Nadhani kwa Masaki hiyo itakuwa Private hospital ambayo sijui utaratibu wao kuhusu huduma ya Damu salama kwa wagonjwa

Hongera Mh Zito kwa kupata binti Mungu ampe mema ya nchi.

Mkuu wewe unafanya kazi hospitali au ?

Utaratibu ni uleule kwa nchi nzima kwamba damu zote zinapatikana damu salama.

Katika hali ya dharura ndo hospitali mnaweza kutoa damu kwa mchangiaji kama kilichofanyika kwa zitto

Hata hivyo hospitali nyingi damu unayojitolea sio hiyo anayopewa mgonjwa. Maana naambiwa damu ina mchakato mwingi sana hadi i

Mkuu kuandaa damu kwa ajili ya kumuongezea mgonjwa haichukui hata muda sana kwa kesi za emergency

Muhimu kwa Zitto kwenye hii heroic tale is how he became 'have a go hero' when there was no one else to save the day; not to discredit is humane act.

Lakini kama mwanasiasa mwenye namba ya simu ya Kigangwala kwanini asingemtangiwa na kumwambia maajabu aliyojionea hospitali iliyo sajiliwa kutoa huduma ya afya aina 'blood bank' maana kama siyo yeye huyo Rahma uhai wake si ungekuwa tete sasa hivi na wangapi washapoteza maisha kwa sababu ya uzembe wa hiyo hospitali kushindwa kufanya balancing za flow zao za blood bank; if you ask me jamaa wanatakiwa watandikwe faini ya nguvu kwanza kabla ya mengine huu ni upuuzi usio kubalika kabisa.

Haya muhimu 'oh-no' awayataki wao wanataka kazi rahisi za kwenda kuangaika na kina Dr Mwaka na kupiga picha wamevaa track suits wanakimbia kupambana sijui na magonjwa yanayo epukika what a useless lot.
 
Hongera Mhe. Zitto...
Mwenzio Mimi ni blood group O... Hiyo kazi uliyofanya kwa Rahma kila mwaka naifanya zaidi ya mara 2.
 
Muhimu kwa Zitto kwenye hii heroic tale is how he became 'have a go hero' when there was no one else to save the day; not to discredit is humane act.

Lakini kama mwanasiasa mwenye namba ya simu ya Kigangwala kwanini asingemtangiwa na kumwambia maajabu aliyojionea hospitali iliyo sajiliwa kutoa huduma ya afya aina 'blood bank' maana kama siyo yeye huyo Rahma uhai wake si ungekuwa tete sasa hivi na wangapi washapoteza maisha kwa sababu ya uzembe wa hiyo hospitali kushindwa kufanya balancing za flow zao za blood bank; if you ask me jamaa wanatakiwa watandikwe faini ya nguvu kwanza kabla ya mengine huu ni upuuzi usio kubalika kabisa.

Haya muhimu 'oh-no' awayataki wao wanataka kazi rahisi za kwenda kuangaika na kina Dr Mwaka na kupiga picha wamevaa track suits wanakimbia kupambana sijui na magonjwa yanayo epukika what a useless lot.

Mkuu hivi unajua upatikanajinwa damu jinsi ulivyo?

Mara yako ya mwisho kuchangia damu wewe kama wewe ilikuwa lini?

Na je kama hukuwahi kuchangia unategemea damu zitoke wapi?

Waziri has nothing to do na kukosekana kwa damu hospitali.

Mkuu wacha nikueleze process ya kupata damu ilivyo;

Mgonjwa akigundulika anahitaji damu ninyi ndugu zake mnapewa form mnakwenda damu salama

Huko mtafanya donation na baada ya hapo kuna risit mtapewa ndo muirudishe hospitali.

Hospital wanachukua hiyo risiti wanaenda nayo damu salama kwnda ku-demand damu ya huyo mtu wakiwa na uhakika ndugu zake wamedonate.

Tatzo kubwa lililopo ni kwamba watu hamtaki kuvolunteer thus why damu zinakosekana.
 
Kama siyo tu mafundo fundo ya kisiasa. Zito kabwela na Mnyika was my best politician. Hongera Mzito kabwela. Mungu ampe amjalie binti yako akue kimo na maarifa.
 
Mi nilifikiri kitu gani sijui.... Bwanamdogo kaishiwa Sera ameanza tafuta mileage kwa vitu vya kitoto!
Kama wewe ni mwanachadema sitakulaumu kwa kuliona suala la kutoa damu na kuokoa maisha ya mtoto!

Ungelikuwa mwanaccm ningependekeza ufukuzwe uanachama!
 
Mi nilifikiri kitu gani sijui.... Bwanamdogo kaishiwa Sera ameanza tafuta mileage kwa vitu vya kitoto!
Acha unoko,
Simulizi ya Zitto (ambayo kwa mujibu wake ni ya kweli) ina mafunzo mengi na imeandikwa kiungwana sana.
Sasa wewe giberi za kisiasa zatoka wapi?
 
Hii stori yote ni kiki inatafutwa.

Mosi ni kuipaisha ACT na utaratibu wake wa damu. Kwamba yeye kawekwa sehemu sahihi ili atekeleze sera za ACT. Propaganda.

Pili ni kutuonyesha kuwa yu mzima maana kulikua na vijistori kuhusu huu ugonjwa wa kisasa. Kuna mtu au watu wanarushwa roho hapa.

Hata hivyo hospitali nyingi damu unayojitolea sio hiyo anayopewa mgonjwa. Maana naambiwa damu ina mchakato mwingi sana hadi ifae kutumika.

So km mtu yu salama, damu aliyotolewa huingia benki ya damu ya hospitali husika na kiwango hitajika hutolewa kwenye ambayo ni salama. Kwa hospitali iliyo Masaki nahisi ni ya kisasa sana kukosa benki ya damu. Wenye kujua wataelezea zaidi.

Tatu, kutujuza kuwa kapata mtoto. Wa kike na jina alilompa. Hapa mke anapewa airtime ili ainjoi kuzaa na mheshimiwa sana. Na wanasiasa wasio na watoto wanatandikwa bakora. Huenda mtoto anawekewa mazingira ya uceleb.

Nne, ujitanabaisha kuwa yeye ni mtu wa msaada. Kutoa tu damu kajimilikisha hadi huyo Rahma. Sasa ni dada yake Ummy.

Kuhusu wao ACT kujitolea damu kila Mei, vipi kuhusu wanachama wao ambao ni Mashahidi ya Jehova?

Bora Yeye anatafuta Kiki kwa Kumsaidia Mtoto wa Mtanzania Mwenzake Damu, Kuliko yule aliyejitafuti Kiki kwa Kufukuzia Watoto 7000 watoto wa Watanzania wenzake, akawafukuzia Mitaani Gizani, Bila Nauli, Bila Chakula, Na Bila pa kulala tena wengi wao wakiwa Vibinti vidogo, Na kisha akawakebehi na Kuwatukana Villaza. Mwacheni Zitto, I really don't care much for Act-Wazalendo Lakini Zitto mimi Namkubali sana! Kama Mzalendo wa Kweli.
 
Sound good lakini kaka Zitto atambue kuwa, pamoja na mke wake kwenda kujifungulia kwenye hospitali ya hadhi ya juu.. Nadhani ni Sali int.

Bado walalahoi wanaowalipa marupurupu yote hawana uwezo wa kumudu gharama za matibabu, achilia mbali ukosefu wa dawa na miundombinu chakavu na finyu , bado ukosefu wa wataalamu wabobezi kama zilivyo hospital nyingine hapa mjini.

Suala la damu ni jambo dogo sana kulinganisha na huo mlima anaokutana nao mtanzana wa kawaida(80%of our popn)
Yaani umeamua kuchafua jambo jema kwa chachu zako za kisiasa!!!
Kuna changamoto nyingi za huduma za afya nchini, iwe hospitali ya umma aubya binafsi..Zitto kataja baadhi yake na katoa ushauri....
Mambo ya aina hii ndo huvuruga mijadala mitamu hapa JF.
Hata kama humpendi Zitto, kwenye hiyo simulizi kakosea nini? Kumpeleka mkewe kujifungua hospitali ya bei juu??
Jirekebishe.
 
Mkuu hivi unajua upatikanajinwa damu jinsi ulivyo?

Mara yako ya mwisho kuchangia damu wewe kama wewe ilikuwa lini?

Na je kama hukuwahi kuchangia unategemea damu zitoke wapi?

Waziri has nothing to do na kukosekana kwa damu hospitali.

Mkuu wacha nikueleze process ya kupata damu ilivyo;

Mgonjwa akigundulika anahitaji damu ninyi ndugu zake mnapewa form mnakwenda damu salama

Huko mtafanya donation na baada ya hapo kuna risit mtapewa ndo muirudishe hospitali.

Hospital wanachukua hiyo risiti wanaenda nayo damu salama kwnda ku-demand damu ya huyo mtu wakiwa na uhakika ndugu zake wamedonate.

Tatzo kubwa lililopo ni kwamba watu hamtaki kuvolunteer thus why damu zinakosekana.
Kwa mtaji huo wanaokwenda hospitali kutokea kwenye ajali na wamepoteza damu nyingi chances zao za kupona ni ndogo sana.

Ni hivi hospitali inatakiwa kuwa na akiba ya damu, how they control stock levels, uchangiaji/upatikanaji wake na utumikaje wake is a matter of responsible authorities,

Na kama hakuna damu halafu hakuna jitihada zozote za kuamasisha uchangiaji ni uzembe wa serikari ambao pia kiongozi anatakiwa ashtushwe, huo usiku wa manane ulitaka watu waelekee damu salama sijui wapi ama wasubiri asubihi uoni kama kuna umuhimu wa kuwa na akiba mahospitalini.
 
Acheni ushabiki wa kijinga!
yaani damu imeokoa maisha ya mtu then unakurupuka tu na kusema ni jambo dogo?
tutangulize uhai mbele, panapo stahili pongezi na tupongeze.
Zitto katimiza wajibu wake
Aisee yaani siwaelewi watanzania wenzangu kbs,hili ni jambo kubwa mno binafsi limenigusa big up Zitto Zuberi Kabwe Mungu akuongezee maisha marefu na familia yako,wewe ni mfano wa kuigwa ktk jamii
 
Back
Top Bottom