Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Amehamia mikumi?
Viva Anna Kilango MalecelaDuh si mchezo, binafsi nilihisi toka zamani kuwa Kuibuliwa na kufanikiwa kwa Maazimio ya bunge dhidi ya ESCROW kuna brainpower kubwa sana nyuma yake.
Viva Kafulila
Viva Zitto
Viva Marehemu Deo
Viva Kigwangwallah
Viva Mpina
Viva Lissu
Viva Mbowe
Viva Lugula
Viva Makinda
Sasa mbona ****** anatoa maboko nowadays?
Hili la Uvivu wa kusoma andiko lefu ndilo lilitufikisha hapa kwa kushindwa kusoma Mikataba na kuipa baraka bila hata kujua nini kimeandikwa. Watanzania tuache Uvivu tuwe detailed?Mkuu tumia tu akili ya kawaida,,inakuwaje unaiquote thread ndefu namna hiyo? Mnatuchosha wenzenu tunapotaka kuona michango ya watu humu
Najua umesoma uzi wote na umeuelewa.ZITTO, YOU ARE HERO.
Ni ngumi kwa mtu wa kawaida kujitoa kafara as what you and your team did.
Kungekuwa kuna kampuni mbili zinashindana, obviously watu wangesema umepokea pesa pande pinzani.
BIG UP ZITTO AND YOUR TEAM.
Magufuli anameza kile mlichotafuna nyinyi.
Najua umesoma uzi wote na umeuelewa.
Ninauhakika hujaona jambo hili:-
Zitto ana leak information ili kujaribu kum convince magufail ampe uwaziri (ile nafasi iliyo wazi)
Lakini ni mwendelezo wa tabia ya ujivuni, makidai na madharau.
Amekumbuka jambo moja tu! Kumficha "dau" kwenye andiko lake.
I am thinking the sameSasa nimegundua ile ajalli ya helicopta iliyokatiisha uhai wa Deo surely it was a planned accident!!!!!!!Don quote me, ninaota tu!!
Sasa shangaa mizuzu ilivyohamishwa kutoka makinikia mpaka sethi na ruge ambao ni private citizens na hawakuwa kwenye chain ya decision making process, hawa walikuwa njia tu au km ile kesi ya maigizo ya mahalu na mkapa na sasa kikwete na hawa wazee.
Ondoa fikra kichwani mwako kuwa wenzio ni bogus, narudia tena Ondoa!To be Honestly, Nimejifunza kitu kupitia hili andiko la Ndugu Yangu Zitto na kupitia hoja za Wadau humu Ndani. Kusema Ukweli Watanzania karibia asilimia 75% ni waavivu wa Usomaji na hii imepelekea hata wale tunaowachagua kutuwakilisha kwenye Makubaliano ya Kimataifa wanatoka kwenye hili kundi la uvivu wa kusoma mwisho wa siku kwa kuwa ni wavivu hawajua ni vipengele gani kwenye makubaliano vya kimataifa vina umuhimu na huwa vinawekwa ukurasa wa ngapi kwenye Mikataba.
Nimeshiriki kwenye uchanganuzi wa Mikataba fulani fulani nikiwa Mtwara hasa ya wadau wa gas, Aisee Wanzania ni Wavivu...
Mfano Humu kuna wanaolaumu kuwa Huu Uzi ni Mrefu sana Maana yake kuna mtu hakufika hata katikati ila amependa kukimbilia kuangalia michango ya watu ili ajua kwenye huo Uzi kulikuwa kunaongelewa nini?
Wito, Tuache kuwa wavivu , Tupunguze short Kati, Tujaribu kupenda detailed Informations. Kwa Trend hii na aina ya Watu kama hawa ambao wamediriki hata kutukana humu tusitegemee kusonga Mbele.
TUBADIRIKE.
Ondoa fikra kichwani mwako kuwa wenzio ni bogus, narudia tena Ondoa!
Dharau inalitafuna taifa hili kuliko simba anavyotafuna minofu huko Tarangire.
Umedokeza kuwahi kupitia mikataba ya gesi, sasa mikataba yenyewe inalalamikiwa kila kona!? Wewe unayejisifu kusoma nini kilikushinda usiifanye iwe na manufaa kwa ndugu zako japo wavivu kusoma! Au ndio umewakomoa kwa kuwauza?
Ukipata wazo la uhitaji wa mabadiliko unachopaswa kufanya unaanza kubadilika.
Mwenzako asiposoma wewe ukisoma usianze kuhisi umeonnewa au kuachiwa mzigo peke yako.
mkuu hiyo chain itasemwa mahakamani, hiyo ni starting point.....vitu haviendi hivyo
unaruhusiwa kuwa na chuki...ila usiweke chuki mpaka upumbavu wako ukaonekana
Ukishtakiwa kwa Murder, kesi itasikilizwa kwa makini kutafuta kuuona ushahidi wa murder, Ikibainika kupitia ushahidi kuwa ni kweli uliua lakini sio kwa kukusudia mahakama haikubadilishii shitaka bali inatoa hukumu kwa shitaka ulilofikishwa nalo mahakamani.mkuu hiyo chain itasemwa mahakamani, hiyo ni starting point.....vitu haviendi hivyo
unaruhusiwa kuwa na chuki...ila usiweke chuki mpaka upumbavu wako ukaonekana
Mnaharibu majadiliano kwa kuwa provoke watu!!!Nimemuelewa wajinga watabisha hasa ccm
umesahau the citzen mkuu pia mtanzania,Hosea na yule jamaa wa TRADuh si mchezo, binafsi nilihisi toka zamani kuwa Kuibuliwa na kufanikiwa kwa Maazimio ya bunge dhidi ya ESCROW kuna brainpower kubwa sana nyuma yake.
Viva Kafulila
Viva Zitto
Viva Marehemu Deo
Viva Kigwangwallah
Viva Mpina
Viva Lissu
Viva Mbowe
Viva Lugula
Viva Makinda