Pole mhe Zitto na wenzako kwa kujitoa kiasi hicho. Lakini pokeeni hongera nyingi kwa kuwa mliifanikisha kazi yenu ngumu. Kafulila anastahili pia kukumbukwa sana ktk sakata hili. Amefanya kila awezalo na amepitia na kuvumilia kila aina ya madhila.
Sasa shangaa ilivyohamishwa kutoka makinikia mpaka sethi na ruge ambao ni private citizens na hawakuwa kwenye chain ya decision making process, hawa walikuwa njia tu au km ile kesi ya maigizo ya mahalu na mkapa na sasa kikwete na hawa wazee.Mimi kwenye hii kesi sioni kama serikali itashinda maana ina mkanganyiko mkubwa kuliko Mlima Kilimanjaro.
Deo alikuwa assassinated?
Mkuu hizi naweza zipata wapi,nakumbuka nikiwa darasa la tano nilibahatika kusoma hicho kitabu,tangu hapo sijawahi kukiona,Andiko hili limenikumbusha Willy Gamba ktk ile riwaya iitwayo Njama kama ilivyoandikwa na RIP E. Musiba. Riwaya za wakati ule zikiwemo Kikosi cha Kisasi na Hujuma ziliwapa sana vijana ujasiri!
Ingeshangaza kama ungeona tofauti.Mimi kwenye hii kesi sioni kama serikali itashinda maana ina mkanganyiko mkubwa kuliko Mlima Kilimanjaro.
Mkuu tumia tu akili ya kawaida,,inakuwaje unaiquote thread ndefu namna hiyo? Mnatuchosha wenzenu tunapotaka kuona michango ya watu humunimeisoma mpaka mwisho Aisee wewe Zitto Kumbe ni Mafia.. How did you do that?
Mkuu usipende kuquote uzi mrefu kama huo sio poa mnatuchosha wenzenuAndiko hili limenikumbusha Willy Gamba ktk ile riwaya iitwayo Njama kama ilivyoandikwa na RIP E. Musiba. Riwaya za wakati ule zikiwemo Kikosi cha Kisasi na Hujuma ziliwapa sana vijana ujasiri!
Tumekuelewa ila kwa nini unaquote uzi mrefu kama huu?This is what makes you great! What you and your team did demonstrated extraordinary patriotism and now, by the grace of God we are alive to see the rewards. We are proud to have a leader of your caliber and we are forever greatful for it. Much respect!!
UmekoseaNoted.Wachache sana watasoma mpaka mwisho
Nimesoma mwanzo mpaka mwisho.Noted.Wachache sana watasoma mpaka mwisho
wanaanzishaga watu wa 'siri'..wanaamua waanze kumpa nani info,media,mbunge au..tofauti na hapo hakuna mtu wa kupata huzo 'siri'Kati ya hao Hakuna alieanzisha
Ilianzishwa na Gazeti la Citizen na kazi ya Wanasiasa ikawa ku amplify!
Unatumia simu gani zama hizi?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Nawe huo ni uandishi gani wa ku- quote makala ndefu kama hiyo!!
Nimetubu mkuu sirudii!Mkuu usipende kuquote uzi mrefu kama huo sio poa mnatuchosha wenzenu