Zitto Kabwe anatumiwa na wafanyabiashara?

Zitto Kabwe anatumiwa na wafanyabiashara?

Yamekuwa hayo tena!!!!!....kweli tuna kazi ya ziada, kuwasaidia watu kama wewe, mtoke kwenye hilo giza la fikra. By the way pole sana ndugu yangu.
 
Ile mianya ya wakati ule wa cheo maalum cha kamati ya bunge yote imezibwa. Kaka karudia kwenye hulka zile zile za ndugu zangu wa Kigoma haswa waha, ubishi na ung'ang'anizi.
 
Alipotoa tu tamko lake kuhusu kushuka kwa bei ya korosho hofu ikanishika kuwa huenda zao likaingia kwenye msukosuko safari hii. Jambo kubwa lililonifanya nipatwe na Mashaka na ZITO kabwe ni kuwa ametangaza kushuka kwa Korosho kwenye soko la dunia mapema sana, palikuwa na muda mrefu tu ambao ungeweza kuleta mabadiliko ya soko lakini alijitokeza na kushupalia kana kwamba bei hiyo ni Fixed.

Sijawahi kumuona Zito akiwa mstari wa mbele kuizungumzia korosho katika zama ambazo hapa kwetu korosho iliuzwa bei ndogo huku soko la dunia ikiwa bei kubwa Mara hii amejitokeza mapema sana baada ya misimu miwili kupita ikiwa ya neema kubwa kwa wakulima. Hili linanipelekea kuhisi kuwa Zito kuna maslahi anayapata kutoka kwa baadhi ya makampuni ya korosho ambayo yanapunja wakulima.

Hii inanifanya nihisi kuwa zito hana tofauti na kile kikundi ambacho kimefanya hujuma ya Kuweka kokoto kwenye magunia ya korosho. Amesimama kidete kudai pesa za Exp. levy ambazo kwa kiasi kikubwa hazikuwa zikimnufaisha mkulima na ni BORA MUHESHIMIWA RAIS AMEAMUA zirudi hazina.

Zito ni KIRUSI.
Yaani unahisi tu lakin unatoa lugha chafu.
Anyway,
Umetuonesha ulivyo.
 
Zitto ndio soko la dunia kwamba akitangaza bei ishuke basi inashuka? Kwakuwa Zitto sio mnunuaji wa korosho, ni vyema serekali inunue kilo 5,000@ kisha ikaiuze huko nje ili Zitto aaibike.
Wala hatakuelewa. Yaani matatizo wanayoyasababisha wao wanatafuta wa kumuangushia jumba bovu.
 
Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa Zito asingesema alichosema wafanyabishara wasingejua kuwa bei ya korosho imeshuka kwenye soko la kimataifa?
Swadaka kabisa jibu mujarabu watu mama hao akili sijui huwa wanashikiwa mambo yapo wazi kabisa ila anataka kuleta siasa
Hivi alie sema atapiga hadi mashangazi alikuwa ni zito
 
Alipotoa tu tamko lake kuhusu kushuka kwa bei ya korosho hofu ikanishika kuwa huenda zao likaingia kwenye msukosuko safari hii. Jambo kubwa lililonifanya nipatwe na Mashaka na ZITO kabwe ni kuwa ametangaza kushuka kwa Korosho kwenye soko la dunia mapema sana, palikuwa na muda mrefu tu ambao ungeweza kuleta mabadiliko ya soko lakini alijitokeza na kushupalia kana kwamba bei hiyo ni Fixed.

Sijawahi kumuona Zito akiwa mstari wa mbele kuizungumzia korosho katika zama ambazo hapa kwetu korosho iliuzwa bei ndogo huku soko la dunia ikiwa bei kubwa Mara hii amejitokeza mapema sana baada ya misimu miwili kupita ikiwa ya neema kubwa kwa wakulima. Hili linanipelekea kuhisi kuwa Zito kuna maslahi anayapata kutoka kwa baadhi ya makampuni ya korosho ambayo yanapunja wakulima.

Hii inanifanya nihisi kuwa zito hana tofauti na kile kikundi ambacho kimefanya hujuma ya Kuweka kokoto kwenye magunia ya korosho. Amesimama kidete kudai pesa za Exp. levy ambazo kwa kiasi kikubwa hazikuwa zikimnufaisha mkulima na ni BORA MUHESHIMIWA RAIS AMEAMUA zirudi hazina.

Zito ni KIRUSI.
Social media accounts za Zitto ziko verified yuko na followers wengi ndani na nje ya Tz
Ni hilo tu hakuna lingine
Yupo recognized nje ya Tz kama ni strong opposition member followers wake wanaweza kuwa wako World Bank, UN etc
 
Jambo kubwa lililonifanya nipatwe na Mashaka na ZITO kabwe ni kuwa ametangaza kushuka kwa Korosho kwenye soko la dunia mapema sana

Zito ni KIRUSI.
Duh!Sidhani hata kama umeelewa ulichoandika wewe mwenyewe. Sijui kama kuna shida ya coordination kwenye ubongo wako na vidole vyako? Yani unapobonyeza, ubongo unafahamu kwa usahihi kabisa?

Eti ametangaza mapema, wewe ndiye uliyemteua kwenye hiyo nafasi ya utangazaji? Kwahiyo Zitto alitakiwa achelewe kutangaza? Yeye ni mtangazaji wa soko la dunia? Ama kweli you don't need a brain once in ccm.

Hizo taarifa ni Zitto peke yake aliyezifahamu na wafanyabiashara kwa akili yako wala hawakuwa na habari.
 
Tatizo lenu nyinyi mlio wengi najua kusoma lakini hamsomi, mnajua kuandika lakini mnaandika mawazo yetu na udaku. Mhe. Zitto, anajua kusoma na ansoma kweli kweli, anajua kuandika na anaandika kwa manufaa ya ubinadamu kwa kufuatilia masuala. Nikikuuliza swali dogo, unajua soko la dunia la korosho liko wapi hasa?
India na Vietnam.
Your point is .....
 
Fahamu hivi kwanza ,,Zitto ni miongoni mwa vigogo wanaojihusisha na uchuuzi wa korosho maarufu kama "kangomba" kwa hiyo lazima afatilie na hapo keshaingia mkenge analilia moyoni ,, pili bei. Ya korosho kwenye soko LA dunia haipangwi na Zitto ,,,alichokifanya ni kutoa taarifa ya hali.halisi
 
Back
Top Bottom