Hata wezi wa ESCROW hawakutafutwa hivi leo mwanasiasa ambae ni haki yake kuichambua katiba na kutoa maoni anasakwa kama mwizi! tumefika pabaya sana.Uzuri kuna wenye busara waliyaona haya kabla HATUKUSIKIA.
Hili liwe fundisho kwa jirani zetu wa Kenya kuelekea Uchaguzi mkuu mwakani kuhusu Raila.
Kuna usemi kuwa ukitaka kunifahamu vema mwangalie rafiki yangu. Wamuangalie rafiki wa Raila kisha watamjua Raila