Zitto Kabwe aibua ufisadi wa Trillion 2 wa serikali ya Rais Samia

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,755
Zito Kabwe akichambua ripoti ya CAG ameikalia kooni serikali ya Rais Samia kwa ufisadi na upotevu wa shs trillion 2 ambazo zilitengwa na bunge kwa ajiri ya wizara ya ujenzi lakini Tanroads mpaka mwaka wa fedha wa 2021 unaisha haikujenga barabara mpya hata moja!

Zito Kabwe amemtaka waziri wa ujenzi Prof Mbarawa kuachia ngazi kwa kulidanganya bunge kwamba amejenga barabara mpya wakati CAG anakagua amekuta hamna barabara mpya hata moja iliyojengwa na fedha zimetumika!
 
Hii nchi hii..

Haya bana, naona keshawaagiza wezi wakajifungie chumbani wahojiane ilikuwaje, kama sheria na taratibu zinavyotaka..

Nanyi wapenda sheria muendelee kushangilia sheria vile inafuata mkondo wake..
 
Zito Kabwe akichambua ripoti ya CAG ameikalia kooni serikali ya Rais Samia kwa ufisadi na upotevu wa shs trillion 2 ambazo zilitengwa na bunge kwa ajiri ya wizara ya ujenzi lakini Tanroads mpaka mwaka wa fedha wa 2021 unaisha haikujenga barabara mpya hata moja!

Zito Kabwe amemtaka waziri wa ujenzi Prof Mbarawa kuachia ngazi kwa kulidanganya bunge kwamba amejenga barabara mpya wakati CAG anakagua amekuta hamna barabara mpya hata moja iliyojengwa na fedha zimetumika!
Wanasiasa wanapendana Sana eti Wazuri ajiuzulu afu Mkurugenzi afukuzwe KAZI !!!!? Sasa kwani asingesema wote wafukuzwe KAZI??!
 
Jibu ni rahisi sana CCM imeshindwa kuongoza hii nchi .tuwaachie vyama vingine vya upinzani.
Wakamilishe kwanza ahadi waliyompa Sabodo, baada ya kuwachangia M100 za kujenga ofisi kuu ya chama
 

Attachments

  • Screenshot_20220912-125326.jpg
    Screenshot_20220912-125326.jpg
    62.8 KB · Views: 2
Zito Kabwe akichambua ripoti ya CAG ameikalia kooni serikali ya Rais Samia kwa ufisadi na upotevu wa shs trillion 2 ambazo zilitengwa na bunge kwa ajiri ya wizara ya ujenzi lakini Tanroads mpaka mwaka wa fedha wa 2021 unaisha haikujenga barabara mpya hata moja!

Zito Kabwe amemtaka waziri wa ujenzi Prof Mbarawa kuachia ngazi kwa kulidanganya bunge kwamba amejenga barabara mpya wakati CAG anakagua amekuta hamna barabara mpya hata moja iliyojengwa na fedha zimetumika!

Hoja makini sana

Mama atueleze ziko wapi Trilion 2.9

Akina Mbarawa isije ikawa waliruka viunzi na hizo hela.

Mkurugenzi TANROADS kuna tetesi zinamhusu kuwa anajengewa majumba na estates kila kona nchini. Wakandarasi wanapishana kumjengea ili wapate tenda. Tetesi zinasema mali nyingi kazificha kwa majina ya jamaa na ndugu zake

Je tetesi hizi ni za kweli?
 
Zito Kabwe akichambua ripoti ya CAG ameikalia kooni serikali ya Rais Samia kwa ufisadi na upotevu wa shs trillion 2 ambazo zilitengwa na bunge kwa ajiri ya wizara ya ujenzi lakini Tanroads mpaka mwaka wa fedha wa 2021 unaisha haikujenga barabara mpya hata moja!

Zito Kabwe amemtaka waziri wa ujenzi Prof Mbarawa kuachia ngazi kwa kulidanganya bunge kwamba amejenga barabara mpya wakati CAG anakagua amekuta hamna barabara mpya hata moja iliyojengwa na fedha zimetumika!

Kati ya zito na CAG nani ameibua?
Mnapangwa tu na nyie haokama kima!
 
Hiyo Tanroad tu hujagusa kwengne dah kwel Tz kula kitengo ujilambwase
Zito Kabwe akichambua ripoti ya CAG ameikalia kooni serikali ya Rais Samia kwa ufisadi na upotevu wa shs trillion 2 ambazo zilitengwa na bunge kwa ajiri ya wizara ya ujenzi lakini Tanroads mpaka mwaka wa fedha wa 2021 unaisha haikujenga barabara mpya hata moja!

Zito Kabwe amemtaka waziri wa ujenzi Prof Mbarawa kuachia ngazi kwa kulidanganya bunge kwamba amejenga barabara mpya wakati CAG anakagua amekuta hamna barabara mpya hata moja iliyojengwa na fedha zimetumika!
 
Nimemsikiliza mpaka nikamuonea huruma budget ni plan tu ya matumizi sio uhalisia huko mbele source zilizokusudiwa kama mkopo unaweza usitoke, makusanyo yaliyopangwa yanaweza yasifikiwe ili kugharamia miradi.

Ndio maana kunakuwa na periods za budget reviews watu waweze badili matumizi yao kama expectations zao za income au matumizi zinabadilika na walivyo panga that’s not a crime.

Shida kubwa ya hii serikali ni uongo wao wa makusanyo, wakati ata hela za kufanya miradi hawana, wanakopa kulipa madeni na mishahara. Halafu TRA wakitoa report zao makusanyo yapo juu kweli, ni uongo wa kishamba sana.

Kwenye hili wakija watakwambia hela zipo, shida ni feasibility studies ndio zinachukua muda, yaani serikali ya uongo uongo.
 
Back
Top Bottom