Tetesi: Zitto jiandae kushika wadhifa katika serikali ya Hapa kazi tu

Nibozali

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
572
1,055
Baaada ya Hamadi Rashidi, Mrema na Sasa Kitila, kuna uwezekano mkubwa Rais wetu akaendeleza nia yake ya kuwashirikisha wapinzani katika serikali yake na kwa mantiki hiyo zitto atakuwa miongoni mwa ambao wanaweza kushirikishwa. Lakini pia hata akina Mbowe, Lowassa, Maarim wajiandae na Nina uhakika hakuna atakayeteuliwa na akatae
 
huenda ikatokea. sijui ikitokea watakubali kufanya kazi na rais waliyesema ana element za kidikteta...
 
Baaada ya Hamadi Rashidi, Mrema na Sasa Kitila, kuna uwezekano mkubwa Rais wetu akaendeleza nia yake ya kuwashirikisha wapinzani katika serikali yake na kwa mantiki hiyo zitto atakuwa miongoni mwa ambao wanaweza kushirikishwa. Lakini pia hata akina Mbowe, Lowassa, Maarim wajiandae na Nina uhakika hakuna atakayeteuliwa na akatae
Watanzania hatuna wanasiasa wa upinzani bali tuna political mercenaries.
 
Kwani ni ajabu timu kubwa kuteua wachezaji kutoka kwenye timu yao ndogo? Hilo ni jambo la kawaida sana.
 
Baaada ya Hamadi Rashidi, Mrema na Sasa Kitila, kuna uwezekano mkubwa Rais wetu akaendeleza nia yake ya kuwashirikisha wapinzani katika serikali yake na kwa mantiki hiyo zitto atakuwa miongoni mwa ambao wanaweza kushirikishwa. Lakini pia hata akina Mbowe, Lowassa, Maarim wajiandae na Nina uhakika hakuna atakayeteuliwa na akatae

Hivi kigezo cha kuwa mpinzani ni kipi hasa?

Nijuavyo mimi upinzani (sio upingaji) ni fikra, ni matendo, ni mwenendo wenye kuonyesha upande wa pili au mbadala bora wa kile kilichoko i.e. Serikali au Chama kilichoko madarakani. Je ni lini kwa mfano katika miaka mitatu au minne iliyopita Hamad Rashid au Agostino Mrema alikuwa na mawazo au fikra mbadala wa CCM? Hao sio ndio wamekuwa wakiifagilia na kisha kulipwa "Ujira wa Mwiha" (in John Shibuda's tone).

Kuna vyama vinaitwa vya "upinzani" lakini sio vya upinzani KWA MAANA HALISI NA ILIYOKUSUDIWA (i.e. kwa Serikali na CCM) bali ni vya upinzani kwa Wapinzani.
 
Hii teua ya rais katika upinzani naona amelenga kukibomoa chama cha ACT,baada ya uteuzi wa kitila aliefuata ni mghwira natumaini atakaye fuata ni zitto katika wizara ya madini na kukiua rasmi, katika ramani za kisiasa chama hicho,swali ni je teuzi za rais zina mantiki katika ujenzi wa nchi hii au ni kutaka kuwakondesha mahasimu wake?
 
Hii teua ya rais katika upinzani naona amelenga kukibomoa chama cha ACT,baada ya uteuzi wa kitila aliefuata ni mghwira natumaini atakaye fuata ni zitto katika wizara ya madini na kukiua rasmi, katika ramani za kisiasa chama hicho,swali ni je teuzi za rais zina mantiki katika ujenzi wa nchi hii au ni kutaka kuwakondesha mahasimu wake?
Zito mtarajiwa waziri nishat na madini
 
Hii teua ya rais katika upinzani naona amelenga kukibomoa chama cha ACT,baada ya uteuzi wa kitila aliefuata ni mghwira natumaini atakaye fuata ni zitto katika wizara ya madini na kukiua rasmi, katika ramani za kisiasa chama hicho,swali ni je teuzi za rais zina mantiki katika ujenzi wa nchi hii au ni kutaka kuwakondesha mahasimu wake?
Zito mtarajiwa waziri nishat na madini
 
Back
Top Bottom