The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
Ushahidi wa uovu wa Zitto dhidi ya wananchi wa Tanzania ingawa ni wa kimazingiza lakini is overwhelming.Zitto ni ndumi la kuwili.Zitto amenunuliwa na mafisadi, no question about it.Anaye bisha ni kipofu.Kwanza huyu anayemtetea Zitto katumwa na nani?
.
Mtazamo wangu ni kwamba, nguvu za mafisadi zinakuzidia nguvu kadri ziku zinavyokwenda, na Imani yangu ni kwamba hawakuzidi nguvu by coincidence bali ni strategically kwa kukutumia, na unawasiliana nao katika hatua zako zote ambazo wewe binafsi naona kama unadhani hiyo nafasi uliyonayo ya uenyekiti wa kamati ya bunge ni kinga tosha ya kusingizia kwamba unafanya kazi za taifa.
HAHAHAHAHAHA. MWACHENI KIJANA MWENZENU
Rafiki Zitto,
Nakuandia ushahuri huu kwa dhati kabisa, una haki ya kuuchukua au kuupuuza.
Nakushauri kwamba kwa jitihada ambazo umekwisha kuzifanya mpaka sasa juu ya N.S.S.F kuuziwa Mgodi wa Kiwira, ni bora ukaishia hapo ulipofikia, umesema ya kutosha, kama kweli ni ushahuri ama wako binafsi ama wakamati yako ya Bunge ni vyema ukawaachia wote unaowashauri waufanyie kazi ushauri wako ama waukatae sababu hili swala litakuchafua zaidi.
Kumbuka kwamba Watanzania wenye nia ya kurejesha ustaarabu katika utawala wa nchi yetu wamekwishapoteza imani na wewe kutokana na actions zako za muda mrefu sasa, lakini kutokana na imani kubwa sana ambayo bado wanayo kwako wanakuchukulia poa hasa kwa imani kwamba Binadamu hatujakamilika na kukosea ni sehemu ya kujifunza hasa mkosaji anapoonyesha jitihada na kisha mafanikio katika kuhakikisha harudii kosa.
Mtazamo wangu ni kwamba, nguvu za mafisadi zinakuzidia nguvu kadri ziku zinavyokwenda, na Imani yangu ni kwamba hawakuzidi nguvu by coincidence bali ni strategically kwa kukutumia, na unawasiliana nao katika hatua zako zote ambazo wewe binafsi naona kama unadhani hiyo nafasi uliyonayo ya uenyekiti wa kamati ya bunge ni kinga tosha ya kusingizia kwamba unafanya kazi za taifa.
Unayo nafasi ya kujirekebisha, japo uwezo huo sidhani kama unao tena, hasa kutokana na uko ulikofikia sasa, umefika deep water my comrade. ZITTO mafisadi wamekuzidia kiasi kwamba sasa hauna nguvu kabisa za kuisonta serikali ukiwa katika spirit ya UMA/CHADEMA, sasa hata ukijitutumua kuisonta serikali unajificha kwenye kamati ya Bunge ya nini sijui!! Sio wewe
Sasa kwa kifupi ni kwamba, N.S.S.F wanayo idara inayojishughulisha na utoaji taarifa kwa UMA, waache wao wenyewe waje (Kama haujatumwa) na kuzungumza nasi ama kwa kutupa taarifa za mpango wao wa kununua Kiwira au kwa Mapendekezo,ila hii deal uliyonayo sasa ya kujustify kwa nini wao wapewe Kiwira mimi ntakuuliza swali, kwa nini wasipewe PPF, kwa nini wasipewe PSPF.Unatakiwa kuwa consistent kama unataka tuendelee kuamini kwamba akili yako bado ni nzuri na unathink Big. Idea nzuri kabisa lakini why do you narrow to NSSF.
Kazi ya Kamati yako ya Bunge sio kuwa maafisa miradi wa Mashirika ya UMA, toa ushauri then stop there, Kama watu wanapewa ushauri mzuri alafu wanaupuuza na wao hawaji na mbadala wa mawazo na matendo shauri waondolewe. Lula MwanaNzela na Mwanakijiji wametoa hoja za msingi kama maoni yao ya kupinga mpango huu na naona tayari Umeanza kupambana nao.
Hapo Nyuma tulimpenda sana Mkwere, Tulimpenda sana Lowasa walipotugeuka na sisi tumewakataa. Wewe sio exceptional
Hawa wenyeviti wa kamati za Nishati na Madini (Makamba), mahesabu ya Serikali za Mitaa (Mrema) na mahesabu ya Mashirika ya Umma (Zitto) QUOTE]
Tuwaache Zito, Mrema, Makamba etc wafanye kazi zao. Serikali (Executive) inafanya kazi ya Bunge na Mahakama(Judiciary). tumeona mara kadhaa serikali ikiiaamulia Bunge/Mahakama. Tanzania ya C** haina utawala wa kuzingatia hii mihimili. Ingelikuwa hivo mkwere asingalikuwa hapo alipo.
Kama mawaziri husika (executive) wameshindwa kazi wache kina Makamba et al.. (Parliament) iwasaidie. Ni kwa maslahi ya nani iyo kitu ingine.
Tatizo haujui maana ya mbunge...mbunge ni kiongozi wa nchi na anapaswa kuitumikia nchi kwa vile anavyoona anfaa na ndo maana hata mbowe halipwi mshahara na CHADEMA japokuwa anawadhurumu kila leo badala yake analipwa na serikali kama kodi ya wananchi...
Tunakupongeza zitto na uendelee kupigania maslahi ya watanzania na sio ya KANISA KATOLIKI...TUNAJUA WANAKUANDAMA KWA SABABU UMEKATAA KUFUATA MATAKWA YA KANISA...
Tatizo lenu John Mrema, John Mnyika, Regia mtema, Basil Lema ,God Bless Lema Benson Kigaila na wachaga wengine wa ndani na nje ya CHADEMA mmejaa chuki binafsi katika mambo yote yanayomuhusu zitto.\
uzuri wenu ni waoga sana kiasi kwamba hamtaji majina yenu humu jamvini..
mbona kamati ya kina mnyika imeshauri DOWANS inunuliwe na wewe Mnyika umekaa kimya?...
Acheni majungu majungu yasiyo na kichwa wala miguu watanzania wana mengi ya kufanyiwa...
Zitto keep it up...TUNATAKA ZITTO UGOMBEE URAIS 2015 NA UTASHINDA.
Tatizo haujui maana ya mbunge...mbunge ni kiongozi wa nchi na anapaswa kuitumikia nchi kwa vile anavyoona anfaa na ndo maana hata mbowe halipwi mshahara na CHADEMA japokuwa anawadhurumu kila leo badala yake analipwa na serikali kama kodi ya wananchi...
Tunakupongeza zitto na uendelee kupigania maslahi ya watanzania na sio ya KANISA KATOLIKI...TUNAJUA WANAKUANDAMA KWA SABABU UMEKATAA KUFUATA MATAKWA YA KANISA...
Tatizo lenu John Mrema, John Mnyika, Regia mtema, Basil Lema ,God Bless Lema Benson Kigaila na wachaga wengine wa ndani na nje ya CHADEMA mmejaa chuki binafsi katika mambo yote yanayomuhusu zitto.\
uzuri wenu ni waoga sana kiasi kwamba hamtaji majina yenu humu jamvini..
mbona kamati ya kina mnyika imeshauri DOWANS inunuliwe na wewe Mnyika umekaa kimya?...
Acheni majungu majungu yasiyo na kichwa wala miguu watanzania wana mengi ya kufanyiwa...
Zitto keep it up...TUNATAKA ZITTO UGOMBEE URAIS 2015 NA UTASHINDA.
hauna tofauti na taxi bubu
MKUU LABDA USEME NYINYI MNAPENDA KUWA ZERO CORRUPTION ILA HAIWEZEKANI UNATAKA TUSEME MIKATABA YA RUSHWA KWENYE UJENZI!?? MNANUKA MKUUU! sana tuu!Najua hii ilipoanzia!
Ule mchezo wa kulipua jengo la Uwekezaji Nairobi na kufahamisha umma kuhusu mifuko mingine kutaka kutumika. Sasa naona mmeanza kuona NSSF inaelekea kupata faida kubwa na hivyo sifa kwa utawala wake mnaanza kushambulia watu wanaotazama mema ya nchi. Siasa wekeni kando na kamwe cha juu hamtapata kwa kuwa NSSF hatutoi rushwa.
Narudia sisi ni zero corruption zone na Hosseah anajua. Zitto achana na hawa
Mkuu WaTZ huwa tunaangalia VINAVYOONEKANA kwa nje si vile VILIVYOJIFICHA.. ndio maana wala rushwa ndogondogo kesi zao ziko mahakamani wale wala rushwa kubwa hawaonekani wala wengi hawakamatwi kwa sababu wana akili sana na mapesa yao yapo kwenye mzunguuko!PPF ina ufisadi wa kutisha lakini mbina hawafuatiliwi kama mnavyowaandama NSSF?
Inaelekea Taifa- Kwanza huifahamu mifuko hii ya hifadhi ya jamii kwa undani.PPF walisimamisha kulipa baadhi ya pensheni kutoka na ukata, halikadhalika PSPF kutokana na upungufu wa michango inapata ruzuku ya serikali.
NSSF kupewa kiwira itaanzisha kampuni tanzu ambayo itatoa ajira na kulipa madeni.Fedha zinazokusanywa na NSSF ni nyingi na mabenki hayatoi riba ya kutosha kukidhi haja ili mafao yaboreshwe, I stand to be corrected.
hauna tofauti na taxi bubu
LAT Quote vizuri, quote in post 107 are not Sigma's. Ushasamehewa.
Wewe nyamaza kabisaaaaaaaa. NSSF ni pesa za wanachama. Sidhani kama Zitto ni member wa NSSF ataamuaje tu kuwekeza kwenye project yenye mgogoro kama hiyo. Wakati umefika sasa wa kuhoji uhalali wa matumizi ya pesa za mifuko ya pension kwenye uwekezaji usiofaa. Manaake naona wanaamua tu kuwekeza kwenye niradi hovyo hovyo isiyo na faida yoyote kwa sie tunaochangia pesa zetu kila siku.