Zitto & Dr. Slaa Kaeni kitako katika hili

Zitto & Dr. Slaa Kaeni kitako katika hili

Huu mgogoro ni lazima tuuangalie kwa tahadhari kubwa unaweza kutumiwa na maadui zetu kudhoofisha chama. Me nafikiri ni wakati muafaka sasa kwa kamati kuu ya chama kusuluhisha huu mgogoro kwa manufaa ya chama kwani kwa mawazo yangu binafsi chama kinawahitaji sana wote wawili kwa ajili ya kuleta mapinduzi ya nchi yetu.
 
Huu mgogoro ni lazima tuuangalie kwa tahadhari kubwa unaweza kutumiwa na maadui zetu kudhoofisha chama. Me nafikiri ni wakati muafaka sasa kwa kamati kuu ya chama kusuluhisha huu mgogoro kwa manufaa ya chama kwani kwa mawazo yangu binafsi chama kinawahitaji sana wote wawili kwa ajili ya kuleta mapinduzi ya nchi yetu.
Zitto hana sababu ya kutwitch ,yeye kasema akiondoka chadema itapasuka tunataka aondoke tuone mpasuko wa chama na akaendeleze Masalia bin CHAUMA nje ya chama lugha mbona zinabadirika na hata wiki haijapita alikuwa anatamba hapa kwamba yeye ni ngunguri ,wacha chama kibaki na watu kumi wenye nia safi ya kusimamia mabadiriko
 
Mkuu nashukuru kwa tarifa yako nzuri lakini nataka kujua hizo ni takwimu za lini,kwa sababu kuna eneo nakubaliana na wewe lakini kuna maeneo hali si hivyo kwa sasa mkuu.
 
By Wabhejasana

"Hakuna ubishi kwamba Zitto anakubalika na anao wafuasi wengi na hasa ukanda wa Ziwa ambao hakuna ubishi kwamba una watu wengi,lakini Slaa naye ana kundi kubwa ingawa kwa kiwango kikubwa anaonekana kuungwa mkono zaidi na watu kutoka kaskazini ambao ukiangalia idadi yake si kubwa kama ile ya Ziwa,kwa hiyo kinachokuja kutokea hapa ni kwamba zitabaki zile kanda za kusini,kati na mashariki ambapo huko itategemea nani mwenye mvuto zaidi na kwa vyovyote ni lazima watagawana ingawa kuna mshindi lazima tapatikana bila kujali ni Zitto ama Dr Slaa"



Huku ni Uongo mkuu. kukubalika kwa Zitto kulitokana na Juhudi za DR. Slaaa,

Wabunge wengi wa Chadema wameongezeka bungezi ni juhudi za DR. Slaa


kanda ya ziwa DR. Slaa anakubalika kuliko mtu yeyote : wazeee kwa vijana , zitto labda akubalike kigoma peke yake na Tena kwenye jimbo lake.


Baada ya DR. Slaa kanda ziwa anayefuata kukubalika ni Maghufuli, ambaye sasa umaarufu wake umeanza kupungua.

Kwa kanda ya ziwa List ya wtu wanokubalika.


DR. Slaaa....60%
Maghuli........15%
Sitta.............12.5%
Zitto..............12.5%

Nyanda za Juu kusini.

DR. Slaaa.........54%
Mwandosya.......30%
Mwakyembe.......11%
Zitto.................05%


Kusini(Lindi,Mtwara)

Membe..........54%
DR. Slaa..........36%
Zitto..............10%

Nyanda za Juu kaskazini
DR. Slaa..........70%

Lowasa...........26%

Zitto............04%

Dar + Pwani

Kikwete......48%

Dr. slaaa......42%

Zitto...........10%

Ahsante sana mkuu kwa hizi takwimu,lakini naomba kujua ni za lini kwa sababu kuna maeneo naona uko sawa ila maeneo mengine hauko sawa,tafadhali nijuze ili tujadiliane kwa faina ya wengine pia kwa sababu naona uko makini.
 
Zitto hana sababu ya kutwitch ,yeye kasema akiondoka chadema itapasuka tunataka aondoke tuone mpasuko wa chama na akaendeleze Masalia bin CHAUMA nje ya chama lugha mbona zinabadirika na hata wiki haijapita alikuwa anatamba hapa kwamba yeye ni ngunguri ,wacha chama kibaki na watu kumi wenye nia safi ya kusimamia mabadiriko
pamoja na hayo lakini hatuwezi kutumia njia za kidiplomasia kulimaliza hili? Wasi wasi wangu yasije kutukuta yaliyotokea NCCR mageuzi kipindi kile. Tufanye compromise for good will ya chama, watanzania wanatuangalia kwa macho ya matumaini tusije kuwaangusha 2015.
 
Ndani ya chama, Slaa anakubalika makao makuu, Zitto anakubalika matawini.
Slaa anashindwa kusoma alama za nyakati, kushindana na Zitto kunamshusha daraja kila siku hasahasa ndani ya chama.

mia mkuu slaa makao makuu kweli na sababu ipo waz mtaani zitto waulize vijana nan kawa inspire kuingia kwenye game leo hii wanamuona ***** lakin tufanye uchunguz ni vjana wa ukanda upi hili suala la zito linazd kunifkirisha kukubaliana ndan ya chadema kuna ukanda but time will tell
 
hivi zitto sanasana kafanya nini kukijenga chadema?nachojua ni mlevi wa misifa na kujipendekeza kwa watawala tu hamna cha maana cha kumfananisha na slaa na yy analifahamu. Mbona kuna kina lisu hawajigambi na wako chadema na wana mchango mkubwa kupita zitto, huyu kijana lazima kuna wire ulishakatika siku nyingi
ushauri wangu kwake asifanye kitu kwa kudai malipo ya namna yoyote ile kama kazi yake nzuri tutamchagua tu na siku attack watu ambao wana heshima yao kwenye jamii
 
pamoja na hayo lakini hatuwezi kutumia njia za kidiplomasia kulimaliza hili? Wasi wasi wangu yasije kutukuta yaliyotokea NCCR mageuzi kipindi kile. Tufanye compromise for good will ya chama, watanzania wanatuangalia kwa macho ya matumaini tusije kuwaangusha 2015.

Ya NCCR hayatajilejea kamwe ndio maana NCCR nao waliweza kumziba kafulila kabla hajayarejesha mambo ya fujo kwenye chama, na yeye alisema Zanzibar ,Kigoma,Tanga,Mwanza,Shinyanga,Mbeya,Dar es salaam wako nay baada ya kutimuliwa akaangukia pua yuko chauma founder,sasa itakuwa Zitto na mikwala Wote tuseme Zitto bye bye ni msaliti na muua mabadiriko kwa tamaa zake binafsi,hafai, hafai aende zake akaendeleze masalia PM7 na chauma to the international level,hawezi kutumanupulate wala kutuhypotonise kama alivyowafanyia masalia let him do what ever he wants to do politically nje ya Chadema nadhani kwa sababu anasema ana nguvu sana atakuwa na wafuasi wengi kuliko wa Chadema na CCM kuanzisha ID 1000 hapa JF kuupooza munkari kwa kumuona mtu ambaye kwa mwaka mmoja na nusu amekuwa akimtukana na kutukana chama eti wakakae pamoja ni big no ,no
 
mia mkuu slaa makao makuu kweli na sababu ipo waz mtaani zitto waulize vijana nan kawa inspire kuingia kwenye game leo hii wanamuona ***** lakin tufanye uchunguz ni vjana wa ukanda upi hili suala la zito linazd kunifkirisha kukubaliana ndan ya chadema kuna ukanda but time will tell
Twith,panic,fear,anxiety,stress,trauma,phobia ya nini kinakuja mbele ya Zitto ndio sifa alizonazo saa hizi mitandaoni,magazeti,redioni kujaribu kufanya damage control haisaidii,ukanda ,na umama wa ukanda ni melody iliyokwisha
 
Join Date : 9th September 2012
Posts : 1,092
Rep Power : 534

Joined with 17 days 1092 post ??????? 65 per day 3post per day

Sorry mkuu inawezekana umetuma under a certain mission na prezee aka Zitto

We do not buy this RUBBISH

Wewe inaonekana ni mbaguzi sana,lakini poa yote mema wewe si ndio mkuu wa JF unachojua ni matusi wala hakuna shida.
 
Huu up.upu ulioandika hapa mtumie Zitto kwenye account yake ya twitter John Mnyika ameshatoa maelezo ya taatibu za chama na Kwamba suala hili linashughulikiwa . Nyie wafuasi wa zitto siku zote ndio mnaomuharibia .Pia inaelekea Zitto kwa tabia yake ya kutokukubali kushindwa ndio anaandika haya na kuwapa m-post .

Mi nadhani umekurupuka wala hujasoma hii thread kisha ukakaa na kujihosji,mi nilidhani wewe ni mtu makini ambaye unafikiria kwanza kabla ya kutenda,haya maneno ya kwamba ni mfuasi wa Zitto yanatoka wapi?!,kwa taarifa yako zitto huwa namuona tu kwenye vyombo vya habari na wala sijawahi kuongea naye kwenye simu wala ana kwa ana!!!kwa hiyo na inavyoonekna wewe una hasira na zitto nadhani kuna kitu alikufanyia ndiyo maana unakuwa hivyo hadi kukosa umakini,mimi nimezungumzia watu wawili lakini wewe unampoint mmoja,hujatenda haki,kajipange upya mkuu.
 
Ndani ya chama, Slaa anakubalika makao makuu, Zitto anakubalika matawini.
Slaa anashindwa kusoma alama za nyakati, kushindana na Zitto kunamshusha daraja kila siku hasahasa ndani ya chama.

CCM wanajua kwa kiwango gani Dr. Slaa anakubalika, kamuulize Kikwete! Hizo propaganda Zenu za kukitukuza kinyonge na kukidhihaki chenye nguvu hamtafanikiwa sisi CHADEMA tunajua nani anakifaa chama kwa wakati gani, msituletee uhuni wenu, ZITTO is the future of CHADEMA hakuna ubishani kwa hilo kama atajipambanua na kuachana na hao vijana wanaojiita masalia, lakini the present of CHADEMA ni Dr. Slaa. Kila jambo na wakati wake! Watanzania wanamuhitaji Dr. Slaa msiwazubaishe na cheap politics zenu!
 
ZZK aache tamaa & kuyumbisha chama, mgombea urais anahitaji kuwa na umri si chini ya miaka 42. JE ZZK UMRI UTAMRUHUSU?
 
Hallo mwanzisha thread,
Usijaribu kucheza na akili za makachero kama mimi. Wewe uliyeanzisha thread ama ni mkuu wa kikundi cha masalia au ni mfuasi wake. Na nia ya kuanzisha hii thread ni kuomba msamaha kwa njia ya ku-blackmail kama ambavyo mmekuwa mnafanya siku zote. Na wachangiaji wote wa mwanzo mwanzo wanaokuunga mkono ni wewe/nyie wenyewe kwa wenyewe, mtindo ambao nao mmezoea kuutumia. Unasema Dr Slaa wakae na Zitto eti Chadema imegawanyika vipande viwili? Hebu acheni kucheza na akili za watu bwana. Mlikubali kutumiwa na CCM na mtavuna mlichopanda. Kama kweli mna nia ya kuomba msamaha jitokezeni muungame mbele ya umma na wacheni hizi njia za ku-blackmail eti Zitto akiondoka Chadema itakufa.

Kwa kukusaidia alieanzisha thread ni Gwakisa Burton Mwakasendo.
 
mia mkuu slaa makao makuu kweli na sababu ipo waz mtaani zitto waulize vijana nan kawa inspire kuingia kwenye game leo hii wanamuona ***** lakin tufanye uchunguz ni vjana wa ukanda upi hili suala la zito linazd kunifkirisha kukubaliana ndan ya chadema kuna ukanda but time will tell
Nikweli Zitto alikuwa insperation hata kwa mimi kuamini kuwa mabadiliko kwenye hii nchi yanawezekana, lakini mimi na pursue cause ya mabadiliko kwa kufuata dira ya chama siyo matakwa ya mtu, mimi siyo mfuasi wa mtu, na vijana wengi wa sasa wana pursue dira ya chama siyo mtu kama wewe bado unafuata watu you will be dissapointed very soon, i gurantee you that! Simama na vison ya chama kinataka kufanya nini kwa umma, maamuzi ya chama ndio yatakayotuongoza namna ya kumkabili adui ufuasi utakiua chama, mtu wako asipotishwa kwenye kura za maoni utafanyaje!
 
Kwa kukusaidia alieanzisha thread ni Gwakisa Burton Mwakasendo.

Leo ndio nimeamini kwamba kumbe humu JF kuna watu waongo na ambao hawafikirii kwa umakini!!!!!!!!,huyo unaemtaja binfsi simuji,lakini nisema tu kwamba wewe pamoja na ndugu yako hapo juu mnazungumza mambo ambayo hamna uhakika nayo na hayana ukweli wowote,mimi si CHADEMA wala CCM isipokuwa ni mwanaharakati ambaye namuunga mkono yeyote mwenye hoja,na namkosoa mtu yeyote ambaye anakuja na hoja zisizokuwa na maana kwa ni aya kuijenga nchi.
 
Sahihisho Dr. Slaa hana kundi, hajawahi kuunda kundi ndiyo maana hakuomba kugombea urais ila aliombwa. Kinyume ni kweli kwa ZZK. Hakuna cha kudadavua ukweli utajitenga

Huu ndio ukweli wenyewe. Zitto amebainika kuanzisha kundi la uasi PM7 ndani ya chama sasa anahaha kutaka kuhadaa watu kwamba Dr. Slaa naye ana kundi.
Sasa anaweweseka kumchafua Dr. Slaa lakini bahati mbaya ni kwamba wanachadema tunayo macho ya kuona na akili ya kutafakari kwa kina. Ni vizuri ajiandae kujieleza mbele ya chama ni kwanini anashirikiana na ccm kutaka kukivuruga na kukigawa chama.
Na mimi nasema wanachadema tutamuunga mkono mwanachama/kiongozi yeyote anayetafuta kuwaunganisha wanachama. Lakini anayetengeneza makundi ya kutuhujumu hatutamuunga mkono kamwe hata kama ana tunguli kutoka Nigeria!
 
Dr. Slaa ni mtu msafi awezi kukaa kujadiliana na mshirikina na mvivu na mwenye tamaa ya kimaslahi binafsi km zzk huyu si saiz yake ata kdogo akajadiliana na ndugu ndio akili zao zinalingana
 
mia mkuu slaa makao makuu kweli na sababu ipo waz mtaani zitto waulize vijana nan kawa inspire kuingia kwenye game leo hii wanamuona ***** lakin tufanye uchunguz ni vjana wa ukanda upi hili suala la zito linazd kunifkirisha kukubaliana ndan ya chadema kuna ukanda but time will tell

Kuna baadhi ya vijana wachache waganga njaa ndio wanaomhusudu zitto. Kwa mtu yeyote makini anakuwa inspired na mwanasiasa lakini anapoamua kujiunga na chama ni baada ya kuridhika na kuziamini sera za chama husika.
Nataka nikuhakikishie kwamba zitto amewainspire vijana wengi lakini amewadissappoint vijana wengi walio wanachama wa Chadema.
 
Back
Top Bottom