DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Kati kampeni za udiwani kata ya kiwira Zitto zuberi kabwe alisikika mara nyingi akimsifia sana slaa kwanza alisema DR Slaa ndie mtu aliye mfundisha kazi za bunge na kumpa uzoefu pamoja na mbinu. Pia alisema bila umakini wa Slaa leo watanzania wasingejua kama kuna ufisadi BOT pia alisema chadema ni makini kwani kina viongozi makini kama Mboye.
Nikajiuliza hivi ni kweli Zitto alitangaza nia ya kupambana na Slaa kuwania Urais kwenye kura za maoni?
Nikajiuliza hivi ni kweli Zitto alitangaza nia ya kupambana na Slaa kuwania Urais kwenye kura za maoni?