comment yako inaonesha hujasoma hata thread yenyewe. ukisoma utalazimika ku-edit maana unajidhalilisha.
saccos yenu ya chagadomo imewadodea. na bado.
Zitto kawashika vibaya. mmebaki kuweweseka. hiyo ni trela tu. picha yenyewe yaja.
Watanzania wanataka kusikia habari ya Katiba mpya kama inafaa ama haifai, Tume huru ya uchaguzi, Uandikishwaji wa daftari la kudumu la wapiga kura na Uchaguzi mkuu mwezi October - sasa mtu mwingine eti anatanganza chama chake kipya!!
saccos yenu ya chagadomo imewadodea. na bado.
Teteteteh....siku hizi habari leo ina ripoti upinzani?.Si mnakatazwa kuripoti issues za upinzani?.Huyu zito mna ripoti kwa misingi gani?jibu mnalo waswahili,mafisadi.
Zitto kawashika vibaya. mmebaki kuweweseka. hiyo ni trela tu. picha yenyewe yaja.
Kwa Dodoma hawezi kutudanganya lolote aende zake Kigoma huko.dodoma hatutaki watu wanaoeneza udini na wanajisifia maisha yao.sisi na CCM au wengine UKAWA basi.