Vyama vya majina ya kizungu haya hatuvitaki kabisa. Bora CCM iendelee kutawala kama CDM ikishindwa. Hatutaki kuhudumia matumbo ya watu hapa Wananchi tumecoka. Habari za ZZK sio mpya. Ni sawa na alikokuwa
Usiangalie majina bali vyama hivyo vinasimamia nin?ni kweli CCM na Chadema kisera wanafanana, zinatofautiana majina tu.
Tumepata this time chama chenye misingi tofauti, ndio maana unaanza kusikia hoja zikianza kuongelewa.Ndio tunapaswa kwenda huku.
ACT ina aina ya siasa inayolifaa taifa letu, maana tukiwa na vyama uniform vinavyofanana kuna haja gan basi ya kuwa navyo?ACT kimekuja tofauti, turudi kwenye misingi.