Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Kwi! Kwi! Kwi!Hivi ile mahakama ya mafisadi bado ipo?
Kwi! Kwi! Kwi!Hivi ile mahakama ya mafisadi bado ipo?
Hoji wewe kama unataka.nilifikiri ungehoji kutotoa aliyeuza nyumba zetu za umma kwa HAWARA ZAKE na kupora korosho za waliomaskini huko mikoa ya kusini kisha kajikaiusha
pia aliyepeleka kivuko chetu jeshini yule aliyeenda loliondo kufakamia mimaji
Wapinzani ni wengi jela kuliko mafisadiWabunge wenye kesi za kisiasa ( uchochezi ) mahakamani mpaka sasa
Wenye Kesi kwa ujumla
1. Freeman Mbowe
2. Zitto Kabwe
3. Tundu Lissu
4. Selemani Bungara ( Bwege )
5. Esther Matiko
6. Esther Bulaya
7. John Mnyika
8. Godbless Lema
9. John Heche
10. Cecil D Mwambe
11. Halima Mdee
12. Zubeda Sakuru
13. Rev. Peter Msigwa
14. Susan Kiwanga
15. Peter Lijualikali
16. Pascal Haonga
17. Frank Mwakajoka
18.
Walio rumande
1. Freeman Mbowe
2. Esther Matiko
3. Susan Kiwanga
4. Peter Lijualikali
Waliokwisha fungwa
1. Joseph Mbilinyi
2. Peter Lijualikali
Waliopigwa risasi
1. Tundu Lissu
Aliye na idadi ya mafisadi waliofungwa aitaje then tujue anapambana na ufisadi au upinzani
na yule anayeuza vitambulisho kwa watu bila hata kujua wakijiwa na mavi wanaenda kunya wapi... sijui huwa anaposema maskini anamanishaga nn?Hoji wewe kama unataka.
Hata hueleweki.na yule anayeuza vitambulisho kwa watu bila hata kujua wakijiwa na mavi wanaenda kunya wapi... sijui huwa anaposema maskini anamanishaga nn?
hujamuelewa mwalimu wako utanielewa mimi? ungekuwa unauwezo wa kuelewa usingekuwa unashabikia hata ujinga ujinga hapa... mnatufanya cc watanzanianwa daraja la pili kisa cc hatukatiki mauno huko lumumba?Hata hueleweki.
Nliskia kuna madoctor wa ubongo wamekuja vp bado hawajaanza tu kazi?? Mda unaendaHajatoa orodha ya wafungwa wa kisiasa aliyoipeleka Umoja wa Ulaya?
Labda kizazi cha ufipa.unamatatizo, Tupo kwaajili ya taifa na kizazi kijacho
Wanaanza na makamanda kwanza.Nliskia kuna madoctor wa ubongo wamekuja vp bado hawajaanza tu kazi?? Mda unaenda
Kwa hiyo Lowassa siyo fisadi?upinzani uchwara kazi kumzushia Lowasa ufisadi kumbe hata ushahidi hayana
Kwa hiyo Lowassa siyo fisadi?
Wewe kwa mtizamo wako Lowassa ni fisadi ama si fisadi??Muulize Tundu Lisu aliyemuweka kwenye list of shame
Huyo ni mchochezi big way. Naona wanamsanifu wanamsare tu huku yeye anaendelea kuwachokoza ili akamatwe aweze kurejesha umashuhuri..ila wamemkazia hawataki kumshika.17 Tanzanian opposition legislators ( 23% of all opposition bench in parliament) face various politically motivated offenses in courts. 2 were convicted with prison terms and 4 are in remand prisons including the leader of the opposition in parliament and 2 women popularly elected from constituencies. 2 escaped an assassination attempt with more than dozen bullets in his body.
MPs with cases in court
1. Rt. Hon. Freeman Mbowe
2. Rt. Hon. Zitto Kabwe
3. Rt. Hon. Tundu Lissu
4. Rt. Hon. Selemani Bungara ( Bwege )
5. Hon. Esther Matiko
6. Hon. Esther Bulaya
7. Hon. John Mnyika
8. Hon. Godbless Lema
9. Hon. John Heche
10. Hon. Cecil D Mwambe
11. Rt. Hon. Halima Mdee
12. Hon. Zubeda Sakuru
13. Hon. Rev. Peter Msigwa
14. Hon. Susan Kiwanga
15. Hon. Peter Lijualikali
16. Hon. Pascal Haonga
17. Hon. Frank MwakajokaI
In remand prisons
1. Rt. Hon. Freeman Mbowe
2. Hon. Esther Matiko
3. Hon. Susan Kiwanga
4. Hon. Peter Lijualikali
Served jail terms
1. Hon. Joseph Mbilinyi
2. Hon. Peter Lijualikali
Assassination attempt
1. Rt. Hon. Tundu Lissu
Chanzo:Ukurasa wake wa facebook
My take:
Kama kweli tuko kweye vita ya uchumi, rushwa, pamoja na kupambana na mafisadi,wanasiasa na watendaji waliosaini mikataba mibovu kama ile ya madini,n.k au walioshirikiana na mabeberu kupora rasilimali zetu kama wale waliotajwa kwenye ripoti za makinikia, wako katika jela au mahabusu gani?
Poleni sana wadanganyika!
Kwa ivo wewe kila anayeshtakiwa ni lazima afungwe??kama wenye kesi wapo 17,halafu wamefungwa wawili tu,hiyo kasi ya waendesha mashitaka na wapeleleI ni ndogo sana,walitakiwa wafungwe wote hao
Madudu yaliyofanywa na wapinzani yaorodheshe tuyajue.
Mafisadi ya ununuzi vivuko vibovu na kuuza nyumba za serikali wapo??Kama wanaleta ujinga waachwe tu?
Mahakama safisheni wote hao wajinga wajinga, upinzani uchwara kazi kumzushia Lowasa ufisadi kumbe hata ushahidi hayana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukpata jibu ni tagKuna kitu kimoja sikielewi na kinanisikitisha sana ni juu ya mh Rais kulalamika juu ya kupoteza gesi yetu .
Mimi nahitaji ufafanuzi na nina mashaka juu ya nguvu zake juu ya kupambana na ufisadi. Kivipi gesi yetu imepotea?
Sent using Jamii Forums mobile app