mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Hivi ile mahakama ya mafisadi (tena jengo lake lipo) inafanyakazi? Au Magu alitafakari na kukumbuka aliyoyafanya naye kupaswa kufikishwa kwenye ule mjengo kwa makosa aliyotenda kabla ya kuwa raisWabunge wenye kesi za kisiasa ( uchochezi ) mahakamani mpaka sasa
Wenye Kesi kwa ujumla
1. Freeman Mbowe
2. Zitto Kabwe
3. Tundu Lissu
4. Selemani Bungara ( Bwege )
5. Esther Matiko
6. Esther Bulaya
7. John Mnyika
8. Godbless Lema
9. John Heche
10. Cecil D Mwambe
11. Halima Mdee
12. Zubeda Sakuru
13. Rev. Peter Msigwa
14. Susan Kiwanga
15. Peter Lijualikali
16. Pascal Haonga
17. Frank Mwakajoka
18.
Walio rumande
1. Freeman Mbowe
2. Esther Matiko
3. Susan Kiwanga
4. Peter Lijualikali
Waliokwisha fungwa
1. Joseph Mbilinyi
2. Peter Lijualikali
Waliopigwa risasi
1. Tundu Lissu
Aliye na idadi ya mafisadi waliofungwa aitaje then tujue anapambana na ufisadi au upinzani