Zitto atikisa Bagamoyo leo

Zitto atikisa Bagamoyo leo

Huyu Zitto huyu, hivi hajui kulipa fadhila??
Mshkaji wake JK hakwenda kuipigia debe CCM kule kigoma kaskazini 2010 ili Zitto apete lkiulaini, yeye leo hii anakwenda kuongoza M4C Bagamoyo bila aibu????
 
Asije akasaidia kuipa CCM kura,haaminiki.
 
Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa wiki nzima yuko mikoa ya kusini huku Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa amejichimbia Kanda ya ziwa kwa wiki mbili sasa

Inanikumbusha enzi zileee katika chaguzi za CCM! Treni toka kanda ya ziwa ilikuwa ikishangiliwa sana pale Dodoma wakati innafika na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM. ilikuwa ikiitwa treni ya ushindi kwa kuwa wapiga kura wengi wanatoka kanda ya Ziwa. Ukijikita kanda ya Ziwa unakuwa na uwezekano wa kushinda kuliko kujikita kanda ya Kusini!
 
Inanikumbusha enzi zileee katika chaguzi za CCM! Treni toka kanda ya ziwa ilikuwa ikishangiliwa sana pale Dodoma wakati innafika na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM. ilikuwa ikiitwa treni ya ushinda kwa kuwa wapiga kura wengi wanatoka kanda ya Ziwa. Ukijikita kanda ya Ziwa unakuwa na uwezekano wa kushinda kuliko kujikita kanda ya Kusini!

Mkuu Kimbunga umenikumbusha mbali sana.
 
Wanachama na wapenzi wa CHADEMA wengi wao humu jamvini wana mashaka na Mh Zito na mashaka hayo yanatokana na jinsi Zito anavyo kitumikia chama kwa miaka ya hivi karibuni sasa nadhani ni jukumu la Zito kufanya kazi hadharani ya kukitumia chama kama hivi ambavyo anakwenda Bagamoyo na isihishie hapo tu arudishe ile spirit aliyo kuwa nayo miaka ya nyuma enzi za Buzwagi.
 
Hakuna mwenye matatizo binafsi na mh zito.tatizo linakuja pale anapo fanya tofauti na malengo ya chama, akiendelea na halakati za namna hii hutokuta mtu yyote anaitakia mafanikio Cdm anamnyoshea kidole mh kabwe.
 
ZZK ameenda ukweni!maana nasikia anataka kuchumbia kwa JK;
 
Ahsante malemo kwa info.Tunawatakia kila la heri CDM ili wanyakue kata zote 29 kuonyesha ishara wazi ya neema kwa 2015.
 
alaaahh zitto kaamua aache safari za marekani na kumsindikiza JK kwenye safari zake sio.... kaamua aanze kusaidia chama chake katika kutafuta madiwani....cdm jitahidini maana mkiweza kupata madiwani wengi hiyo ndio mwanzo wa safari ya kuelekea ikulu
 
Back
Top Bottom