Zitto ataja mawaziri mizigo

Ningeshangaa sana kama Lukuvi na Wasira wasingekuwepo kwenye Orodha, pia hapo kwenye Orodha amekosekana Fredrick Warema huyu naye hataki kabisa tupate katiba iliyo bora.
 
Huko ni kupoteze mwelekeo. Badala ya kujibu hoja unakimbilia udini. Huku ni kungizab sumu mahala pasipo stahili.
 
Mkuu unaropoka sana, kauli yako inamaanisha hujui ulikotoka wala unakoelekea.
Pengine una vimba kichwa kwa sababu watu hujibu hata pumba unazoandika.
Nimekufuatilia sana posts zako na nimeona una KICHWA BOGA kweli kweli.
Anyway, la kufa haliskii dawa.
Hivi zito ni mbunge wa wapi na mwanachama wa chama gani?
 
Vipi shukuru kawambwa?
Sometimes inaniwia vigumu sana kumuamini zitto, hasa anavyojitahidi kubana watu wenyemrengo tofaut na yeye.
 
sio kila amwitae bwana bwana nae ni mkristo,,,, so hakuna mkristo mwenye sera za kishetan kama watajwa hapo juu..hivyo basi kwa alichokisema zitto kwa hao mawazir hata mbingu zinakishuhudia kuwa ni kweli

Afadhali umemjibu mkuu.
Jamaa/lady ana mawazo mgando sana huyu.
Anawaza dini tu.
Kwa taarifa yake dini ni kuwajali yatima, wajane, wagonjwa, wasiojiweza na wenye matatizo mbali mbali. La sivyo utapigia debe sana hiyo unayoiita dini na motoni kama kawa.
 
Huyu mkimbizi naye mnafiki tu mi sioni anachozungumza ni comedy tu sasa hana cha maana hata kimoja.

Mkuu wambie uhamiaji wa mrudishe kwao si unaushahid au ukuona wenzio wa morogoro jana au "unaongea on air like a kindagaten student" jifunze kua na credible talks itasaidia ata chama chako cha magamba ku-restore trust
 
Mkuu wewe na wehu wa barabarani unatofauti gani nao?

Njoo nikuajiri, achana na vibarua vya siasa za ccm, ila kama ni firt degree hatuhitaji hao, tunahitaji Masters degree...ID yako inadharirisha mkoa wetu...wewe si ni mhutu, uongo? heb bisha...
 
Hongera ZZK na huo ndo ukweli halisi japo hao mawaziri wanawashirika wao, kuna mwanasheria mkuu wa serikali na waziri wa mambo ya ndani, naibu spika,na wengine wengi

ukweli ni ukweli, japo wapo viongozi ambao wanaona madudu yanafanyika alafu wapo kimya tu.......
ni vizuri kwa viongozi wakubwa wa kisiasa na hata wakiutendaji au wataalam kutoa matamko ya wazi ili watu wajue nini kinaendelea hapa TZ.
 
hawa wameaathirika na maji ya bendera ya jembe na nyundo
hata utumie jiki kuvua vichwa vyao hawatakatiki
message sent to all concervative followers.
Cc ze marcopolo,le mutuz,mwana diwani,chama,chris lukosi,pasco etc.
 
Ningeshangaa sana kama Lukuvi na Wasira wasingekuwepo kwenye Orodha, pia hapo kwenye Orodha amekosekana Fredrick Warema huyu naye hataki kabisa tupate katiba iliyo bora.

sasa inakuweje mwajir wao anawafumbia macho? Au wana mkono mref kuliko ule wa serikali wanayoitumikia??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom