Zitto Asisubiri Kuvuliwa Uanachama; Ajiondoe Mwenyewe: Mahakama Isiingilie kazi za Chama!

Mwanakijiji
Kila mara unaongelea nidhamu nidhamu, hivi nidhamu wewe unayoiona ni yakutofautiana kimawazo wanasiasa tu? Hivi kwa mwanyekiti kutembea na mbunge wa kuteuliwa ni nidhamu ama rushwa ya ngono?

Wenda Zitto anapingana na watovu wa nidhamu wa rushwa za ngono, na watovu wanidhamu wasio na nidhamu kwenye fedha za chama. Kwanini hao wasio nanidhamu kwenye fedha na wapokea rushwa ya ngono, huwashauri wajitoe kwenye chama?

Wewe ndio umetoka kapa kabisaa. Hujaelewa kitu
 
ZZK aliapa atakua wa mwisho kuondoka CDM,
Pia akasema "hii ni vita kati ya wahafidhina na wapenda demokrasia"
Tatizo lenu mnaangalia upande mmoja tu wa zzk,mbowe na slaa mapungufu yao yanamezewa,We cannot solve problems in a such situation ndo kwanza tutazidi kupandikiza mbegu ya kukipeleka chama jehanamu
 
Wewe toa uongo wako hapa,Zitto alishasema hajawahi kukutana na wewe,hiyo gari uliipandia wapi?kanywe gongo huko si mmehalalisha?


Zitto ndio uongo hasa, maana wakati wa uchaguzi wa bavicha walikuwa kundi moja, anamjua sana tu, huyu mbona aliwakana hata kina Mtela na shonza wakati hata kwenye press yake Mtela ndio alikuwa mratibu, na Shonza hata papuchi yake anaijua.
 
ben saanane unatuchanganya mbona zzk alisema hajawahi onana nawewe? Wanasiasa sijui mkoje.

Aje hapa aseme hayo maana kwa wanasiasa kama wassira anayekana hadi watoto wao unatarajia nini.Hebu waulize akina Mwampamba juu ya hili.Ni aibu kwa watu wanaojiita viongozi kuwa waongo kupindukia

Ni kama uongo wa leo asubuhi kupitia Channel 10 kudai kuwa yupo tayari kupokea uamuzi wowote wa Kamati Kuu lakini jioni hii yupo mahakamani kupinga kujadiliwa

Compulsive lier!
 
Hata mimi naamini Mh. Zitto kaingia "kingi" kiasi kwamba ni hiyo milango miwili tu: kujitoa au kufukuzwa ndo iliyobaki kwake, hasa kama hatachagua kutubu na kuachana na strategies zisizomfaa kisiasa. Alikuwa na fursa ya kuepukana na haya kama angetumia busara zaidi badala ya kupambana "kijinga", tena kwa kutumia watu kama wakina Mchange, Shonza, Mwampamba etc ambao hawana "credibility" hata miongoni mwa wafuasi wake yeye mwenyewe Zitto. Apparently he is losing this fight; he had a chance but he chose the wrong course of action. Huwezi kukata mti wa tawi ulilokalia halafu wewe ukabaki salama. Baadhi yetu humu JF wanamsifu Zitto kuwa ni "smart" kwa matendo yake; lakini ukichunguza kwa makini actions zake unagundua kwamba he is not that "smart". He is actually incredibly naive, to say the least.
 
Zitto ana sifa zote za usaliti. Alisababisha Kafulila kufukuzwa na hakuweza kumtetea japo kafulila alikuwa akitetea maslai yake. Then akahamia kwa Juliana shonza Mchange name mwampamba nao wakafukuzwa na zitto akawatosa bila kuwatetea. Na hata leo Mahakamani Zitto amejitetea mwenyewe licha ya Kitila kujitoa mhanga kumtetea Zitto kuhusu war aka
 
Utakua ni upu.u.z kuisihi mahakama kutosimamia haki,kama unaitaka mahakama isiingilie migogoro ya vyama tena kwa sababu nyepesi,unataka haki ikatafutwe wapi?
 
Hahahahahaha
Mwana kijiji ni wapi mahakama imewaingilia?leo ndio mmeona mahakama ina waingilia baada ya kuona hali mbaya?

Alaf nani kakudanganya kutafuta haki ni kukosa nidhamu? Minafikiri wewe Mwana kijiji ndio una anza kukosa nidhamu.
 
Walivunja katiba wakina ZZK na CC nayo imevunja katiba

6.3.6 Mamlaka za Nidhamu na Uwajibishaji
(a) Kiongozi aliyechaguliwa na Mkutano Mkuu ataweza kusimamishwa uongozi tu
kama ifuatavyo:-
(i) Kiongozi ngazi ya Msingi na Kamati Tendaji ya Tawi
(ii) Kiongozi wa Tawi na Kamati ya Utendaji ya Kata/Wadi
(iii) Kiongozi wa Kata/Wadi na Kamati ya Utendaji ya Jimbo/Wilaya.
(iv) Kiongozi wa Jimbo/Wilaya na Baraza la Mkoa
(v) Kiongozi wa Mkoa na Kamati Kuu.
(vi) Kiongozi wa Taifa na Baraza Kuu.
(b) Kiongozi aliyeteuliwa na vikao vya uongozi ataweza kusimamishwa au kuachishwa uongozi na kikao kilichomteua.
(c) Bila kuathiri masharti ya vipengele (a) na (b) hapa juu, kiongozi yeyote anaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kusimamishwa au kuachishwa uongozi na kikao cha juu ya ngazi yake ya uongozi.
(d) Kiongozi aliyechukuliwa hatua za nidhamu na mamlaka yake ya nidhamu anayo haki ya kukata rufaa ngazi ya juu ya ile ya mamlaka yake ya nidhamu na uamuzi wa ngazi hiyo utakuwa wa mwisho.
(e) Rufaa yoyote lazima ifanyike katika muda wa siku thelathini tangu tarehe ya kupokea rasmi kwa maandishi maamuzi ya mamlaka iliyotoa adhabu.
(f) Viongozi wa ngazi ya kitaifa waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wanaweza kusimamishwa uongozi endapo theluthi mbili ya wajumbe wa Baraza Kuu watapiga kura ya siri na kutokuwa na imani na kiongozi mhusika. Baraza Kuu litakuwa na
wajibu wa kuteua atakayeshika nafasi hiyo kwa muda hadi uamuzi wa mwisho kufanywa na Mkutano Mkuu.
 
Mwanakijiji
Kila mara unaongelea nidhamu nidhamu, hivi nidhamu wewe unayoiona ni yakutofautiana kimawazo wanasiasa tu? Hivi kwa mwanyekiti kutembea na mbunge wa kuteuliwa ni nidhamu ama rushwa ya ngono?

Wenda Zitto anapingana na watovu wa nidhamu wa rushwa za ngono, na watovu wanidhamu wasio na nidhamu kwenye fedha za chama. Kwanini hao wasio nanidhamu kwenye fedha na wapokea rushwa ya ngono, huwashauri wajitoe kwenye chama?
teh teh,kama ni hivo ndani ya ccm ni wote wako hivo!
 
Cdm imuache awe mwanachama bila kumpatia uongozi wa aina yeyote ndani ya chama

kwa mtazamo wangu: kwa kwenda mahakamani ameirahisishia kk ya cdm kufanya kazi kwa urahisi,amewavunja moyo hata wale wajumbe waliokuwa wanahisi kijana anaweza akawa ameonewa!naona kwa mbali km huyu kijana kuna watu wasiyomtakia mema wamemshauri kwenda mahakamani ili kufupisha umaarufu wake
 
Mwanakijiji
Kama nidhamu yakatiba yenu mmeshindwa kuifuata, sasa nidhamu gani nyingine unaongelea ? Na kama ndivyo, ni nani basi atakayehakikisha ya kwamba, katiba yenu mliojitungia wenyewe iinafuatwa?

"6.3.6 Mamlaka za Nidhamu na Uwajibishaji
(a) Kiongozi aliyechaguliwa na Mkutano Mkuu ataweza kusimamishwa uongozi tu
kama ifuatavyo:-
(i) Kiongozi ngazi ya Msingi na Kamati Tendaji ya Tawi
(ii) Kiongozi wa Tawi na Kamati ya Utendaji ya Kata/Wadi
(iii) Kiongozi wa Kata/Wadi na Kamati ya Utendaji ya Jimbo/Wilaya.
(iv) Kiongozi wa Jimbo/Wilaya na Baraza la Mkoa
(v) Kiongozi wa Mkoa na Kamati Kuu.
(vi) Kiongozi wa Taifa na Baraza Kuu.
(b) Kiongozi aliyeteuliwa na vikao vya uongozi ataweza kusimamishwa au kuachishwa
uongozi na kikao kilichomteua.

(c) Bila kuathiri masharti ya vipengele (a) na (b) hapa juu, kiongozi yeyote anaweza
kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kusimamishwa au kuachishwa
uongozi na kikao cha juu ya ngazi yake ya uongozi.
(d) Kiongozi aliyechukuliwa hatua za nidhamu na mamlaka yake ya nidhamu anayo haki
ya kukata rufaa ngazi ya juu ya ile ya mamlaka yake ya nidhamu na uamuzi wa ngazi
hiyo utakuwa wa mwisho.

(e) Rufaa yoyote lazima ifanyike katika muda wa siku thelathini tangu tarehe ya
kupokea rasmi kwa maandishi maamuzi ya mamlaka iliyotoa adhabu.
(f) Viongozi wa ngazi ya kitaifa waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wanaweza
kusimamishwa uongozi endapo theluthi mbili ya wajumbe wa Baraza Kuu watapiga
kura ya siri na kutokuwa na imani na kiongozi mhusika. Baraza Kuu litakuwa na
wajibu wa kuteua atakayeshika nafasi hiyo kwa muda hadi uamuzi wa mwisho
kufanywa na Mkutano Mkuu."
 
Sasa zito anataka nn mbona anakuwa kama msukule?

6.3.6 Mamlaka za Nidhamu na Uwajibishaji
(a) Kiongozi aliyechaguliwa na Mkutano Mkuu ataweza kusimamishwa uongozi tu
kama ifuatavyo:-
(i) Kiongozi ngazi ya Msingi na Kamati Tendaji ya Tawi
(ii) Kiongozi wa Tawi na Kamati ya Utendaji ya Kata/Wadi
(iii) Kiongozi wa Kata/Wadi na Kamati ya Utendaji ya Jimbo/Wilaya.
(iv) Kiongozi wa Jimbo/Wilaya na Baraza la Mkoa
(v) Kiongozi wa Mkoa na Kamati Kuu.
(vi) Kiongozi wa Taifa na Baraza Kuu.
(b) Kiongozi aliyeteuliwa na vikao vya uongozi ataweza kusimamishwa au kuachishwa
uongozi na kikao kilichomteua.
(c) Bila kuathiri masharti ya vipengele (a) na (b) hapa juu, kiongozi yeyote anaweza
kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kusimamishwa au kuachishwa
uongozi na kikao cha juu ya ngazi yake ya uongozi.
(d) Kiongozi aliyechukuliwa hatua za nidhamu na mamlaka yake ya nidhamu anayo haki
ya kukata rufaa ngazi ya juu ya ile ya mamlaka yake ya nidhamu na uamuzi wa ngazi
hiyo utakuwa wa mwisho.
(e) Rufaa yoyote lazima ifanyike katika muda wa siku thelathini tangu tarehe ya
kupokea rasmi kwa maandishi maamuzi ya mamlaka iliyotoa adhabu.
(f) Viongozi wa ngazi ya kitaifa waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wanaweza
kusimamishwa uongozi endapo theluthi mbili ya wajumbe wa Baraza Kuu watapiga
kura ya siri na kutokuwa na imani na kiongozi mhusika. Baraza Kuu litakuwa na
wajibu wa kuteua atakayeshika nafasi hiyo kwa muda hadi uamuzi wa mwisho
kufanywa na Mkutano Mkuu.
 
Zitto akaanzishe chama chake ili akaonyeshe demokrasia ya kugawa nafasi ya uwenyekiti kama njugu kwa kila anaejiona kuwa ana faa kuwa mwenyekiti wa chama.
 
What a great analysis!

Mzee Mwanakijiji,

Insurbodination huondoa trust katika leadership


Nakumbuka tarehe 22/1/2011 tukiwa na Mhe.Zitto ndani ya Gari yake mimi Mchange na Emmanuel Mwakajila tulijadili kuhusu matokeo ya urais 2010 na yeye kudai kuwa uchakachuaji uliofanyika ulistahili kweli mass action kutokana na sapoti kubwa ya vijana waliojitokeza kwenye Kongamano tuliloshiriki pale uwanja wa Makuburi

Nilimwambia ni kweli tungeamua kuwa radical kabisa tungeweza kuunda parallel government

Aliniunga mkono na kutoa maoni yake tulipofika pale External Ubungo kupita service road na kudai kuwa wanaoongoza msafara tena wamekosea sana kumpitisha Rais ambaye hakutangazwa upande huu maana ni hatari sana.Zitto anaweza kuja kuthibitisha hili

Sasa mentality hizi za parallel leadership ndizo zinazowa-drive

Katiba ya chama itasimama juu ya maslahi binafsi .

Leo rangi halisi zimezidi kujidhihirisha zenyewe

Kamanda ZZK aliwahi kukana hadharani hamjawahi kukutana. Namwona Mchange akijitahidi kutype hapa kumwokoa boss wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom