Character X
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 331
- 382
Nimewahi kusema na nitasema tena
Uongozi ni KAZI NGUMU SANA.
Lakini yule mwenye hekima atafikia hatima.
Pande zote hapa zilihitaji hekima zaidi kuliko nguvu, tusingefika hapa!
Lakini kwakua tumefikia hatua hii, namna pekee ni kundi moja kulishinda kabisa kundi jingine.
Ungeniuliza mimi, ningekuambia Utaratibu sahihi ukifuatwa, Zitto atakosa haki(Moral right) ya kuendelea "kupigania" uanachama wake. Anapata hiyo Moral Right yakuendelea kupambana kwakuwa tu CHADEMA imeendelea kukosea taratibu za kumuondoa nakuonyesha mashaka katika dhana ya haki katika utaratibu unaotumika.
Zitto hana ubavu wakupambana na chadema, hakuna mtu aliyenao!
Anaweza kuondolewa CHADEMA bila yeye kung'ang'ana kabisa, kwakua hatakua na HAKI hatakidogo kama taratibu sahihi ziki tumika kumuondoa.
Naomba kusisitiza tena hapa umuhimu wakuonyesha ushahidi unaomtia hatiani kwa tuhuma zake nakutoa nafasi kwa maamuzi kufanywa na vyombo sahihi tu, na kwa wakati sahihi ili kuonyesha kutendeka kwa haki. Na kama HAKUNA USHAHIDI WOWOTE THABITI juu ya USALITI wake adhabu ya kumvua uanachama Sihaki. Kama UPO uwekwe wazi, utaratibu ufuatwe aondolewe!
Utaratibu SAHIHI na wa HAKI ufuatwe iliwote waone HAKI IKITENDEKA!
Zitto hatakua na sababu wala nguvu ya kuendelea kupambana.
Comrades.
Nawashukuru
Uongozi ni KAZI NGUMU SANA.
Lakini yule mwenye hekima atafikia hatima.
Pande zote hapa zilihitaji hekima zaidi kuliko nguvu, tusingefika hapa!
Lakini kwakua tumefikia hatua hii, namna pekee ni kundi moja kulishinda kabisa kundi jingine.
Ungeniuliza mimi, ningekuambia Utaratibu sahihi ukifuatwa, Zitto atakosa haki(Moral right) ya kuendelea "kupigania" uanachama wake. Anapata hiyo Moral Right yakuendelea kupambana kwakuwa tu CHADEMA imeendelea kukosea taratibu za kumuondoa nakuonyesha mashaka katika dhana ya haki katika utaratibu unaotumika.
Zitto hana ubavu wakupambana na chadema, hakuna mtu aliyenao!
Anaweza kuondolewa CHADEMA bila yeye kung'ang'ana kabisa, kwakua hatakua na HAKI hatakidogo kama taratibu sahihi ziki tumika kumuondoa.
Naomba kusisitiza tena hapa umuhimu wakuonyesha ushahidi unaomtia hatiani kwa tuhuma zake nakutoa nafasi kwa maamuzi kufanywa na vyombo sahihi tu, na kwa wakati sahihi ili kuonyesha kutendeka kwa haki. Na kama HAKUNA USHAHIDI WOWOTE THABITI juu ya USALITI wake adhabu ya kumvua uanachama Sihaki. Kama UPO uwekwe wazi, utaratibu ufuatwe aondolewe!
Utaratibu SAHIHI na wa HAKI ufuatwe iliwote waone HAKI IKITENDEKA!
Zitto hatakua na sababu wala nguvu ya kuendelea kupambana.
Comrades.
Nawashukuru