Zitto Asisubiri Kuvuliwa Uanachama; Ajiondoe Mwenyewe: Mahakama Isiingilie kazi za Chama!

Tunapochangia mambo ya msingi tujaribu kuweka pembeni mahaba,kama kinachoangaliwa ni nidhamu basi tuangalie kwa ngazi zote,uchafu wa viongozi wa juu pia usemwe bila kupepesa maneno kwani hamuonikuwa mboe ni mchafu au ndo nahaba!
 

Kwa mfano, baadhi ya Zittoism wanaamini kwa dhati kabisa huyu ni mtu wa kusimamia masilahi ya taifa, well amefanya hivyo lakini leo wanajua kuwa alishawahi kutulizwa na Barrick Gold.
Nani alijua hayo?

Nguruvi3,

Mjadala wa Barrick uliwahi kuibuka hapa JF, zamani kidogo na watu walitaka kujua ilikuwaje kampuni inayochimba madini, Mara, Shinyanya, au Kagera inaenda kufanya shughuli za kijamii Kigoma ili hali jamii zinazozungukwa na mashimo wanabaki kuwa watazamaji? Kwa mtindo ule wa 'simfahamu mtu huyu' Zitto akasema waliopekea msaada ni Halmshauri?

Hili la 'hata Mbowe kapewa hela' linaacha maswali. Zitto, akiwa kama naibu katibu mkuu alijua lini kuwa Mbowe kapewa pesa na mtu Mkono? Alifanya nini kama kiongozi? Kama hakukutwa na hii kadhia bado angeendelea kukaa kimya? Hii inatoa picha gani juu leadership style yake?
 
Tunapochangia mambo ya msingi tujaribu kuweka pembeni mahaba,kama kinachoangaliwa ni nidhamu basi tuangalie kwa ngazi zote,uchafu wa viongozi wa juu pia usemwe bila kupepesa maneno kwani hamuonikuwa mboe ni mchafu au ndo nahaba!
Umeandika kwa ghadhabu kweli kweli.
Nadhani kila mada inajieleza. Hivi kuweka 'uchafu wa Mbowe' hapa kutasaidia kutatua tatizo linalohusiana na mada hii iliyopo? I mean kama X ana makosa, makosa ya Y yanaweza kufuta yale ya X?

Nikushauri uanzishe uzi kuhusu uchafu tutachangia kwa kadri tujuavyo. Si lazima unachokifahamu tukifahamu nawe pia una nafasi ya kutueleza kisichojulikana.
 
Nguruvi3,

Mjadala wa Barrick uliwahi kuibuka hapa JF, zamani kidogo na watu walitaka kujua ilikuwaje kampuni inayochimba madini, Mara, Shinyanya, au Kagera inaenda kufanya shughuli za kijamii Kigoma ili hali jamii zinazozungukwa na mashimo wanabaki kuwa watazamaji? Kwa mtindo ule wa 'simfahamu mtu huyu' Zitto akasema waliopekea msaada ni Halmshauri?

Hili la 'hata Mbowe kapewa hela' linaacha maswali. Zitto, akiwa kama naibu katibu mkuu alijua lini kuwa Mbowe kapewa pesa na mtu Mkono? Alifanya nini kama kiongozi? Kama hakukutwa na hii kadhia bado angeendelea kukaa kimya? Hii inatoa picha gani juu leadership style yake?
Nakumbuka sana ndio maana nimelisema sana hili. Kwanza, katika uzi ZZK alikana kuhusika na hilo jambo.

Baada ya evidence kuonyeshwa kuwa amejengewa shule na Barrick akarudi kwa style ya Halmashauri. Baada ya kumbana vema akatokea mkuu mmoja na kusema 'jamani ZZK ni binadamu' naye hufanya makosa na kwamba umasikini wa nchi yetu ulimsukuma hata kusahau maadili''. Mmoja wa watetezi wake ni mshiriki waraka.

Barrick walikata mbuga na kuacha mashimo na halmashauri zingine hadi jimboni kwa ZZK. Hilo lilitosha kabisa kumshtua.

Yeye akasema hawajui Barrick wala walipo kwa style ya simjui Ben wala siujui waraka, leteni ushahidi. Eti tunatakiwa tulete picha ya ZZK na Ben pamoja hata kama Ben amesema wanafahamiana.Kwamba katibu mkuu msaidizi hamjui mgombea uongozi wa BAVICHA? Real!

Wapambe wapo bize wakitaka ushahidi wa kuhusika na waraka.
Tumewaeleza kuwa kwani waraka uliandikwa lini? Hawana jibu wanataka karatasi inayoonyesha ZZK akisaini kukubali waraka.

Wengine tunajua kwasababu tunaangalia mazingira kwa ujumla hatusubiri karatasi ya ushahidi kuwa ZZK ameandika waraka.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nakumbuka sana ndio maana nimelisema sana hili. Kwanza, katika uzi ZZK alikana kuhusika na hilo jambo.

Baada ya evidence kuonyeshwa kuwa amejengewa shule na Barrick akarudi kwa style ya Halmashauri. Baada ya kumbana vema akatokea mkuu mmoja na kusema 'jamani ZZK ni binadamu' naye hufanya makosa na kwamba umasikini wa nchi yetu ulimsukuma hata kusahau maadili''. Mmoja wa watetezi wake ni mshiriki waraka.

Barrick walikata mbuga na kuacha mashimo na halmashauri zingine hadi jimboni kwa ZZK. Hilo lilitosha kabisa kumshtua.

Yeye akasema hawajui Barrick wala walipo kwa style ya simjui Ben wala siujui waraka, leteni ushahidi. Eti tunatakiwa tulete picha ya ZZK na Ben pamoja hata kama Ben amesema wanafahamiana.Kwamba katibu mkuu msaidizi hamjui mgombea uongozi wa BAVICHA? Real!

Wapambe wapo bize wakitaka ushahidi wa kuhusika na waraka.
Tumewaeleza kuwa kwani waraka uliandikwa lini? Hawana jibu wanataka karatasi inayoonyesha ZZK akisaini kukubali waraka.

Wengine tunajua kwasababu tunaangalia mazingira kwa ujumla hatusubiri karatasi ya ushahidi kuwa ZZK ameandika waraka.

Kuna mambo mengi sana ya kuangalia katika suala la Barick kuliko kusema Zitto kajengewa shule, NYINYI KWA MTIZAMO WENU MNAONA KAJENGEWA SHULE NA KWA HIYO NI BENEFICIARY WA KISIASA, LAKINI SISI WENGINE TUNAONA HIYO KAMA CHAMBO BARRICK WALITAKA KUMFRAME MBELE YA UMMA ILI AKIPINGA AONEKANE MPINGA MAENDELEO!!!!.

Mnasema Zitto angetangaza maslahi katika hiyo ishu ya Barrick, je atangaze Maslahi yapi?, JE NI YEYE AS AN INDIVIDUAL ALIKUWA NA POWER YA KUPOKEA HUO MSAADA AU KUUKATAA?, JE LIMITATION ZAKE KATIKA MAAMUZI YA HALMASHAURI NI YAPI?. AU JE ALICHANGIA VIPI KUIFANYA HALMASHAURI KUFIKIA UAMUZI ILIOUFIKIA?

Unaposema "evidence zikatolewa kuwa kajengewa shule" hiyo statement inajaribu kufukiafukia mashimo katika saga zima la UKOSEFU WA EVIDENCE ZA KUMTIA HATIANI ZITTO KATIKA TUHUMA MBALIMBALI ANAZOTUHUMIWA NAZO. The issue hapa ni kwamba Barrick walijenga Shule, na si kwamba Zitto alijengewa shule. ILI TUWEZE KUUTENDEA HAKI MJADALA HUU LAZIMA UONYESHE KUWA
(1) ZITTO ALIWEKA JUHUDI KUITAKA BARRICK IJENGE SHULE HIZO KWA AHADI MAALUM YA KUILIPA FADHILA BARRICK
(2) ZITTO ALIINFLUNCE MAAMUZI YA HALMASHAURI KUFANYA UAMUZI WA KUPOKEA MSAADA WA BARRICK.

Nyinyi mnasema Zitto anakuwa na Maslahi na msaada huo, Infact msaada huo unaweza kuwa liability kwake kisiasa iwapo kweli alijihusisha nao kwa kupenda. ndiyo maana tayari kuna kundi la watu wako against nao!. hiyo ni evidence kubwa kabisa ya kampuni kama Barrick kujaribu kumblackmail Zitto kisiasa. Kampuni za kimafia zinajua sana hizi games za kuframe wanasiasa.

Kuna swali naliuliza humu ndani naona Nguruvi3 unalikwepa: JE SHERIA ZA HALMASHAURI KUPOKEA MISAADA ZINASEMAJE?

Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba mgependa Zitto apigane vita vya "ishu za kitaifa", "ishu zake kisiasa" your ways, but unfortunately he is fighting them his ways. Unaposema asemee maslahi katika ishu ya Barrick, then unataka asemee wapi?, Kwenye halmashauri?, bungeni?, kwenye vyombo vya habari?. BUT WHAT IF BARRICK HAWAKUVUNJA SHERIA YOYOTE KATIKA KUTOA MSAADA HUO?. Ndugu zangu haya makampuni they know loopholes za sheria zetu na wanazitumia.

Mimi naona the issue hapa siyo Zitto, Issue ni udhaifu wa sheria zetu, sasa badala ya kumlaumu Zitto kama mwenye maslahi katika ishu ya Barrick bila kufahamu what was going behind the scene, ni vyema tukawa greatthinkers zaidi kuwabana wabunge wetu wote na serikali kuhakikisha hizi loopholes zinaondoka.

Well Barrick wameacha halmashauri nyingine na kwenda kwa halmashauri ya Zitto, JE ZITTO AFANYE NINI WAKATI SHERIA YA KUCHANGIA HALMASHAURI YOYOTE WANAYOITAKA WANAYO?

STILL NINASEMA, BILA EVIDENCE YA KUMLINK MTU NA JAMBO SI SAHIHI KUFIKIA CONCLUSION YA JAMBO, KWA SABABU SIKU ZOTE MATUKIO YANAWEZA KUWA NA PANDE MBILI AU ZAIDI.


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom