Zitto aongea na Power Breakfast ya Clouds FM

Zitto aongea na Power Breakfast ya Clouds FM

ThinkPad

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
1,844
Reaction score
236
Katika kipindi cha power breakfast Zitto alonga live nakusema hato ondoka chadema wala atarajii kuondoka Chadema.
 
Nina hints za maongezi ya Zitto na Gerald Hando wa Clouds Fm

1. Sijaondoka CHADEMA, sitarajii Kuondoka na nilijiunga chadema nikiwa na miaka 16 kwahiyo nusu ya maisha yangu ni CHADEMA

2. CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa, katika vuguvugu hilo wengi wameumia.....

3. Kugombea uenyekiti halikuwa tatizo na nilipoondoa jina langu nilitangaza kuvunja makundi yote....sikuwa na kundi, nililivunja

4.Kuhusu Kfulila...Maamuzi hayakuwa sahihi...kwa sababu haukuwa muda muafaka wa kufanya maamuzi kama yale, CCM wanangombana na sisi tugombane?

5.Kafulila hakufanya kosa lolote

6.Matatizo kwenye vyama vya siasa ni jambo la kawaida

7. Kuhusu kumsapoti Kafulila...

CHADEMA imekuwa ikiharibu matokeo Kigoma kaskazini na sitakubali tupoteze tena. Lengo letu ni kupunguza idadi ya wabunge wa CCM bungeni. Chadema ilikuwa ya tatu na NCCR mageuzi ilikuwa ya pili kwaiyo kura za CHADEMA ukichanganya na za NCCR zinazidi za CCM. Sio Kafulila tu hata wengine kwenye majimbo mengine nitakuwa tayari kutoa muda wangu kuwasapoti

8. Kuhusu kutoa magari matatu....Sina hayo magari..nitayatoa wapi magari yote hayo nadhani ni maneno tu yamekuzwa

9.Siamini kama chadema wataweka mgombea Kigoma Kaskazini na hata wakiweka siamini kama tutashinda sana sana tutagawakura

10. Tarehe 11 Januari nitakuja kwenye vikao vya kamati za Bunge nitaongea na wanachama wa tawi langu la Mwandiga ili tukubaliane kama nigombee tena ubunge au nisigombee kwa sababu malengo yangu mwaka 2006 ilikuwa niwe mbunge kwa term moja tu.

11. Mara ya mwisho kuongea na Mbowe:........Tunaongea mara kwa mara
 
Nina hints za maongezi ya Zitto na Gerald Hando wa Clouds Fm

1. Sijaondoka CHADEMA, sitarajii Kuondoka na nilijiunga chadema nikiwa na miaka 16 kwahiyo nusu ya maisha yangu ni CHADEMA

2. CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa, katika vuguvugu hilo wengi wameumia.....

3. Kugombea uenyekiti halikuwa tatizo na nilipoondoa jina langu nilitangaza kuvunja makundi yote....sikuwa na kundi, nililivunja

4.Kuhusu Kfulila...Maamuzi hayakuwa sahihi...kwa sababu haukuwa muda muafaka wa kufanya maamuzi kama yale, CCM wanangombana na sisi tugombane?

5.Kafulila hakufanya kosa lolote

6.Matatizo kwenye vyama vya siasa ni jambo la kawaida

7. Kuhusu kumsapoti Kafulila...

CHADEMA imekuwa ikiharibu matokeo Kigoma kaskazini na sitakubali tupoteze tena. Lengo letu ni kupunguza idadi ya wabunge wa CCM bungeni. Chadema ilikuwa ya tatu na NCCR mageuzi ilikuwa ya pili kwaiyo kura za CHADEMA ukichanganya na za NCCR zinazidi za CCM. Sio Kafulila tu hata wengine kwenye majimbo mengine nitakuwa tayari kutoa muda wangu kuwasapoti

8. Kuhusu kutoa magari matatu....Sina hayo magari..nitayatoa wapi magari yote hayo nadhani ni maneno tu yamekuzwa

9.Siamini kama chadema wataweka mgombea Kigoma Kaskazini na hata wakiweka siamini kama tutashinda sana sana tutagawakura

10. Tarehe 11 Januari nitakuja kwenye vikao vya kamati za Bunge nitaongea na wanachama wa tawi langu la Mwandiga ili tukubaliane kama nigombee tena ubunge au nisigombee kwa sababu malengo yangu mwaka 2006 ilikuwa niwe mbunge kwa term moja tu.

11. Mara ya mwisho kuongea na Mbowe:........Tunaongea mara kwa mara

EEH!
politiksi ngumu sana
 
Nina hints za maongezi ya Zitto na Gerald Hando wa Clouds Fm

1. Sijaondoka CHADEMA, sitarajii Kuondoka na nilijiunga chadema nikiwa na miaka 16 kwahiyo nusu ya maisha yangu ni CHADEMA

2. CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa, katika vuguvugu hilo wengi wameumia.....

3. Kugombea uenyekiti halikuwa tatizo na nilipoondoa jina langu nilitangaza kuvunja makundi yote....sikuwa na kundi, nililivunja

4.Kuhusu Kfulila...Maamuzi hayakuwa sahihi...kwa sababu haukuwa muda muafaka wa kufanya maamuzi kama yale, CCM wanangombana na sisi tugombane?

5.Kafulila hakufanya kosa lolote

6.Matatizo kwenye vyama vya siasa ni jambo la kawaida

7. Kuhusu kumsapoti Kafulila...

CHADEMA imekuwa ikiharibu matokeo Kigoma kaskazini na sitakubali tupoteze tena. Lengo letu ni kupunguza idadi ya wabunge wa CCM bungeni. Chadema ilikuwa ya tatu na NCCR mageuzi ilikuwa ya pili kwaiyo kura za CHADEMA ukichanganya na za NCCR zinazidi za CCM. Sio Kafulila tu hata wengine kwenye majimbo mengine nitakuwa tayari kutoa muda wangu kuwasapoti

8. Kuhusu kutoa magari matatu....Sina hayo magari..nitayatoa wapi magari yote hayo nadhani ni maneno tu yamekuzwa

9.Siamini kama chadema wataweka mgombea Kigoma Kaskazini na hata wakiweka siamini kama tutashinda sana sana tutagawakura

10. Tarehe 11 Januari nitakuja kwenye vikao vya kamati za Bunge nitaongea na wanachama wa tawi langu la Mwandiga ili tukubaliane kama nigombee tena ubunge au nisigombee kwa sababu malengo yangu mwaka 2006 ilikuwa niwe mbunge kwa term moja tu.

11. Mara ya mwisho kuongea na Mbowe:........Tunaongea mara kwa mara

Zitto msanii tu
 
Inawezekananaje amsurpot mwanahama wa chama kingine ashinde uchaguzi? Hiyo itakuwa kwa maslahi ya chama au binafsi?

Hili la Kafulila alijikanyaga. Halina mashiko. aseme tu anataka kumfuata huko NCCR.
 
Kuendelea kusisitiza Kafulila hakua na makosa nadhani ameteleza kidogo.Kama viongozi wenzake waliona anamakosa na kumvua uongozi, si sahihi kusema hana makosa.
 
tupo sambamba!
nilikuwa nashangaa ii thredi!
unajua thread za zitto ni kama series fulani inayoonyeshwa kila siku

Teh teh mpwaaaa ni kwasababu watu wana majungu na fitna, unafiki na kupenda kukuza mambo na ndio maana zime kaaa kama series.

 
Inawezekananaje amsurpot mwanahama wa chama kingine ashinde uchaguzi? Hiyo itakuwa kwa maslahi ya chama au binafsi?

Hili la Kafulila alijikanyaga. Halina mashiko. aseme tu anataka kumfuata huko NCCR.

Mie nampa big up sana Zitto, huyu jamaa ana vision ya kipekee na laiti opposition leaders wengine wangefata model yake then tungekuwa mbali kama taifa..

Sishangai zitto kumpigia kifua Kafulila:
Eti b'se ni chama kinginine jamani plz eleweni kwamba he's doing that for the benefit of opposition side, rather than that, tukubali kuwa CCM itachukua tena hilo jimbo na ikumbukwe kuwa lilikosekana kizembe tuu (kutokuwa na umoja ndani ya upinzani) ni kwanini tusiachiane majimbo, kwanini tusipeane support na kwanini tusiwe na sauti moja?..

BIG UP "Zitto"!!
 
mi sioni ubaya wowote iwapo lengo ni kuhakikisha ccm haitoboi. wacha amsapoti ili upinzani uongezeke bungeni.
 
Inawezekananaje amsurpot mwanahama wa chama kingine ashinde uchaguzi? Hiyo itakuwa kwa maslahi ya chama au binafsi?

Hili la Kafulila alijikanyaga. Halina mashiko. aseme tu anataka kumfuata huko NCCR.


Nyerere, JK pamoja na kuwa mwanzilishi na mwasisi wa CCM alishawahi kumsupport na kumpigia kampeni mgombea wa NCCR mageuzi 1995, baada ya kuona mgombea wa CCM alikuwa ni tapeli na pia alikuwa na kahistoria ka ujambazi. Hili sio geni.
 
CHADEMA imekuwa ikiharibu matokeo Kigoma kaskazini na sitakubali tupoteze tena...
Siamini kama chadema wataweka mgombea Kigoma Kaskazini na hata wakiweka siamini kama tutashinda sana sana tutagawakura
Kwa nini Chadema waweke mgombea mwingine kwenye jimbo la Zitto?
 
Kuendelea kusisitiza Kafulila hakua na makosa nadhani ameteleza kidogo.Kama viongozi wenzake waliona anamakosa na kumvua uongozi, si sahihi kusema hana makosa.
anatia shaka sana katika fikra zake na uadilifu wake, hakika CHADEMA haitamfukuza na wamegundua janja yake ya kutaka kukivuruga chama kwa maana yakutaka kupata umaarufu kupitia kufukuzwa kwake.
wamemstukia .
 
anatia shaka sana katika fikra zake na uadilifu wake, hakika CHADEMA haitamfukuza na wamegundua janja yake ya kutaka kukivuruga chama kwa maana yakutaka kupata umaarufu kupitia kufukuzwa kwake.
wamemstukia .

If wishes were horses, beggars could ride.... endelea ku-write your own script!!!



...or, were you just thinking aloud?
 
Zitto zidi kuwa na msimamo hivyo hivyo kwani ndio utakaokupelekea kuwa mwanasiasa mahiri.
 
To be honest , Zito kusema nakipenda Chadema na hatahama, na pia kusema kuhusu Kafulila Chadema walikosea, this only place him far above many politicians. Huwa anasema anachoamini, na hapa kueleweka pia kunakuwa kazi sana
 
anatia shaka sana katika fikra zake na uadilifu wake, hakika CHADEMA haitamfukuza na wamegundua janja yake ya kutaka kukivuruga chama kwa maana yakutaka kupata umaarufu kupitia kufukuzwa kwake.
wamemstukia .

Ni kweli viongozi wenzie wamekwishamstukia na kugundua kuwa jamaa anapenda mshiko; he is in Chadema to destabilize the party. The leadership in Chadema will slowly kill him politically by sidelining him so that he does not have access to sensitive Chadema information and ultimately mwenyewe atakimbia!!!!
 
Back
Top Bottom