George Jinasa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 399
- 58
Anayemuandika zitto kuwa ni maarufu kuliko chadema si mkweli na nadhani anashirikiana na zitto aandike then zitto akanushe,kwa kweli simuamini hata chembe moja zitto.mnafiki na msaliti..Yuda alimsaliti Yesu akaishia kujinyonga...zitto ataishia wapi!?!tusubiri tuone
Unamjua Zungu kweli???Mimi binafsi napinga Zitto Kabwe kwamba atagombea Kinondoni kushindana na yule Zungu,kwa sababu yule Zungu alikuwa anasoma Tambaza,na mimi nilikuwa nasoma Tambaza.
Zitto si mpinzani anakula taiming kupata njia ya kuibomoa Chadema. Ni sawa na Mbatia na watu wa system.
kama kawaida nareport kutoka kwenye gazeti letu kuhusu zitto
Mbunge Zitto hajaanza leo jiulize haya maswali
Kwanni alipingana na mwenyekiti wake mbowe kugombea uwenyekiti?
Kwanini alijihusisha saaana na mambo ya dowans miaka ya 2009?
Kwanini anakuwa na kauliza za kukinzana na chamu chake?
kwanini hakukubaliana na wabunge wake kutoka bungeni?
kwani mapaka sasa hajachiriki maandamano yoyote? ARUSHA KAYATOSA? MWANZA KAYATOSA, SHINYANGA KAYATOSA, KAGERA KAYAKIMBIA
je usaliti wa zitto umeanza zamani?:llama::llama::target::target::target:
Dhambi za ubaguzi ndio zanazoendelea Chadema.
Sasa Padre akipewa nchi itakuwaje?
Crap,umeanza siku uliyo acha kuchambakama kawaida nareport kutoka kwenye gazeti letu kuhusu zitto
Mbunge Zitto hajaanza leo jiulize haya maswali
Kaanza lini?
Kwanni alipingana na mwenyekiti wake mbowe kugombea uwenyekiti?
Kwa sababu chadema ni "chama cha demokrasia"
Kwanini alijihusisha saaana na mambo ya dowans miaka ya 2009?
2009 kuna miaka mingapi?
Kwanini anakuwa na kauliza za kukinzana na chamu chake?
Crap,...acha use*****
kwanini hakukubaliana na wabunge wake kutoka bungeni?
kwa sababu yuko chadema,chadema watu hawakubali kila kitu au kupigia makofi kila kitu na kusema "ndio mzee"
kwani mapaka sasa hajachiriki maandamano yoyote? ARUSHA KAYATOSA? MWANZA KAYATOSA, SHINYANGA KAYATOSA, KAGERA KAYAKIMBIA
Acha usen***,...aliisha kujibu hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...zitto-kushindwa-kuhudhuria-kanda-ya-ziwa.html
je usaliti wa zitto umeanza zamani?:llama::llama::target::target::target: