Hiyo habari mi mwenyewe Nimeisikia :confused2:Heshima kwako Jeykeywaukweli,
Hapana hayo maneno hakutamka Zitto sipati picha kwenye kampeni naibu katibu mkuu wa chama cha upinzani anasifu serekali iliyoko madarakani ?.Ingekuwa Mzee wa Kiraracha kasema nakwambia mitusi ingemiminika kama maji ya mto Ruvu.
Nasubiri michango ya wanajamvi wengine mimi nimeishiwa nguvu.
Jamani, tuwe waangalifu... hivi mnadhani zitto aliishia hapo kwenye hiyo hotuba??? Mbona tunakurupuka sana siku hizi
Ili kukamilisha hotuba na pia kuwa na mawazo wazi we must read the whole speech
Kumbukeni hata kwenye changamoto na hasa kwenye siasa huwa tunaanza na pongezi na baadae ndio tunaweka changamoto.... Lets not be like simba na yanga jamani, politics ni kwa faida ya watanzania na si chadema, kafu au ccm
msimamo mkali haujawahi kuleta maendeleo popote pale
Hii ndio taabu ya uchakachuaji wa maneno ktk kampeni.
Ambacho uhuru wamefanya ni simple propaganda, chukua maneno fulani yachochee simple. Ukiangalia kwa undani wake Zitto amesifia utendaji wa serikali ya Mkapa. Kwa hili hata mimi namuunga mkono, yaliyofanyika kwa kiasi kikubwa tumeyaona.
Tatizo hapa si CCM kama chama wajameni, tatizo ni utendaji wa viongozi wake katika kusimamia majukumu ya serikali kwa miaka mitano iliyopita. Hapo ndio upuuzi unapoonekana. Mkapa alijenga uchumi ndio na akapunguza mfumuko wa bei. Akapaisha uchumi toka 4.2% mpaka 6.7% mwaka 2000 hadi 2005.
Msiba tulionao sasa ni JK, kashusha uchumi toka 6.7% aliyoachiwa na Mkapa. Mkapa aliacha kilo ya sukari Tshs. 600/- leo ni ngapi? Mafuta ya petrol lita ilikuwa Tshs. 580/- leo ni kiasi gani?
Pole sana mkuu... najua unaumia sana siku hiziSafi sana zito, tunataka wapinzani wenye vision na kufikiria kwa upeo mkubwa.
2015 jina lake likipita kwenye urais nadhani atakuwa amejitayarisha vema kuongoza nchi na wala sio wale wanaokurupuka.
Zitto anayewania ubunge Kigoma Kaskazini, alisema hayo juzi jioni katika Uwanja wa Mashujaa, alipomnadi mgombea ubunge wa Mtwara Mjini, kwa tiketi ya chama hicho, Jetha Othuman. Akizungumzia mafanikio ya serikali ya CCM, Zitto alimmwagia sifa Rais mstaafu Benjamin Mkapa, akisema amefanya mambo makubwa katika uongozi wake na kama kuna makosa ni ya kibinadamu.
Source: UHURU[/SIZE][/FONT]
kiko wapi?CCM lSIPOTOSHE UKWELI, ALICHOKISEMA ZITTO NI HIKI HAPA
Point. Msiba ni huu wa Jk
"Wanaosema serikali ya CCM inabagua katika kugawana keki ya taifa hao ni waongo, imefikisha maendeleo hata kwa wapinzani," alisema huku akitoa mfano wa maendeleo yaliyofanyika katika majimbo ya Karatu, Kigoma na Sumbawanga. Alisema Kigoma ni ngome ya upinzani, lakini imepiga hatua kubwa katika maendeleo, akitaja miradi mikubwa iliyotekelezwa ya barabara, maji na umeme.
Source: UHURU