Zito kuongea/kukutana na Wema nayo ni habari?....mbona mie nilikutana na mbunge wangu wa Moshi hapa Dar na haikuwa habari?(real, kwasababu wabunge wetu hawapo majimboni wapo town).
This isn't JF standards real, tukikosa cha kuchangia basi angalau tuweke picha zetu tutaonekana....its a Jamii Forums, not "Interpersonal Forums".
Heri PENGO/MWANYA kuliko JINO BOVU