Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Wewe mwanamke unapenda sana kushobokea wanaume hata mie unapenda kunishobokea huwa nakuangalia tu.


Hata hivyo,mbona hili jukwaa ni kubwa sana??

Huyu binti kama kweli anavyosema shida yake ni kutafuta bwana kwanin asiende kule kwenye chit-chat au jukwaa la mapenz akatafute bwana au mchumba???

Sisi tuna wake na familia zetu,aache tabia za kutufuata fuata,sisi tuna heshima na familia zetu,asituone hapa JF basi akadhani ni VIRUKA NJIA KAMA YEYE..,

MPE POLE SANA,AZIDISHE MAOMBI ATAPATA BWANA WA KUMFAA...
 
Mkuu Leo Mimi nasoma hoja za Watu na kufurahi tu!
Kuna mtu anaitwa Big Show ni noma Anatoa maneno huyo?

Huyo binti aliachana na Zito kwa kuponzwa na maneno meneno mengi siku akilala kwa Zito walikesha wakizodoana.
 

Mimi nazungumzia huo huo unaozungumzia wewe! Ule walioweka namba za simu kibao.

Henry Kileo mwenyewe inasemekana aliuweka kwenye blog yake.
 

kaka muda wa kuswali huu twenzetu.
 
Naskia raha wavurugane wananchi waone,na sisi tuendelee kuchochea kuni kwenye mafiga.Haiwezekani kanda yakaskazini wawe na akili peke yao.

kanda nyingine nyingi hawana misimamo na wasaliti!
 
Kwa hiyo wewe ni Zitto wewe ni mdini mfitini na zandiki manake una panic unaandika hata vitu bil kujijua waliopokea magari ya M4C Mtwaa na Lindi ni wakrsto we acha ujinga na matusi rejareja

Wewe naomba uendelee kutekeleza mission za kumuua mama zitto na sasa najua mna mpango wa kummaliza na zitto mwenyewe mimi niache.
 

Ubaguzi ni asili yenu sikulaumu.
 
Wewe naomba uendelee kutekeleza mission za kumuua mama zitto na sasa najua mna mpango wa kummaliza na zitto mwenyewe mimi niache.
Panic hiyo pole mama zitto kajiua mwenyewe kupokea mafedha kwenye mabrief case mekundi hakujua hicho ni kifo yaani Rmadhani Inghndu alikuwa anamwambia zitto damu itamwagika ukienda kinyume mama mpokea vya mwana mwizi siku akikatwa mkono naye hukatwa z itto ni psychopathy anahitaji dawa manake miaka nane kila siku anaona watu wanataka kumuua hicho ni kicha kilchokomaa ,maskini anajiogopa mwenyewe wasaliti wote duniani maisha yao ni mafupi
 
QUOTE=Zogwale;7930414]Mkuu the Big Show, ninaishi Tz nyumbani kwangu. Hapa JF ni kijiwe tu siku nikiwa na muda. Kuna wakati hata miezi miwili inakatika sikanyagi huku mkuu wangu. Basi kama walishamkana basi kuna jambo. Je huyo dada anayewasiliana naye hakumtetea?? Si unajua tena wazee wetu, pengine kulikuwa na mtelezo kwa hiyo ukubwani ndipo watoto wanajitokeza!!!! Ndiyo maana tunasema weka wazi mambo yako hata chagua ndugu mmoja mweleze walipo vifaranga wako wote wa ndani na nje??? Basi tufanye DNA ndiyo mwisho wa matatizo!!! Pengine Yericko ana haki ya kuwa mwanafamilia.[/QUOTE]


Mkuu niliwahi kutoa ufafanuzi hapa jf kwakuweka wazi wasifu wangu katika mjadala mmoja ulioitwa "uchochezi wa Mohamed Said"

nitanukuu tena hapa chini ili watu waone tena upi ukweli sio kuishi kwa hisia,

 
Kilewo si ndo alikuja kwa Mbwembwe nyiingi na kusema kuwa anauhakika na ule waraka, leo anaukana! Acheni kucheza na akili za watu!
 
Kwa hiyo wewe ni Zitto wewe ni mdini mfitini na zandiki manake una panic unaandika hata vitu bil kujijua waliopokea magari ya M4C Mtwaa na Lindi ni wakrsto we acha ujinga na matusi rejareja

Mtakufa bure kwa mihemko na Hypertension....wanasiasa wanafahamiana sana....wao wanakaa kwenye Tv zao na kwenye laptop zao waki-enjoy free show mnazo zionyesha. Punguzeni hasira.
 
 
Last edited by a moderator:
Mtakufa bure kwa mihemko na Hypertension....wanasiasa wanafahamiana sana....wao wanakaa kwenye Tv zao na kwenye laptop zao waki-enjoy free show mnazo zionyesha. Punguzeni hasira.

Maneno ya kwenye kanga tufe na hypertension kwani tumevuliwa vyeo vitano au sisi ni wabunge wasaliti , sema watakufa na hypertension wenye shida na kubaka taratibu za vyama vyao ili wapate madaraka kama wanafahamiana sisi yanatuhusu nini mbona wanakashifiana na kushushana hadhi huko ndio kufurahiana umepanic bure
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…