Zitto alivyofanikiwa jana kumuingiza spika kwenye mtego ambao alikuwa hawezi

Target ya Zitto ilikuwa waziri mkuu, kama waziri mkuu angewajibishwa basi serikali nzima ilikuwa haipo, maana yake Rais angepanga upya baraza lake, Sasa isingekuwa rahisi tena kwa kina muhongo kurudi kwenye nafasi zao, na kama wangerudi basi CCM ndio ilikuwa inakwenda kupasuka msamba

yes target yake zitto ilikuwa ni kumkamata ndani ya nyavu waziri mkuu, lakini frame ya mzee wa vijisenti ilikuwa na katrick ndani kuwa wale woote ambao wameteuliwa na rais wakawajibishwe na aliyewateua so bunge halimteui waziri mkuu, bali kumuidhinisha tu so unaona hapo waziri mkuu alikuwa anaenda kuwajibishwa na raisi na si bunge tena, so mantiki ya kumkamata pinda ilikuwa inapotea automatic, umeona trick hiyo mkuu, means badae tena bunge lilikuwa halina nguvu tena kumuuliza raisi why hujawachukulia hatua, na raisi hata angeulizwa angezuga kuwa anasubiri ushsuri wa vyombo vya usalama vimalize uchunguzi na hadi bunge hili lingefika uko no hatua kuchukuliwa>>>?? Mbowe ailistukia hilo na kupangua goli dakika za mwisho

nauliona jana mama makinda kujifanya kuwapa airtime sana upinzani, mdee, mnyika, lissu, silinde, etc ili kuwapumbaza, but ccm walikuwa wanaenda kushinda goli lakiulaiiiniiii sana kupitia mzee chenge, huyo ni planner mzuri sana na hanaga papara wala kelele, mudaaa mrefuuu alikuwa katulia tu hadi alipopewa nafasi ya kufanya yake.
 
Kiukweli mchezo umekuwa mgumu kama Mbowe angekubali yaishe tulikywa tumewaweza ccm

kumbuka OLESENDEKA alikuwa tayari amesimama na kumtahadharisha SPIKA, MAKINDA Alipolishtukia akaweka kiporo azimio namba 8a na kurukia kwa namba 8b wakataka sasa itengenezwe azmio ambalo halita gonganisha mihimili wakataka kuchakachua na tayari walikuwa wameshapigia kura kuhusu MUHONGO ndipo MBOWE akashtuka na kusimama, wakati MBOWE anaruhusiwa azimio dhidi ya MUHONGO lilikuwa ni dhaifu na tayari limeshapigiwa kura, fatilia tena ndio utanielewa kauli ya ZITTO ilikuwa imeshapingwa na SENDEKA muda huo rudia kuangalia kama una access utanielewa
 
yes target yake zitto ilikuwa ni kumkamata ndani ya nyavu waziri mkuu, lakini frame ya mzee wa vijisenti ilikuwa na katrick ndani kuwa wale woote ambao wameteuliwa na rais wakawajibishwe na aliyewateua so bunge halimteui waziri mkuu, bali kumuidhinisha tu so unaona hapo waziri mkuu alikuwa anaenda kuwajibishwa na raisi na si bunge tena, so mantiki ya kumkamata pinda ilikuwa inapotea automatic, umeona trick hiyo mkuu, means badae tena bunge lilikuwa halina nguvu tena kumuuliza raisi why hujawachukulia hatua, na raisi hata angeulizwa angezuga kuwa anasubiri ushauri wa vyombo vya usalama vimalize uchunguzi na hadi bunge hili lingefika ukomo wake july mwakani no hatua kuchukuliwa>>>?? Mbowe ailistukia hilo na kupangua goli dakika za mwisho

nauliona jana mama makinda kujifanya kuwapa airtime sana upinzani, mdee, mnyika, lissu, silinde, etc ili kuwapumbaza, but ccm walikuwa wanaenda kushinda goli lakiulaiiiniiii sana kupitia mzee chenge, huyo ni planner mzuri sana na hanaga papara wala kelele, mudaaa mrefuuu alikuwa katulia tu hadi alipopewa nafasi ya kufanya yake.


Zitto alikuwa kamchapa Spika Kiufundi

Ilikuwa hivi:

Bunge lilifikia ukomo wa mjadala na kutakiwa kufanya maamuzi.

Wakawa wanatafuta lugha gani ikitumika haitaonyesha Bunge kuingilia Mihimili mingine kama Serikali na Mahakama.

Walipofika kumuwajibisha Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini mvutano ukawa mkali.

Ndipo Spika akamteua Chenge atoe mchango wake.

Chenge akasema:

"Bunge linapendekeza Katibu Mkuu wa Nishati na Madini Kichukuliwa hatua na Mamlaka za uteuzi"

Wabunge wengi hasa wa upinzani hawakuridhishwa si tu na maelezo hayo bali hawakuwa na imani hata na aliyekuwa anayatoa maana yeye ndio KUBWA LA MAADUI, ndipo Spika alipo Mtaja Mh Zitto ambae kwa karibu sana alikuwa akishauriana na Halima Mdee.

Ndipo Zitto akasema

"Nashauri tuikubali sentensi (maelezo) iliyosema na Mh Chenge itumike kwa mapendekezo ya kamati yaliyobaki".

Kumbuka pendekezo hilo lilikuwa pendekezo nambari saba.

Pendekezo namba 8, 9...yalihusu kuwajibishwa Masele, Muhongo na Pinda.

Spika kwa kutokujua mtego wa Zitto uliolenga Mamlaka ya uteuzi imuwajibishe mpaka Waziri Mkuu ambaye Spika amejipanga kumlinda kwa nguvu zote.

Spika akaona apige kura haraka haraka, kama kawaida CCM wakasema Ndiyoooo......


Punde tu Ole Sendeka ambae naye anataka wote wawajibike isipokuwa Pinda na Masele akashtuka na kumjulisha Spika haraka, wakati huo wapinzani karibu wote walikuwa wakilalamika kwa Spika kupigisha kura haraka haraka isipokuwa WENJE.

Ndipo Spika akagutuka na kurudi kwenye utaratibu wa mwanzo wa kipendekeza kwa kila mmoja

Wenje akaanza kumzonga Spika kuwa tumeshafanya maamuzi, na Maamuzi yalikuwa ni Ndiyo hivyo Spika asimamie maamuzi ya wabunge.

Hivi ndivyo Zitto alivyokuwa kamaliza Mchezo kirahisi kwa wale waliomuelewa, lkn wengi hawakumwelewa alichokimanisha.

Pamoja na hayo bado wote kwa umoja wetu hatupaswi kuondoka kwenye hoja ya msingi ambayo nikuona wezi wanawajibika.
 
yes target yake zitto ilikuwa ni kumkamata ndani ya nyavu waziri mkuu, lakini frame ya mzee wa vijisenti ilikuwa na katrick ndani kuwa wale woote ambao wameteuliwa na rais wakawajibishwe na aliyewateua so bunge halimteui waziri mkuu, bali kumuidhinisha tu so unaona hapo waziri mkuu alikuwa anaenda kuwajibishwa na raisi na si bunge tena, so mantiki ya kumkamata pinda ilikuwa inapotea automatic, umeona trick hiyo mkuu, means badae tena bunge lilikuwa halina nguvu tena kumuuliza raisi why hujawachukulia hatua, na raisi hata angeulizwa angezuga kuwa anasubiri ushsuri wa vyombo vya usalama vimalize uchunguzi na hadi bunge hili lingefika uko no hatua kuchukuliwa>>>?? Mbowe ailistukia hilo na kupangua goli dakika za mwisho

nauliona jana mama makinda kujifanya kuwapa airtime sana upinzani, mdee, mnyika, lissu, silinde, etc ili kuwapumbaza, but ccm walikuwa wanaenda kushinda goli lakiulaiiiniiii sana kupitia mzee chenge, huyo ni planner mzuri sana na hanaga papara wala kelele, mudaaa mrefuuu alikuwa katulia tu hadi alipopewa nafasi ya kufanya yake.

Nakubaliana na wewe haya maazimio angeachiwa RAIS hakuna ambacho kingefanyika kumbuka HOSEA WA PCCB wakati wa sakara la RICHMOND kulikuwa na azimio la yeye kuchukuliwa hatu za kutengua uteuzi wake baada ya kusema KULIKUWA HAKUNA HASARA katika mkataba wa RICHMOND lakini mpaka leo yupo ofisini, tuseme ukweli bila MBOWE mchezo ulikuwa umeisha
 
Hata mimi awali sikuelewa, lakini baadaye nikajua Zitto alikuwa amemweka pabaya Pinda. Kimsingi, sioni ni kwa namna gani Waziri Mkuu anaweza kukwepa kikombe hiki!


Najiuliza kwanza kwamba ni jeuri ya kiasi gani mpaka sasa hawajajiuzulu hawa; AG,Waziri Muhogo na Naibu wake ,Katibu Mkuu wa Nishati na Prof. Tibaijuka-1.6bl waziri ndaani ya Baraza la Mawaziri ya Serikali inayolalamikiwa?
 
mkuu zito anauwezo binafsi sipingi- lakini hata hivyo tayari master plan-chenge , mzee wa havard a.k.a mzee wa vijisenti tayari alikuwa kashamaliza mchezo na zitto alidhani tayari kamkamata na waziri mkuu ndani ya nyavu lakini chenge mission yake ile ilikuwa ni ya kuwaokoa woote wakina maswi, werema, muhongo etc,

unajua kwanini???

Kwa yale maelezo ya kuframe ya chenge means tayari hawa watu woote ambao si uteuzi wa bunge,tayari walikuwa wanahamishiwa katika mamlaka iliyowateua ambayo ni raisi kwa kuchukuliwa hatua, na hapo ndipo wapinzani woote walikuwa wanapigwa bao, means mashitaka na ushauri wa bunge ulikuwa hauna nguvu tena kusema mbona fulani hajawajibishwa na rais maana hayo ni maamuzi yake rais akijisikia kuwawajibisha au la ni sawa, so hapa zitto aliwaza km 50, chenge akaenda 100 km but mbowe akaenda mbali zaidi yao woote 200km, coz bila hivyo tayari bunge lilikuwa halina nguvu tena kuwafuatilia watu hao. Na mbowe alimjulisha fasta Zitto kuwa hii imekula kwetu ndio maana mama makinda alipo mpa tena nafasi zitto kuongea akajifanya amechoka ili kupoteze akuwa wameshtukia hilo chezo...Na mchongo huo ccm ulipangwa ili badae raisi angepotezea tu na hakuna wakuwajibishwa wala bunge lisingekuwa na nguvu tena na watu hao kuwahoji hata kuwafuatilia tena.. So mbowe alishtuka mchezo huo... Ndio maana hata ukiwa makini kuangalia tangu mwanzo wakina simbachawene na mama kaiuruki walikuwa wanataka kumaliza mechi mapemaaaaa kabisaaa
kwa kumwambia makinda aridhie pendekezo la serikali no 7 la kusema kuwa kwa kila mteule wa raisi bunge lishauri tu kuwa watu hao wakithibitika wana makosa basi maamuzi yafanyike na mamlaka ya uteuzi, hivyo ilikuwa ni bunge linashauri tu so uamzi ungebaki kwa serikali kuchukua hatua ama la, na jk alishajipanga kupiga danadana kwa kujikita kusubiri ripoti za kimamlaka juu ya uchunguzi, na hilo lingefika hadi mwakani july bunge kuvunjwa..

Upo ryt juu ya hili. Pale ililazimika ku sucrifice kimoja upate kingine, so lenga upate kikubwa.
 
mkuu zito anauwezo binafsi sipingi- lakini hata hivyo tayari master plan-chenge , mzee wa havard a.k.a mzee wa vijisenti tayari alikuwa kashamaliza mchezo na zitto alidhani tayari kamkamata na waziri mkuu ndani ya nyavu lakini chenge mission yake ile ilikuwa ni ya kuwaokoa woote wakina maswi, werema, muhongo etc,

unajua kwanini???

Kwa yale maelezo ya kuframe ya chenge means tayari hawa watu woote ambao si uteuzi wa bunge,tayari walikuwa wanahamishiwa katika mamlaka iliyowateua ambayo ni raisi kwa kuchukuliwa hatua, na hapo ndipo wapinzani woote walikuwa wanapigwa bao, means mashitaka na ushauri wa bunge ulikuwa hauna nguvu tena kusema mbona fulani hajawajibishwa na rais maana hayo ni maamuzi yake rais akijisikia kuwawajibisha au la ni sawa, so hapa zitto aliwaza km 50, chenge akaenda 100 km but mbowe akaenda mbali zaidi yao woote 200km, coz bila hivyo tayari bunge lilikuwa halina nguvu tena kuwafuatilia watu hao. Na mbowe alimjulisha fasta Zitto kuwa hii imekula kwetu ndio maana mama makinda alipo mpa tena nafasi zitto kuongea akajifanya amechoka ili kupoteze akuwa wameshtukia hilo chezo...Na mchongo huo ccm ulipangwa ili badae raisi angepotezea tu na hakuna wakuwajibishwa wala bunge lisingekuwa na nguvu tena na watu hao kuwahoji hata kuwafuatilia tena.. So mbowe alishtuka mchezo huo... Ndio maana hata ukiwa makini kuangalia tangu mwanzo wakina simbachawene na mama kaiuruki walikuwa wanataka kumaliza mechi mapemaaaaa kabisaaa
kwa kumwambia makinda aridhie pendekezo la serikali no 7 la kusema kuwa kwa kila mteule wa raisi bunge lishauri tu kuwa watu hao wakithibitika wana makosa basi maamuzi yafanyike na mamlaka ya uteuzi, hivyo ilikuwa ni bunge linashauri tu so uamzi ungebaki kwa serikali kuchukua hatua ama la, na jk alishajipanga kupiga danadana kwa kujikita kusubiri ripoti za kimamlaka juu ya uchunguzi, na hilo lingefika hadi mwakani july bunge kuvunjwa..

Umeeleza vema sana mkuu na huu ndio ukweli wa hali halisi iliyokuwa pale. Ila sitaki kumlaumu Zitto kutokana na mazingira ya jana yalivyokuwa, kwani serikali na CCM walikuwa wakitumia nguvu kubwa kuyateka maazimio.
Kwa bahati mbaya Spika alikuwa anabeba zaidi upande wa serikali inapotokea mapendekezo yanahusu kuadhibu mtu wa serikali. Kwa Zitto kusikiliza michango toka asubuhi na hadi muda ule, kibinadamu alikuwa ameshachoka.
Na kwa muda mfupi mambo yakampita pale na hasa wakati ambao serikali ilijiandaa kufanya ujanja la kulipokonya Bunge nguvu yake kwa kuwapeleka watuhumiwa wote kwa Rais kwa mapendekezo dhaifu.
Wabunge wote akiwemo Zitto waliokuwa wakipigania wezi wang'oke walifanya kazi nzuri sana kiasi tunaweza rudisha imani kwa Bunge na hakuna haja ya kulaumiana kwa makosa ya wanaowalinda wezi kwa ujanja ujanja.
Ova
 
Zitto alikuwa kamchapa Spika Kiufundi
Ilikuwa hivi;Bunge lilifikia ukomo wa mjadala na kutakiwa kufanya maamuzi.
Wakawa wanatafuta lugha gani ikitumika haitaonyesha Bunge kuingilia Mihimili mingine kama Serikali na Mahakama.
Walipofika kumuwajibisha Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini mvutano ukawa mkali.
Ndipo Spika akamteua Chenge atoe mchango wake.
Chenge akasema.
"Bunge linapendekeza Katibu Mkuu wa Nishati na Madini Kichukuliwa hatua na Mamlaka za uteuzi"
Wabunge wengi hasa wa upinzani hawakuridhishwasi tu na maelezo hayo bali hawakuwa na imani hata na alie kuwa anayatoa maana yeye ndio KUBWA LA MAADUI,ndipo Spika alipo Mtaja Mh Zitto ambae kwa karibu sana alikuwa akishauriana na Halima Mdee.
Ndipo Zitto akasema
"Nashauri tuikubali sentensi(maelezo)iliyosema na Mh chenge itumike kwa mapendekezo ya kamati yaliyobaki.
Kimbuka pendekezo hilo lilikuwa pendekezo nambari saba.
Pendekezo namba 8,9...yalihusu kuwajibishwa Masele,Muhongo,na Pinda.
Spika kwa kutokukua mtego wa Zitto uliolenga Mamlaka ya uteuzi imuwajibishe mpaka waziri mkuu ambae Spika amejipanga kumlinda kwa nguvu zote,
Spika akaona apige kura haraka haraka,kama kawaida ccm wakasema Ndiyoooo......
Punde tu Ole Sendeka ambae nae anataka wote wawajibike isipokuwa Pinda na Masele akashtuka na kumjulisha Spika haraka,wakati huo wapinzani karibu wote walikuwa wakilalamika kwa Spika kupigisha kura haraka haraka isipokuwa WENJE.
Ndipo Spika akagutuka na kurudi kwenye utaratibu wa mwanzo wa kipendekeza kwa kila mmoja
Wenje akaanza kumzonga Spika kuwa tumeshafanya maamuzi,na Maamuzi yalikuwa ni Ndiyo hivyo Spika asimamie maamuzi ya wabunge.
Hivi ndivyo Zitto alivyokuwa kamaliza Mchezo kirahisi kwa wale waliomuelewa,lkn wengi hawakumwelewa alichokimanisha.
 
Kabla ya majumuisho lazima wangelejea kwenye mjadala na kumchomoa Pibda. Kila mmija alijadiliwa kivyake hivyo kuhusishwa wa Pinda ni tofauti na uhusishwaji wa Maswi, Muhongo, na AG. Kutokana na utofauti huo hauwezi ukawa na pendekezo la aina moja kwa wote.
Watu hamtaki kufikiri kwa upana zaidi, mmejikita kwenye ushabiki na hivyo kutijitendea haki.
Masele pamoja na kamati kuazimia awajibishwe, lakini waliporejea maelezo ya mjadala alichomolewa, ndiyo ingekuwa kwa Pinda?
Maazimio ya kamati ndiyo yametengeneza shida yote tunayoendekea kuiona hadi sasa na kupelekea bunge kuanza kufumua na kukarabati upya maamyzi hatimaye kuusambaratisha kabisa umoja waliojijengea katika sakata hili. "Utoto" ni kama uli cloud thinking za watu.
 
Najiuliza kwanza kwamba ni jeuri ya kiasi gani mpaka sasa hawajajiuzulu hawa; AG,Waziri Muhogo na Naibu wake ,Katibu Mkuu wa Nishati na Prof. Tibaijuka-1.6bl waziri ndaani ya Baraza la Mawaziri ya Serikali inayolalamikiwa?
mzee wa tezi dume alipats mgawo na hivyo hawezi kuwezi kuwatosa badala yake atawalinda.
 
Lakini nilishangaa kusikia madame Spika anampa nafasi Chenge ya kutoa ushauri ambao utafuatwa na bunge Zima!
 
mkuu zito anauwezo binafsi sipingi- lakini hata hivyo tayari master plan-chenge , mzee wa havard a.k.a mzee wa vijisenti tayari alikuwa kashamaliza mchezo na zitto alidhani tayari kamkamata na waziri mkuu ndani ya nyavu lakini chenge mission yake ile ilikuwa ni ya kuwaokoa woote wakina maswi, werema, muhongo etc,

unajua kwanini???

Kwa yale maelezo ya kuframe ya chenge means tayari hawa watu woote ambao si uteuzi wa bunge,tayari walikuwa wanahamishiwa katika mamlaka iliyowateua ambayo ni raisi kwa kuchukuliwa hatua, na hapo ndipo wapinzani woote walikuwa wanapigwa bao, means mashitaka na ushauri wa bunge ulikuwa hauna nguvu tena kusema mbona fulani hajawajibishwa na rais maana hayo ni maamuzi yake rais akijisikia kuwawajibisha au la ni sawa, so hapa zitto aliwaza km 50, chenge akaenda 100 km but mbowe akaenda mbali zaidi yao woote 200km, coz bila hivyo tayari bunge lilikuwa halina nguvu tena kuwafuatilia watu hao. Na mbowe alimjulisha fasta Zitto kuwa hii imekula kwetu ndio maana mama makinda alipo mpa tena nafasi zitto kuongea akajifanya amechoka ili kupoteze akuwa wameshtukia hilo chezo...Na mchongo huo ccm ulipangwa ili badae raisi angepotezea tu na hakuna wakuwajibishwa wala bunge lisingekuwa na nguvu tena na watu hao kuwahoji hata kuwafuatilia tena.. So mbowe alishtuka mchezo huo... Ndio maana hata ukiwa makini kuangalia tangu mwanzo wakina simbachawene na mama kaiuruki walikuwa wanataka kumaliza mechi mapemaaaaa kabisaaa
kwa kumwambia makinda aridhie pendekezo la serikali no 7 la kusema kuwa kwa kila mteule wa raisi bunge lishauri tu kuwa watu hao wakithibitika wana makosa basi maamuzi yafanyike na mamlaka ya uteuzi, hivyo ilikuwa ni bunge linashauri tu so uamzi ungebaki kwa serikali kuchukua hatua ama la, na jk alishajipanga kupiga danadana kwa kujikita kusubiri ripoti za kimamlaka juu ya uchunguzi, na hilo lingefika hadi mwakani july bunge kuvunjwa..

Nimekukubali mkuu Ww ni great thinker umepangilia maneno kiustadi wa Hali ya juu
 
mkuu zito anauwezo binafsi sipingi- lakini hata hivyo tayari master plan-chenge , mzee wa havard a.k.a mzee wa vijisenti tayari alikuwa kashamaliza mchezo na zitto alidhani tayari kamkamata na waziri mkuu ndani ya nyavu lakini chenge mission yake ile ilikuwa ni ya kuwaokoa woote wakina maswi, werema, muhongo etc,
unajua kwanini???
jk alishajipanga kupiga danadana kwa kujikita kusubiri ripoti za kimamlaka juu ya uchunguzi, na hilo lingefika hadi mwakani july bunge kuvunjwa..
Mkuu unakumbuka pale Zito alipomjibu Spika Makinda kuwa amechoka mpaka akili hawezi kuComment chochote wamwache kwanza.
ziliibuka vurugu za kina Mnyika na Tundu Lissu kuzomea hadi Mdee aliyekaa na Zitto naye kumaanisha Zitoo anawasaliti kwani Hoja ni kuwang'oa wezi wote,
na kwa vile behewa lilishabeba mpaka na Member wa CCM km kina Sendeka, Mkumbah, Mwigulu ni lazima Bunge lingewang'oa waliobaki huenda na Mizengo Pinda
Mbowe ndipo alipogundua karata yao imeliwa hasa kwa Zitto kurusha garasa badala ya King wakaona wavuruge ili waingie kwa Wananchi mitaani
Janja hiyo aliigundua Spika, ndio maana akaomba yaishe waseme watakacho na ndivyo hata saa 10 ya jioni hii ni bora kuwasikiliza Wapinzani na UKAWA ili kuwaponza Wananchi na Wana-CCM
kKitendo cha kuvuta hii Issue hadi Bunge lijalo na hao wezi wakaendelea kutaipasua CCM vipande na itasambaratika ndani ya miezi hiyo 6 kabla ya Bunge kuvunjika Juni 30. 2015
  • Kwani CCM Maslahi ya akina Chenge, Pinda, Masele, Tibaijuka watabaki na viroba vyao vya fedha za ESCROW
  • Na CCM Imani ya kina Mwigulu, Sendeka, Mnauye, Kinana wanajitenga na wezi hao
  • CCM Lowassa ya kina Deo Filikunjombe Mpina na Kigwangala nayo itapuyanga kivyake
Kwa hiyo Mama Anne Makinda kaliona hilo na hata sasa atalinda lisitokee
 
Kwahiyo wanamsubiri mzee wa tezi dume au? Wasitake kutuzingua hawa
 
Back
Top Bottom