Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Najiuliza kwanza kwamba ni jeuri ya kiasi gani mpaka sasa hawajajiuzulu hawa; AG,Waziri Muhogo na Naibu wake ,Katibu Mkuu wa Nishati na Prof. Tibaijuka-1.6bl waziri ndaani ya Baraza la Mawaziri ya Serikali inayolalamikiwa?
Sababu Mukulu aliidhinisha.